# DIBAJI

# DIBAJI

## Kitabu cha “Uhuru wa Kikristo” kilitungwa na **Dk.** **Martin** **Luther** kule witternberg mwaka **1520**.

**Karasa 5**

## Hakuna haja kutubu na kuacha dhambi kwa sababu dhambi zote zimelipwa kwa fedha! Kwasababu ya michafuko hii Marthin Luther alichukua hatua zake kama **mchungaji** **wa** **usharika**.

**Karasa 6**

## Marthin Luther alichoma tangazo la Papa Leo X pamoja na kanuni mwaka **1520**.

**Karasa 10**

## Wakristo walipopata uhuru wa Neno la Mungu kuhusu utawala wa Papa, waliliacha tena kwa ajili ya ndoto, **maono** na **fikira** za kibinadamu.

**Karasa 11**

## Tunao uhuru wa Kikristo tunapokuwa na Neno la Mungu kwa imani, kwa sababu hii tunaye **Kristo** mwenyewe.

**Karasa 12**

# RATIBA YA MATENGENEZO YA KANISA

## Mwaka 1517 Luther alipigilia tarehe 30 mwezi wa Octoba hoja zake 95 kuhusu vyeti vya

1. Ndoa
2. Uraia
3. **Upatanisho**
4. Biashara

**Karasa 13**

## Papa Leo X alifariki dunia mwaka **1521**

**Karasa 14**

## Marthin Luther alifariki dunia Februari

1. 1564
2. 1531
3. 1526
4. **1546**

**Karasa 15**

## Hoja 95 za Marthin Luther zilipigiliwa kwenye **mlango** wa **Kanisa** la Ngome ya Witternberg.

**Karasa 16**

# SEHEMU YA KWANZA

## Ni dhahiri kuwa hakuna jambo lolote lile la nje linaloweza kumfanya mtu kuwa huru na kumcha Mungu, kwa kuwa **uchaji** na **uhuru**.

**Karasa 20**

## **Hakuna** faida yeyote ya kukaa katika makanisani na mahali patakatifu.

**Karasa 21**

## Kisto hakutumwa ulimwenguni kwa ajili ya huduma nyingine ile **isipokuwa** ile ya kulihubiri Neno la Mungu.

**Karasa 23**

## Yohana 1:12 "Bali wote **waliompokea** **aliwapa** **uwezo** **wa** **kufanyika** **watoto** **wa** **Mungu**, **ndio** **wale** **waliaminio** jina lake.

**Karasa 28**

## Lazima Kristo **ahubiriwe** kusudi imani yetu, yaani imani yako na yangu, ikue na idumu kabisa.

**Karasa 38**

# SEHEMU YA PILI

## Katika nukuu maneno yaliyoandikwa kwa hati ya ulalo yanayoianza na, "Matendo mazuri **hayafanyi** **mtu** **mzuri**, **bali** **mtu** **mzuri** **hufanya** matendo maovu."

**Karasa 44**

## Picha ya kanisa la Mtakatifu Petro, la Roma lipo ukurasa wa ngapi?

**Karasa 59**

# Barua ya Martin Luther kwa Papa Leo wa Kumi

## Luther alisema kwamba Leo alikuwa "Daniel huko **Babeli**."

**(Karasa 61)**

## Luther alimwita nani "adui maalumu wa Kristo na ukweli"?

**Yohana Eck (karasa 68)**

## Nani aliandika kitabu kuhusu Papa Eugenio?

**Mt. Bernardo (karasa 77)**

## Siku gani Luther aliandika barua hii kwa papa?

**Septemba 6, 1520 (karasa 79)**