Ibada
Lazima Tuwapinge Maadui wa Ukweli
- Ukurasa wa Jalada
- Utangulizi
- Mbona Watu Wamevutwa Na Ma Ibada
- Dalili ya Ibada
- Wajibu ya kikristo kwa maibada
- Lingo Binafsi Kwa Maibada
- Fikira ya Maibada Kanisani
- Udadisi wa Uchawi
- Ni hatari kwa Ruhusu Ubaya
- Waraka wa Yuda
Ukurasa wa Jalada
Mwaka wa kwanza
kitabu cha maandishi
Ibada
Lazima tuwapinge maadui wa ukweli
DELIVERANCE BIBLE INSTITUTE
Singida, Singida Region, Tanzania
Arundel, Maine, USA
Utangulizi
Mbona Watu Wamevutwa Na Ma Ibada
Dalili ya Ibada
Wajibu ya kikristo kwa maibada
Lingo Binafsi Kwa Maibada
Fikira ya Maibada Kanisani
Udadisi wa Uchawi
Waraka wa Yuda
Utangulizi
Shabaa ya darasa na mafsirio
Shabaa ya hii kasi ni kutumbua matos aya siku yetu ya leo na siya mafunzo ya ndani ya ibada. IBADA HATA MOJA haistahili zaidi angalisho yako. Ni ya muhimu kuwa nabusara wakali umechunguza ma Ibada kwa sababu pepo mbaya ambayo umeongozwa nao imeweza kutushawishi.
Tumehifaji kukaza ufahamu wa kweli. Biblia ni neno la Mungu, Mamlaka na Maisha ya juu zaidi. II Peho 1:2–4 ; 16–21 ; II Thimotheo 3 :13–17 ; Wafilipi 2 :16
- Imetupasa KUFUNZA kweli 2 Timotheo 2:15
- Imetupasa KUJUA kweli Yohano 8:32
- Imetupasa KUPENDA kweli II Wathesalonike 2:10
- Imetupasa KUZUIA UOVU II Wathesalonike 2:7
Sungumzia kweli katika mapendo:
- Waefeso 4:14–15
- 2 Wakorintho 2:14–15
- I Wakorintho 2:1–16
- Wagalatia 4:16
Zaburi 15:2—Huyo ambae ametembea katika kweli na ametenda katika haki na kunena kweli toka moyo wake.
Uwe na hakikisho ya kuyafahamu atilini kitabu cha yuda kadini umejifunza hii kosi.
Usome I Wakorintho 2:1–15
1 Wakorintho 2:12—Lakini sisi hatukuipokea rho ya dunia, bali kolio atotaye kwa Mungu, makusudi tupatte kiayojua tuliyokirimiwa na Mungu.
I Wakorintho 2:14–15—Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho. 15 Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Isipotuwa tu mwaninifu halisi katika yesu kristo ambaye ameendelea katika Neno la Mungu, mwenye kufundishwa na kufunuliwa na roho mtakatifu ameweza kuelewa kweli matusudi aweze kuitambua na kufumbua uongo.
Mafasirio ya Ibada
Ibada ni shirika ya kikristo ambayo imani imebadilishwa kwa uharibifu na kweli imebadilishwa kuwa uongo. (I Wakorintho 2:15; Wagalatia 1:6–7; Wakolosai 2:8)
- Uharibifu wakikristo
- Kinyume yenye kupangwa
- Aminio na matendo yenye kushangaza ambayo shina ni mafundisho danganifu.
- Ibada ni dini danganifu. Ni mbimu ya amnio ya kikristo au kiroho, hasa mbinu ya aminie hibiyo ya kawaida na xxxxxxx .Yenye kuangaliea wengine kama wenye kuongozwa vibaya, wasio na hata, wenye kutoka nje, au wadanganyifu, na wenye kuongozwa na kyongo mgumu na . Charismatic.
- Onyo kuhusu ma ibada. Ma ibada imetoa mbinu yao ya aminio kwa watu ili kusudi ya uchunguzi badala ya kukomalisha kirohoni na kutoa tunda bora kwa utukufu wa Mungu. Maibada imeabudu vyongozi, mafundisha na mipango Ibada imewoza kutoka kwa nja ya nje na kujaribu kujifanya yenye ahadi ya Mungu kwa nja ya mafikiri ya kimwili. Umeweza kumgusa hata mtu ambaye ana kweli na fikira danganyifu, roho yenye kujifanya kuwa haki yenyewe au utaribisho wenye kukosa hekima. Matendo ya ibada imetawanyiko kama moto ya porini kwa sababu ya uvuguvugu kanisani. Wakati kasi ina nguvu katika bwana na kupombaha katika uwezo wa Mungu, Milango ya Jehanamu haiwezi kutawala.
Mathayo 16:18,19—Nami nakuambia, wewe ndiwo pebao, na jua ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu kaitalishinda. 19. Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni, na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni.
Shauri ya Paulu kwa wazee kuhusu matunzo ya kanisa ilikuwa pamoja na hiyo shauri ya kristo kwa Petro.
Matendo 20:28–32— Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, mpate kulilisha kanisa late Mungu.
Yohana 21:15–17— Yesu akamwambia Simoni Petro, Ototowa yohoma, lisha mwana kondoo wangu. 16 Akamwambia tena mara ya pili lisha kondoo zangu. 17 Akamwambia mara ya tatu Lisha kondoo zoudu.
Math. 7:15–23: Yohano 10:10–38; I Tim. 4:1–3; II Tim. 3:1–4:5; II Petro 2:1–22, Yuda 1–2
Maonyo Tazama maisha yako na Neno
Imempasa kila mtu kuyatazama maisha yake na busara kabla ya kujifunza aina lolote ya matendo ya ki ibada. Maonyo ya Mtume Paulo yapashwa kuwa kwa kila mtu myongini mwetu sababu ya kutazam tena na busara kuhuso mafundisho.
II Watorintho 13:5; I Watorintho 11:28, 31–32; I Tim. 4:15–16; II Tim. 2:15; 3:13–15
Jinsi moja tu ya kuepuka ku . chastening na kufupisha marekibisho ya kiroho ni kutubia na kusoa pito yako kwa mara!
Mbona Watu Wamevutwa Na Ma Ibada
Walitupa Injili.
Sababu walitupa injili na wengi wamejifungua tu kwa kila mambo na hasa yenye kuwa sawa ma Ibada.
Watu wengi wametohaa kuamini injili kwa sababu imefumbua dhombi na ime ita kwenye utubio na hakuna oga ya Mungu mioyoni niwo. Davidi na Paulo wa lisema ili kuwa kwasababu hakukuepo oga ya Mungu mbele ya macho yao.
Zaburi 36 :1—> Dhambi ya mwenye uovu imesema moyoni mwangu, ya kuwa hatkuna oga wa Mungu mbele ya macho yao.
Warumi 3 :18—Kumcha Mungu hakupo machoni pao.
2 Petro 3 :5—Maana hufumba macho yao wasione, neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani…
Yohana 3 :19-20—… Kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
Waebrania 6:4-6—Kwa maana hao walio kwisha kupewa nuru… 6. Wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakahubu…
Matendo 13:46—Paulo na Bounaba watowena twa ushujaa watasema, ili kuwa lazima neno la Mungu line niwe kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujona nafo znu kuwa hamjustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia mataifa.
Wengi wanatupa ana tuchukia kweli sababu ya kutokuamini.
2 Wathesalonike 2:1-12—Basi, ndugu, tunakusihi ni… Kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha nia yenu, wala msisitushwe, kwa roho, wala kwa neno, wala kwa waraha unaodhaniwa kuwa ni wetu, kama kwamba siku ya bwana imetwisha kuwapo. 3) Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote… 12) Ili wahukumiwe wote ambao hawakuamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisah katika udhalimu.
I Timotheo 4:1-2—Basi roho anena wazi wazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani wakisikiliza roho zidanganyao, na mafundisho ye mashetani; 2) Kwa urafiki wa watu wasemauo uongo, wakichamwa moto dhamiri zao wenyewe.
Wamependa giza.
Yahona 1:11—Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea
Yohana 3:11-21— Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja. Ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru, kwa maana matendo pao yalikuwa maovu. 20 Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
Wakolosai 1:13—Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa mwana wa pendo lake:
Ufunuo 16:10—… Ufalme wake ukatiwa gizi; wakatafuna ndimi zao kw sabau ya maumivu.
Siyo watu wazima kirohoni.
Waebrania 5:11-14—kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni motto mchanga.
2 Timotheo 3:16,17—Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaanya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza na kwa kuwaadibisha katka haki 17 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
1 Watorintho 3:1—Lakini, ndungu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama na watu wenye tabia ya rohoni, bali kama na watu wenye tabia ya mwilini, kama na watoto wachanga katika kristo.
Imani yao ili haribishwa na kugeuka kwa tabia ya rohoni
Wagalatia 1:6-9—Nastorajabu kwa kuwa mna mwacha ujoshivi yeye aliyewaita katika neema ya kristo, kugeukia vijili ya namna nyingine 7. Wala si nyingine; lakini wapo watu wawataabishao na kutaka kuigeuza vipili ya kristo. 8. Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi nijili ya yote isipokuwa hiyo owahubiri, na alaaniwe. 9. Kama tulivyotangulia kusema, na sasa nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi vijili yo yote isipokuwa hiyo mliyopokea, na alaaniwe.
Wagalatia 3:3-4—Je! Mmekawa wajingo namnahii? Baada ya kuanza katika roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili ? Mmepatikana na mateso makubwa namna hii bure ? Ikiwa ni bure kweli.
2 Wakorintho 11:13-15,20—Maana watu kama hao nimitume wa wango, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawo mfano wa mitume wa kristo 14) wala si ajabu maana shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru 15) Basi si neon kubwa watu mishiwake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao. 20) Maana mwachukuliama na mtu akiwatia utumwani, atiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akwapiga usoni.
Wagalatia 4:15-17; 5:1; Waefeso 4:14
Wana majivuno ya usomi
2 Wakorintho 11:3-4—Kakini nachelea; kama yule nyota alivyomdanganya howa kwa kila yate, asije atawahambu fikira zenu nikauacha unyofu na usafi kwa kristo, 4) Maana yeye ajaye akihubiri yesu mwingine ambaye sisi hotukumhubiri, au mkipokea roho nyungine msiyapokea, au nijili nyingine msiyoitubali, mnatenda vema kuvumilionia naye!
2 Wakorintho 1:2—…. Si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya mungu.
1 Wakorintho 1:19-21— Kwa kuwa imeandikwa, nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na akili zao! Wenye akili mitazikatoa. 20. Yu wapi miletahoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu? 21. Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumfua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwvokoa waaminio kwa upuzi wa lile neon linalohubiriwa.
Yobo 28:28—Na alimwambia mtu, kumchi Bwana ndiyo hekima na kukimbia uovu ni akili.
Dalili ya Ibada
Iufunuo ya nje ya Biblia
Watu mubaye wamungizana katika ufunuo isiyo katika Biblia wameinukua mamlaka za juu. Hawaaminie ya kuwa Biblia tu ndiyo mamlaka kuhusu ufunuo. Ufunuo ya nje ya Biblia si ya Mungu. Ufunuo wote umepashwa katika maandiko. Ufunuo ya tabia ya Mungu yapashwa kuwa kweli sawasawa na andiko bila kubadili viote mila moja.
1 Wakorintho 2:13—Nayo twayamena, si kwa maneno yanayo fundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bale yanayo fundishwa na loho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.
Roho mtakatifu imefunua kweli kwa wenye haki na hatuweke mpaka kwa maendeleo ya ufunuo. Hakuaminie kila mambo ambayo imekamisha au haiku katika Biblia.
Kumbu-kumbu la torati 4:2—Usiongeze kwa neon nine kuamuru na usipunguze kwa hiyo, lakini uyashike omri ya Bwana Mungu wako ambayo nimekuwamaru.
Kumbu-kumbu la torati 12:32—Ufanye kila neon ambao nimekwamuru, usiongeze wala kupunguza.
Milhili 30:5—Kila neon la Mungu nisafi, ni ngao kwa wale ambae wamemkimbilia. 6. Usiongeze kwenye maneno yake, hama atakutemea na kukuha kikisha kuwa mwongo.
Kunakuwapo ma ibada mengi ambayo zimeishuhudia kuwa nje ya ufunuo ya biblio.
- Islamu — Koromi
- Kaniba ya yesu kristo ya watakatifu wa siku ya mwisho — Kitabu cha Maaman
- Washahidi wa yehova — Tafsiri ya ulimwengu mpya
- Mwaka mpya — urantia [Kitabu ya fikira na ya rohoni ambayo ime usika na Mungu, yesu, maarifa maarifakuhusu, viumbe, vya asili, dini, mambo ya kale na maisha iyayo?? Ilitoka kwenye serkali ya Chicago, Illinois, Monekani, kwa muda wa wakati kati ya mwaka 1924 na 1955. Kitabu cha Urantia kumeyakana mafundisho ya kikristo kadha wa kadha.]
Katoliki — Apoerypha
II Wakorintho 11 :4—Maana yeye ajaye akihubiri yesu mwingine ambaye sisi hatukumhubiri, au mkipokea Roho nyingine msiyoipokea, au injili nyingine msiyoikubali, mnatenda vema kuvumiliana naye.
Wagalatia 1 :6,7—Nastorajoibu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliye waita katika neema ya kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine. 7. Wala si nyingine, lakini wapo watu wawataebishao na kutoka kuigenza injili ya kristo.
Angalisho ya Biblia kwa schemu
Kufanya angalisho kwa vipande ya andiko, na kukosa yote.
Yohana 6 :12—Nao waliposhiba, aliwaambia wanafunzi wake, kusanyeni vipande vilivyobaki, kisipotee cho chote.
Matendo 13:10—Atasema, ewe mwanye kujoa hila na usevu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa hakiyote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyoka ?
Matendo 20:27—Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya tusudi lote la Mungu.
Tumehitaji kuambatoma na KUSUDI LOTE LA MUNGU (II Tim. 2:15; Yohano 5:31; Ufunuo 3:18) na andiko lote imetoleioa kwa uongozi wa Mungu (II Tim. 3:16)
Kunakuwapo watu wengi ambae kwa makusudi wamegenza andiko kwa faida yaa binafsi. Ambae wamechukwa schemu ya kweli na wameifanya kuwa maandiko yote. Kweli musuni uongo na utumizi wa andiko yao nyuma ya udanganyifu ni tena kudamganya.
Billy Sunday alikuwa na tabi aya kusema : « ombi la msamaha ni ngozi ya sababu ambaye imekwisha kufunikwa na uongo ». Ndiyo, ni tendo la kawaida ya ma ibada kuchukua ngozi ya kweli na kuifinika na uongo. Neno moja yenye kuongezwa au kupunguzwa imeweza kubadili maana yote ya maneno, na yote imekuwa kama kawaida kweli, imejifanya kuwa uongo kunakuwapo hatari kubwa binafsi kwa kugeuza Neno
"Te ! tumesuka uzi nyenye kuchongomana, wakati kwanza tumetenda udonganyifu !"—Bwana walter Scolt, Toka kwa shauri yake Marmion
Imetupasa kufanya angalisho yetu kwenye ujumbe yote yo Neno la Mungu yote
Kuhusu kutafakari tu schemu ya andiko na kutokujali ingine
Yesu aliwakemea waandishi na wafarisayo kwa kutokujali mambo mazito za sheria —Math. 23:23 Watachuja mbu na kumeza ngoma (Math. 23:24). Katika hiyo makosa, wamejifanya kuwa mbali na kweli. Mara tumeejilokeza mbali ya nia wazi ya andiko, tunahotari ya kujifanya kuwa mabli na kweli. (II Wathes. 2:10; Yer. 7:28; Ufunuo 22:19)
Mifano ya angalisho yabiblia yenye kuwa ya schemu
Watu kadha wa kadha wameangalia maandiko ya Paulo kama yenye kuongozwa na Mungu
Kutafakari zaidi mashetani,
Kila tendo ya mwili siyo shetani. Zaidi ya yote, kila mambo mabaya ambayo imetukia maichani, siyo tu kwa lazima kosa ya Ibilisi (Wagalatia 5:19-21)
Badhi ya watu ambaye walibatizwa na maji kwa namna fulani, ni ya mafaa kwa wolovu.
Hakuna wokovu katika maji, kwani tumeokoka kwa nja vinami katika danni ya yesu kristo ambayo ilimwagika kwa ajili yetu. (Warumi 5:9; Waefeso 1:7 ; Wakolobai 1 :14,20 ; Waebrania 9:14)
Washahidi wa yehova wamefundisha wokovu kwa matendo.
Matendo ni matokeo ya imani (Yakobo 2:17-26) Matendo haiwezi kuokoa, bali matendo imezaliwa katika muishi ya mwaaminio kama umeokoka (Waefesa 2:8-10, Warumi 4 :2-3, Tito)
Kugeuza Neeam ya Mungu kuwa kibali kwa dhambi
Yuda 4—Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri wabadilio neema ya kungu wetu kuwa ufisoidi, nao humkama yeye aliye peke yake mala, na bwana wetu yesu kristo.
Kuna watu ambae wamefundisho unami bila matendo ya mapendo safi wamebadili neema ya uwezo ili kuishi juu ya dhombi kuwa kibaliya dheombi-ufisadi.
Tumeamuriwa mara na mara kutokupenda dhombi (Iyohana 2:1-4; wanenu 6:6; 11-20; 20-23; I Petro 4:1)
Tumeweza kupoteza wokovu kwa kufa kirohoni kama umeweza kufanywa kuwa, umeweza kufa pia (kutoka 32:33; ufunuo 22:19; Ezekieli 3:20, 21; 18:24: 33:13) Hakuna matoleo ya kufunika maadamu tumeishi katika dhombi kyelekezo tu ya wokovu ni ujumbe wa kutubu wa yesu kristu
Genka na wache kutenda dhombi kuna dhobihu mojatu ambayo imeweza kusomehe dhombi na ni hiyo ya kristo.
Waebrania 10:26—Maana, kama tukifanya dhombi kusudi, baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, horibakitena dhabihu kwa ajili ya dhombi.
Wamefanya fikira bara kwa nje.
Maendeleo ya Imani katika jamaa ya walishindwa kujua ya kuwa ahadi ya mungu yalikuwa na lazima Fulani.
Imani ni ya lazima — Mathayo 21:22
Utakatifu ni ya lazima — Waebrania 12 :14 Kuishi katika kweli ni ya lazima — Yohano 15 :7 Myongoni mwa « walimu wa utajirié Ushindi kuhusu hela imetumiwa kama kipimo cha kiroho. Lakini Mungu alihaidi akakujazia haja yetu, siyo tamara zetu. Wafilipi 4:19 ni ahadi ambao alihaidi wale ambae walitoa kwa ukurimu mara na mara tena. Siyo ahana ya kuonya watu ili watae kusudi wapoke, lakini kuwakumbusha waminifu ya kuwa bwana ni mwaminifu na hatasau (watu wengi wamehisabuliwa kuwa wenye imani waliffansiriwa kuwa kama wenye kukosewa kwa kipimicha dunia Waebrania 11:37)
Wafilipi 4:19—Na mungu wangu atawafazeri kila mnachokihitafi kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya kristo yesu.
Wenye Kuzaa Wokovu wao Wenywe
Kazi ya mafikiri ya judiazri ingali imetenda Ibilisi ame shawishi watu kurudi kwenye angano za kale. Wengine womejaribu kuyashika yote mbili agano za kale na jipya wamejaribu kupata kuhesa bulisheria wa haki mbele ya mungu kwa kuyashika.Hii ni kinyume ya andiko.
Sheria yak ale imekwisha kuvunjwa (Wakolosai 2:14-17) Sheria kama yote ilitimilizika katika yesu kristo.
Ile waaminia wote wamehitaji kuelewa ni ya kuwa kwa njia ya imani katika yesu kristo kumefanywa kuwa haki na kwa njia ya haki ya kristo ambayo imekuja kwetu toka imani tumeweza na tumeposhwa kutimuliza amri zote za mungu. Neema ya mungu yona uwezo ya kutusukuma sisi kuishi juu ya sheria na siyo ku kibali cha maisha bila sheria.
Wamimi 10:4 — Kwa maana kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.
Mathayo 5:17 — Msidhomi ya kuwa nalikuja kuitongua torato au manabii, bali kutimiliza.
Wagalatia 2:16- ahli kukijua ya kuwa muanadamu hahesabiwihaki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani.
Galatia 3:11- Ni dhahiri ya kwomba hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za mungu katika sheria. Kwa sababu, mwenye haki atoushi kwa imani.
Rom. 13:8 … for he that loveth another hath fulfilled the law.
Warumi 13:10 -… basi pando ndilo utimilifu wa sheria.
Wagalatia 5:14- Maana torati yote imetimilika katika neon moja, nalo ni hili, umpende jirani yako kama nafsi yako.
Yakobo 2:8 — Lakini mkikimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.
Wokovu ni kipawa kwa wote ambaye wamempokea yesu kama Mokozi (Warumi 1:16, 1-13) Kakuna tofauti kati ya miyuda na mta wa matorifa wokovu ni kwa neema kwa njia ya imani (waefeso 2:8, 11-22) Christo alipiga nukta kwa sheria ya kale na alitimiliza sheria ya mwenendo ili utii kwa kristo iwe maisha.
Yohano 15:10—Mkizishika amri zangu, makaa katika pendo langu, kama vile mimi nilivyozishika amri za baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Warumi 6:6—Hali kukijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhombi tena
Watumwa Kwa Kitungo
Maibada imewapeleka wanafunzi wao katika utumwa
Yamepeleka watu katika utumwa akilini - uongozi akili piya, utimwa rohoni yenye kugungwa na dhombi, yenye kufungwa na dini. Maibada imezaa hali ya kutegemea kwa yote kwa ibada. Yataijaza mahitaji ya kawaida ya watu, ili mtu peke yakehawezi kudhani utu wao binafsi bila ibada kwa sababu yah ii mategemeo ya utoto kwa kikundi kunakuwa po aga nyingi kwa kutoka kwenye ibada hata bila kuhesabu ubaya wake.
Yame wafanya watu kuwa watumwa kwa kuwa shurutisha vyongozi wenye uongozi mbaya.Wongozi kwa mwanzo imekuwa mwalimu na mfalme wa "wokovu" wa kila mtu peke yake. Ndiyo niyo kweli mungu amewashitaa wa Nicolai kufanya. Mungu aliyachiki matendo ya wa Nicola Katika Efeso (Ufunuo 2:6) na mafundisho ya wamikolori katika pergami (Ufunuo 2:15)
Ile ilikuwa tu matendo katika Efeso ilifanywa kuwa Mafundisho katika pergamo. Mungu amechukia matendo na Mungu amechikia mafundisho yalijaribu ku wale ambaye walikuwa wametenda hiyo ambao mungu alichukia. Wale walikuwa, kama wote wamedhani dhehebu ya waonokikambae walifundisha mafundisho yenye kuwa ovu zaidi, na walifuata matendo yenye kuwa ovu zaidi wamedhamiwa kutoka kwa nikolai, mmoja wa mashemasi saba wenye kwandikwa katika Matendo 6:5 udhomi wa tabia ya asili na yenye kuwa wazi ni ya kuwa wanitolai wali fundisha mambo sawa sawa na hiyo balaamu alifundisha.
Wanitolai walifundisha shirika ya wake, ya kuwa uzingi na ufisadi yalikuwa mabo ya ubakili, ya kuwa kula nyama yenye kutolea kwa sanamu ilikuwa hahili, na walichanga mabo ya kimatorifa na mambo ya kikristo Augustini, Irenaeus, Clemens, Alexandrimis, na Tertulo, walisungunzia kuhusu mambo haya.
Nicolaus maana mwenye ushindi jua ya watu; (Nicolaus na Balaamu alikuwa kinyume katika makosa)
"nikos" yenye kuchukuliwa, ushindi "Nike" maana ya ushindi:
"Laos" Watu, lanky (kitungo) (NICOLAITANES Lao Mashemasi)
"Dike" haki (kama dhahiri pete yake) haki ya pekee, serkali yenye kuongozwa na watu.
Matendo na mafundisho ya wanikolai ili kuwa imetia nguvu aua.
Waichungaji kuwhunguza shirika kanisa imepashwa kuongozwa vizuri kuto kana na kweli katika biblia, walakini maongozi haipashwe kuchukuwa mahali pa mungu. Watu wamehitaji maelekeze na mafundisho piya, lakini kwa wakati hata moja hakuwezi kuwa mabwana juu ya imani ya mtu mwengine yule mungu ambae alikuokoa ameweza vizuri kuokoa na nakuchunga wengine! Usitafute kuongoza maisha ya mtu mwengine.
I Petro 5:3—Wala si kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao, bali kwa kujifanya vielekezo kwa ile kundi.
2 Wakorintho 1:24—Si kwamba tunatawala imani yenu; bali tu wasaidizi wa furaha yenu; maana kwa imani yenu mnasimama. (I Wakorintho 9:12,18;10:33).
Yohana 7:17—Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu. Kueli imemfanya mtu kuwa huru.
Yohana 8:32—tena mtaifahamu kweli, moyo hiyo kweli itawaweka huru.
Roho mtakatifu imleta uhuru. - II Wakorintho 3:17; Wagalatia 5:1.
Yohana 16:13—Lakini yeye atakapokuja, huyo roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote, kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atatayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
Kutenda kwa mungu siyo nguvu na uwezo wa mtu ambae hajali uhuru ya mtu peke yake katika kristo na uhuru wa uchaguzi, lakini ni kwa roho ya mungu. Roho ya mungu itaongoza watu na siyo kuwatembeza (Warumi 8:14; Wagalatia 3:18)
Zakana 4:6—…Siyo kwa nguvu wala kwa uwezo, bali kwa roho yangu, bwana mwenye uwezo wake amesema.
Tulimimiliwa kwa thamani
I Wakorintho 7:23—Mliminuliwa kwa thamani, msiwe watumwa wa mwanadamu.
I Wakorintho 6:19,20—Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la roho mtakatifu aliye ndani yenu, mliye pewa na mungu? Wala ninyi si mali yenu. Wenyewe. 20 maana mlimunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni mungu katika miili yenu.
I Petro 1:18,19- Nanyi mfahamu kwamba milihombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu, mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu; 19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani kristo.
Wakristo wamejifanya kuwa watamishi kwa mungu kwa uchaguzi. Warumi 1:1.
doulos- Mtumwa wa mapendo, mtu ambae alichagua kwendelesha utumwa wake.
Yohana 12:26—Mtu akinitumikia, na anifuate; nami mlipo, ndipo mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akimnitumikia, baba atamheshimu.
Wafilipi 2:22—… Kama mwana na babu yake, ametumika pamoja nami kwa ajili ya injili.
Warumi 1:1—… Paulo, mtumwa wa kristo yesu, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa aihubiri injili ya mungu.
Matendo 27:23—…Mungu yule ambaye mimi ni wake, naye ndiye ni mwabuduye.
- Mwenye kujitolea kwa bwana yesu kristo kwanjia ya uwezo war oho mtakatifu
- Mwenye kujitolea kwa injili
- Mwenye kujitolea kwa tendon a kazi ya mungu
Ap-os-tol-os ("aliyeitwa") aliye chaguliwa, (aliyetengwa) mpendwa na mwenye kutumiwa.
Myumbe; kwa upekee, balozi wa injili, kwa mamlaka mwenye kuusika na kazi ya kristo ("Mtume") (Mwenye uwezo wa kufanya myujiza): Mtume, Mjumbe, Mwenye kutimiwa. Mathayo 22:14; yohano 15:16, Matendo 9:15; wafeso 1:4; yakobo 2:5; I Petro 2:4,9; Ufunuo 17:14.
Bidii Kwa Mambo Yasiyo Kuwa Bora
Wamuzi 17:6, 18:1; 19:1; 21:25
Hii wakati wa kanisa imekuwa bila taraja imelegemea au kufuata jinsi mpya ya kuishi. Hii shida iliendelea kwa hatua ya kuwa watu hawajali tena jinsi mambo ni ya asili ya rohoni au siyo maadamu ni "mpya'. Hii majibu mara na mara kwa uzao wa au utahidi kwa jinsi ya fikira ya mtu ambayo isiyo ambatana na andiko, lakini ni inyo kuwa bora kwa ujumba. Jusi nyingi mpya ya siku yetu haiwezi kuwa mbaya kwa Biblia katika kunena, lakini mbinu yao imeposhwa kulinganisha na neno.
I Wakorintho 2:15—Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
YASIYO BORA KWA BIBLIA: kumtia mungu kwenye kubweta cha fikira ya mtu.
"Kwa mwisho ya safari (siku arubaini ya kujitahidi kusoma kitabu chake) utajua mpango wa mungu kwa ajili ya maisha yako na utaelewa picha kubwa-vipi viungo vyote vya maisha yako vimeambatana".--Rick Warreu katika Maisha Yenye Kutembezwa Na Mpango.
YASIYO BORA KWA BIBLIA: Umoja kwa uharibifu ya injili ya kweli
"Ni yenye kufumuliwa na…. sana, hauwezi kupata mazuri kwa hiyo".--Mshirika wa kwanza wa wenye kutimiza ahadi.
"Mafundisho ya wenye kutimiza ahadi ni muchangamjiko yenye kuleta mshangao ya kweli na makosa. Mbinu yake kwa ajili ya kuendelesha hiyomafundisho ni yenye kushakiwa. Mambo bora kadha wa kadha katika maandiko yamefundishwa… yamechangamama na maarifa kuhusa hali ya kufikiri na ina nguvu…, maadamu imetangaza, matendo Mmoja ya shabaa yenye kunenwa ya wenye kutimiza ahadi ni kuvunja vizuizo vya majina, pamoja na katoliki, libemblo, charismatics and neo-evangelicals chini ya kutokuruhusu kwao. Imeonya washirika wao kubomoa viambaza ambayo imetutenga, kuwa mjenzi wa kilalo, na kuomba siku kwa siku kwa ajili ya umoja myongoni mwa wa kristo katika shirika yako".--Shurusha ilipita undugu wa makanisa ya Biblia ya
YASIYO BORA KWA BIBLIA: kuwaambia watu tu yale ambao wametaka kusikia
Siyatumie (tamko Mtenda dhombi) Sikufikirie kamwe kwa hiyo lakini, ni sawa siku fikirie kwa hiyo lakini wengi wamekwisha kujua makosa ambao wametenda. Wakati nimewapata kanisani mmetoka kuwaambia ya kuwa imeweza kugeuka… hivi siende chini zaidi ya nja ya kuhukumu".--Joel Osteen katika mchezo wa "Larry King Live".
YASIYO BORA KWA BIBLIA: kutumia Biblia ili kupata mlango wazi.
Hali kujibu swali:"Kulitukia nini toka msalaba hadi kwenye kiti cha luzi…?" "Biblia haiwezi hata kupata jinsi ya kufasiria hiyo haiwezi kweli. Ndiyo sababu imetupasa kuipata kwa ufunuo. Hakuna tambo ili kufasiria hiyo ambayo nimikwambia. Imenipasatu kumwaminia mungu ya kuwa aitie rohini mwako jinsi aliitia mohini mwangu".--Joyce Meyer, mwenye kwandika shamba la vita ya akili
Hii kizazi kwa ujumla hakitaki mambo ambao imeambatana kweli na kumtumikia mungu na yenye kweli kuifuata injili ya yesu kristo kwa kuachana wote na dhombi. Watu walijitolea mahali pa hiyo. Kwa watu. Kwa vitu. Kwa kuongoza serkali yenye kumtosehsa mut peke yake kutimiza wajibu. Mipango ya wakali. Vitungo
Yohana 12:26—Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapo kuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.
Yenye Kutupa Wengine
Maibada imekuwa yenye kutupa wote wengine
Wale ambaye wamekuwa nje ya kuridi wame angaliwa sawa maadui. Wamekuwa wao wenyewe na majibu. Kundi yao ni njia moja tu ya wokovu.
Washahidi wa yehova wamesema ya kuwa kundi yao ndiye njia tu ya kwenda kwa mungu
wamormors wamedhani ya kuwa kundi yao ndiyo njia
wakatoliki wamedhani ya kuwa dini yao imewaokoa
Yesu ndiyo njia tu ya wokovu (Matendo 4 :10-20, Warumi 10:13)
Wokovu, uponyaji na kuachiliwa kumekuwapo kwa wote ambae amekyja kwa Yesu.
I Petro 2 :24—Yeye mwenywe alizichukua dhombi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili, tukiwa wafu kwa mambo ya dhombi, tuwe hai kwambo ya haki, na kwa kupigwa kwake mliponywa.
Yakobo 5 :13-16 ; Mathayo 10 :1 ; Marko 6 :12 ; Luka 9 :2 ; Zaburi 103 :2-5 ; Yeremia 33 :6 ; 46 :1- (Usome Waebrania 4 :15-16) ; Kutoka 15 :26 ; Zaburi 107 :20,
Marko 9:23—… Ukiweza ! Yote yamewezekana kwake aaminiye.(6:56; Yohana 11 :40, 2 Mambo ya siku 16 :12 ; Zaburi 147 :3 ; Luka 6 :19 ; Luka 7 :21 ; Mathayo 13:58)
2 Mambo ya siku 36 :16—Lakini waliwadhaki wajuombe wa mungu, walidharau maneno yake na kudhiati manabii hadi ghadhabu ya bwana iliwaka juu ya watu wake hadi hakukuwepo upinyaji.
Luka 17:5— Mtume wakamwambia bwana, Tuorigezee imaniumaini
Hisiyo kuwa na hakikisho Maibada imezaa kutokuwa na hakikisho badha ya yenye kuhakikishwa-imewezekana, labohna kadhalika…
Yeremia 18:12—Lakini watajibu, hayana mafaa tutaendelea na mpango yetu ; kila mmoja wetu atafuata ugumu wa moyo wake mbaya.
Mungu hakumwache mtu bila tumaini ya wokovu
I Petro 3 :15-.. Mwe tayari sikuzote kumjibu… habari ya tumaini lililo ndani yenu…
Warumi 8 :20-…Si kwa hiari yake, ila kwa sababu yake yeye aliyevitusha katika tumaini,
Waebrania 6 :19- Tumaini tuliyo moyo kama nanga ya roho…
Yenye kutambulisha kyongozi mpya (Ibada ya mtu)
Hawaamimie yesu kristo. Wanafunzi wao wanaongozwa na kutembegwa nje ya upende wa kristo na uongozi wa watu. Hawaaminiye yesu kristo kwa sababu nguvu imetiliwa juu ya uongoziwa watu.
Yohana 12:26- Mtu akinituenikia, na anifuate… (Mathayo 4:19; 12:3)
Wale ambaye hawaaminie nafsi tatu ya umungu
Kunakweli mungu moja. Munu ni watu watatu. Baba, Mwana na Roho mtakatifu. Baba, Mwana na Roho mtakatifu weto sawasawa na weko wa milele.
Waefeso 2:18—Kwa maana kwa yeye sis sote tumepata njia ya tumkaribia Baba katika Roho mmoja. (Mathayo 3:16, 17; I Wakorintho 8:6; 12:3).
Mapunjo ya Fedha
Kuchunza ujumbe, wakati umepashwa kulipa sikuzote hela ya kuwa mshirika ili uingizane (II Petro 2:1-3) Maibada mengi ina faida na fedha tu. Hii imetia ndani hata vyongozi. Ni habari ya haya jinsi watu wametumika kuma wadhisi wa injili wamedanganya watu ili kupunja fedha. Watu wametoa fedha kwa kudanganywa ili waweze kununuwa wokovu, fadhili au baraka ya mungu, Afya na raha, au arabuni ya kundia kwa utarimu. Wakatoliki w aroma wamedanganywa kutaa fedha kwa kuokolewa kwenye Matowarami au kupata jinsi ya kuhesabuliwa haki.
Wokovu imekuja kwa bure kwa sababu ya damu ya yesu kristo ambayo ilimwagika kipawa cha mungu ni maisha ya milele — Warumi 6:23 yenye kuhesabuliwa haki kwa neema yake — Warumi 3:24 Baraka ya Mungu haiwezi kuminuliwa na fedha — Matendo 8:18-24 lakini sikuzote utumbuke thamani yesu alilipa msalabani. Thamani ya deni ya dhambi letu ililipiwa yote yohana 19:30 "Imekwisha"—Utombozi imetimilizika.
Wajibu ya kikristo kwa maibada
Kila wajibu ya kwanza ya kikristo kuhusu maibada ni nini? Kuwa vijakajzi wa kweli na waminifu wa neno la Mungu! Ni ni nini imeifanya ono ya maibaida iwe yenye kuvifa? Yamekuwa se hemu ya kweli — Ya kweli nyingine, lakini ni mchanganyo ndiyo imekuwa ya hatari. Tumekuwa kwa kazi wenye kufungwa ile tuwe wenye kozoeana na kweli kwa kuweza kutambua wakati neno imekuwa tu kidogo "nje" Mwaminio alipewa uwezo na mamlaka juu ya uwezo wote wa adui.
Uwezo na mamlaka ya mwaminio
Uwozo na mamlaka ya mwaminio imetoka kwa Mungu
Luka 9:1- Akawaita wale thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.
1 Petro 5:8- Muwe na kiasi, na kukesha; kwa kuwa mshifaki wenu ibilisi, kama samba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze!
- Uwe na roho ya kiasi
- Uwe mwenye kukesha
Mamlaka ya mwaminio ni juu ya Ibilisi na nguvu yake ya kuharibu mpango wa Mungu kwa ajili ya maisha yetu. Mmoja ya majumbe ya muhimu ya kutafakari katika fundisho hii ni ya kuwa Mungu alimkirimia mwaminio uwezo na mamlaka yake.
Luka 9:1- Akawaita wale thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.
Yohana 1:12- Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika. Watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
Mathayo 10:1- Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu wawatoe, na kupoza magonjwa yote na ndhaifu wa kila aina.
2 Wakorintho 10:8- Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlka yetu (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwangusha), sitat hayarika:
Tito 2:15- Nena, maneno, onya na kukaripia kwa mamlaka yote, asikudharau mtu awaye yote.
Mwaminio hawezi kuzuiwa au kusimamishwa na ibilisi ikiwa amejua jinsi ya kutumia vizuri ile mungu alihaidi na kutolea. Imetupasa kuwa ufahamu ya matoleo ya Mungu, lakini imetupasa tena kujifunza jinsi ya kutia yale ahadi katika matendo. Yo yote ambayo mungu alihaidi imeongezwa kwa maisha yetu kadiri tumejitahidi kimwaminia. Hiyo imani imehitaji kweli utii. Aminia na utii
Uwezo na mamlaka hii maana yake nini?
Matambko tano tofauti ya kiyunani…
Exousia, Kiyunani, mamlaka, ziada, uwezo, ushotelevu, uwalimu.
Dunamis, kiyunani. Nguvu, na zaidi uwezo wa kutenda myufeza
Kratos, kiyunani Nguvu ("Mku") Utawala nguvu, uwezo.
Arche, kiyunani, mwanzo, au ya kwanza (kitu), kadhi, uwezo.
…ambao imetafsiriwa sawa sawa.
| Kiyunani | Wakolosai 2:15 | Luka 9:1 | Luka 10:19 | Waefeso 1:19 | Waefeso 1:21 |
|---|---|---|---|---|---|
| Exousia | "Uwezo" | "Mamlaka" | "Uwezo" | - | "Uwezo" |
| Dunamis | - | "Uwezo" | "Uwezo" | "Uwezo" | "Nguvu" |
| Kratos | - | - | - | "Uwezo" | - |
| Arche | "Ukuu" | - | - | - | "Ukuu" |
| Kuriotes | - | - | - | - | "Utawala" |
Uwezo na mamlaka ni yenye kuambakana zaidi, ni kigumu kutenga moja kwa ingine. Uwezo na mamlaka yote imehaidiwa na hata kwa wakati moja hatuwzei kuwa na uwezo bila mamlaka na vivyo hivyo. Kwa mafia ya mafunzo "uwezo" na "mamlaka" imetofauti katika hii gari. "ya mipeto" kumi na mnane. Uwezo ni NGUVU. Nguvu ya kwenda safari ya kilomita themanini kwa saa moja. Mamlaka ni HAKI. "Akidapalisi" — Haki ya kusema" Hima"
Kustahili kutumikisha mamlaka ya Mungu
Ni nini imestahili kwa kutumikisha hii mamlaka?
Tumehitaji kuwa na ufahamu sawa na mazoezi.
Waefeso 1:3,19,21- mahali au msimamo wa uwezo na mamlaka yenye kuhaidiwa. 2 Petro 1:2-10- Tumeyatumwa uwezo na mamlaka ambayo ilihaidiwa?
Waebrania 12:2- tukimtazama yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha mungu. (Matendo 19:14-16)
Tumehitaji kutumikisha imani na uwezo
- Kuishi kuambatana na kweli 1 Timotheo 2:7; Tito 1:1.
- Imani na uwezo II Wathesalonike 1:11; Matendo 6:8; I Wakorintho 2:5; I Petro 1:5.
Mathayo 23:23- ole wenu waandishi na mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani adili, na rehema, na imani, hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.
Imetupasa kuonyesha unyenyekevu ya kweli — aminio yote katika uwezo wa mungu.
Luka 10:20; 2 Wakorintho 7:9; Warumi 10:5; Wagalatia 2:20; Yakobo 4:6,10; 1 Petro 5:5,5; Mika 6:8, yohana 6:57
Haja ya kurekipisha
Wumetunza ya kutosha kabla ya kushambulia? Kabla ya faraja kumepashwa kuwapo kweli. Usome kwenye wagalatia 6:1-10.
Wagalatia 6:12- Ndungu zangu, mtu akighafilika katika kosa lolote, ninyi mlio a koho mrejezeni upya mtu kama huyo kuvi roho ya upole, ukijinagalia, nafsi yako usiji ukajaribiwa wewe mwenyewe. 2 Mchukukiane mizigo na kutimiza hiyo sheria ya kristo.
Ni nini wajibu ya makanisa wakati mkristo mwenye kutenda ametenda dhambi? Kwekikisha ni kwa ndugu wa kweli. Ya rohoni kufanya. Ndugu wa kweli ambae ni wa rohoni wana wajibu ya kumsikiliza kwa swali mtu ambae alighafilika katika kosa ili awezi kurekibishwa.
Ndugu, kama mtu ameghafilika katika kosa…
Sikuzote kutamsaha mabay na kweli. Ndugu rohoni amepashwa kahumia kweli ya neno la mungu makusudi kudamsho mabaya (yohana 1:11; Zaburi 69:8; 122:8; 133:1; Mithili 6:10-19) Kukamisha mabaya ni imefunyika sikuzote wakati mtu ametegamia neema ya mungu imusahidie. (wagalatia 1:6; 2:21;6:18). Kwenye neema ya Mungu imetegemewa kumakuwapo bidii na na maisha ya sala. Bidii na maisha kanulifu ya sala ni ya muhimu zaidi kwa kujitahhidi kurejeza alio ghofilika kwa sababu ameguswa amekosa tumaini na nyakati nyingi amekuwa na uchungu, ni kigumu kumrejeza kwa utubio.
Paulo alimrekibisha Petro:
Wagalatia 2:11- Lakini Kefa (Petro) alipokuja antiokia, nail shindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu. Katika 3 yohana 1:9,10, Paulo amejitolea kumrekibisha Dio triphes wakati ya safanri yake ijayo.
I Wakorintho 8:12- thoyo, mkiwatenda dhambi ndugu yenu na kuitia jiraha dhamiri iliyo dhorifu, mnamtenda dhambi christo.
Warumi 8:12- Bisi, kama ni hiiyo ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili.
Warumi 7:4; 8:13; 10:1; 11:25; 15:15, 30,; 16:17; 1 Wakorintho 1:10, 11; 3:1; 4;6; 6:5;8;7:24
Ifohana 3:6- Katika hili tumelifahamu pendo, kwa kuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili yetu; imetupasa na sisi tuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu.
Badala ya kutazama majeshi letu ambae walijarahaliwa kuanguka upande wa njia na kwendelea kwa raisi matembezi yetu imetupasa kuwa na shumriko kuu kwa ajili ya ndugu ambaye walianguka. Tumeamuriwa kwa hiyo kuitaa uhai wetu kwa ajili ya nduguuhaiwetu kwa ajili yao.
Tamko "Fault" (Kosa, au dhambi) maana kukwaa au kuanguku. Si ne neno mar ngapi walianguka, tumehtaji kuwapelekea ujumbe wa kupatana na Mungu « Upatane na Mungu » warumi 4 ;25 ; 5 :15-20 ; II wakorintho 5:17-20 ; waefeso 2 :1-5- Lakini mungu….
Yakobo 5 :16- Ungamini dhombi znu ninyi kuwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akumba kwa bidii.
Ninyi wa rohoni…
I Wakorintho 2 :15- Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
I Wathesalonike 5 :21- Jaribuni mambo yote ; lishikeni lililo jema.
Mujeshe yule mtu mathayo 4:21 1 wakorintho 1:11.
Katika roho ya upole
Ukijiangalia nafsi yalo usiji ukajaribiwa wewe mwenyewe.
Muchukukiane mzigo…
Jinsi bora ya kumrejesha mtuni kushindana uso kusi uso kuhusu mwenendo yao, aminio, na tabia. Si raisin a watu wengi wameepuka mashindano (mathayo 18:15), lakini imekuwa ya kusaidia na ya lazima zaidi. Kila mara zaidi tumeusika na mashida katika maisha ya watu kuhusu milile. Masumbufu yetu ni thamani ndogo ya kulipa kama tumeweza kupata ndugu!
Nyakati mashindano ni ya muhimu:
Wakati mtu amekukosea au amekuhuzunikisha makusudi
Wakati mtu hamfurahishi hungukwa mwenendo
Kwa utii tu kwa muchungaji na katika kunda mungu.
Swali ya kujiuliza mwenyewe mbele ya mashindano
Sababu gain imenisukuma?
Nimenjali kweli kweli huyo mtu au wamenikasirisha tu? Sababu kamili ya mashindano ni: 1) Kumajisha mtu kwa umoja na maendeleo 2) Ili mungu aonyeshe pendo lake kwa ajili yao kwa njia yako. 3) Kwa kumasaidia mtu ajui kweli na kuipenda na kuiishi.
Nina hakikisho ya kuwa Mungu amenyongoza ili kushindana sasa hivi?
Omba ili Roho mtakatifu awe nao na awaongoze. Wumilia na omba zaidi kuhusu mashindano. Nina hakikisho ya kuwa Mungu ameongoza ? nilitazama nafsi yangu yote katika eneo ambayo nimetaka kushindana? Mathayo 7 :3,4 ; II Wakorintho 13 :5
Nilijaribu kweli kuelewa tendo la mtu?
Nina mambo yote sawa ? uwaendee ndugu ambae wameweza kuwatambua ndugu katika haki.
Ulipanga mameni ambaye utaisema ?
Nguvu ya sauti yako, matamko na jinsi umetumia matamko yake ni ya muhimu sana. Hasa usitumie hasira kama maneno yako makuu. (Mithili 12 :18 ; Yakobo 1 :19 ; zaburi 115 :3 ; Mithili 17 :9 ; Kumbu-kumbu la Torati 13 :14)
Nilitangulia maneno ambayo waliweza kuyanena na jinsi gani nitajibu ?
Nilitazama matokeo ?
Watu na mambo yenye hatari imehitaji kushambuliwa na kuzuiwa kanisani na maishani kwa ujumla (Matendo 20 :26 ; Wagalatia 2 :11 ; Mathayo 16 :23)
1 Samueli 17 :29— Na Davidi, Nimefanya nini sasa ? Hakuwapo sababu ?
Lingo Binafsi Kwa Maibada
Kutomaa Rohoni
Motto rohoni hapashwi kubaki muda wa wakati mrefu katika hali ya utoto. Ni wakati ngumi kwa sababu ma ifada imepata kwa raisi nafsi juu yao. Mungu aliifanya kuwa au kuzubaa (hasa katika fitina kutokutu, shata au oga) itakuwa ya uharibifu kwa kutomaa kwao rohoni.
1 Petro 2 :2—Kama watoto wa chango waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu.
Chamuhimu zaidi katika maisha ya mkristo mpya ni kukomaa rohoni. Funguo kwa maendeleo ya kukanisa kikristo ni kufunza neno la mungu.
1 Timotheo 4 :16—Jitunze nafsi yake, na mafundisho yako. Dumu katika mambo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia.
2 Timotheo 2:15—Jitahidi kujionyesha kuwa umeombaliwa na mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli.
Yohana 8:31-32—Basi yesu akawaambia wale wayahudi waliomwamini, ninyi mkikaa katika neno lango mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli. 32 Tena mtaifahamu kweli, nayohiyo kweli itawaweka humu.
Hekima ya kweli
Hekima ya kweli ni kitu gain? Hekima ya kweli ni utii tu kwa mungu na neno lake.Imetupasa tu kutafutisha hekima ambayo imetoka kwa mungu.
Kuyatia Biblia akilini
Kuyatia Biblia akilini imetumiwa kwa kushinda maibada. Tia tu kweli akilini, walakini usikase ufahamu wa hila ya Ibilisi.
Zaburi 119:104—Pata akili toka kanuni ya mweneindo wako; Basi mimechukia pitoyote mbaya.Zaburi 119:128—Na kwa sababu nime yaana kanuni yote ya mwenendo wako kuwa bora, nimechukia kila pito mbaya.
2 Petro 1:3—Kwa kuwa uweza wake wa uungu, umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa kwa kumjua yeye aliyekuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.(1 Petro 5:10; 2 Wathesalonike 1:12)
Kuyatia neno la mungu akilini
Thomani ya kuyatia andiko akilini haiwezikamwe kusemeka zaidi. Kamwe, kamwe siyo kamwe! Zaburi 119:9-11
Tia akilini neni kwa injili ya hekima na nguvu rohoni
Mathayo 4:4; II Wakorintho 3:6, 15-18; Yohana 1:1,5-9,12,14,17;3:15,16,36; 5:39;6:27,35,48,51,57-58,68; 14:6;17:3;20:31; Yohana 1:7;2:24-26;4:9;5:11-13,20; II Petro 1:2-11.
Tia neno akilini kwa ajili ya kweli kinyume ya uongo
I Timotheo 6:20; II Timotheo 2:16
Yohana 8:32—Tena mtaifanamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweta huru
Zaburi 119:11—Nilificha neno lako katika moyo wangu ili nisiwezi kutenda d'hombi kwake
Zaburi 37:3—Sheria ya mungu wake ni moyoni mwake; miguu yake haiterezi.
Waefeso 4:14—Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na hutu, kuchukuliwa na kila upepo, wa elimu, kwa hila ya waku, kwa ujanja, tukijifuata njia ya udanganyifu.
Wakolosai 2:8—Angalieni mtu asiwafanye makeka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya kristo.
Mithili 14:12—Kuna njia ambayo imeonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho yake imeenda mantini.
Mithili 16:25—Kuna njia ambayo imeonekana sawa kwa mtu…
Akili ya kweli ya Biblia iliyokuwa wazi
Kunakuwapo kweli ya ukristo
Ni neno ya kweli ya kuwa kuna mungu halali na aliye hai ambae aliumba ulimwengu na ambae ametupenda na ana mupango kwa ajili ya maisha yetu. Katika ya ulimwengu yenye machafuto na uharibifu ambayo imevuta kila kiku kilicho hai chini kaburini ya mauti, kunakuwapo kweli ambayo mungu ni hiyo na mungu amependa. Ni dhambi ya mtu ambayo ilileta machafuko na kifo ulimwenguni. Ukristo imesungumzia upendo wa mungu kwa ajili ya ulimwengu. Siyo mungu wa chuki ambae amemwacha mtu gizani, aliye papasa hutu na hutu, na kujaribu kufumbwa kweli kuhusu maisha na mwanzo yake, shabaa na muisho. Ni mungu wa upendo ambae alituma mutwa wake wa pekee ili kutatua mashida ya mtu.
Njia ya mungu ni waratibu kweli ya maisha. Yohana 1 :1-5 ; 3 :16-21 ; 8 :32 ; 36 ; 14 :6 ; 1 wathesalonite 1 :9
Uungu kweli na utu kweli
Uzima wa mungu katika kristo kama mtu.
Sikuzote uangalie kristo toka andiko sikuzote uangalie kusimama kwako katika kristo toka andiko.
Shule ya Biblia ya Kufunguliwa
Kumuona Masiya katika andiko
Kristo ametia nguvu kwa uongozi wa maandiko. Kristo na mwana wa mungu, Bwana na mutu kama mwamna wa Davidi. Yesu kristu ni Masiya, Mungu na mtu, mwenye uungu na utu. Yesu aliwaswali kuhusu mambo wengine walikuwa wamesema kuhusu yeye ili kusudi apate kujua mambo wamefikiria wenyewe- kupanda au kushuka. Christo nakuanze kuwaeleza tu ya kuwa alikuwa masiya, lakini alikuwa ametafuta wao kupata hiyo ufunuo toka kwa mungu sawa vile Petro alifanya katika Mathayo 16:17. Walikuwa wamekwisha kukirimiwa maandiko ambayo imeshuhudia ya kuwa masiya atakuwa mwenye uungu na utu, bwana na kristo na walikuwa na wajibu kwa ajili ya hayo (Mathayo 22:45, 1 Yohana 4:1-3, Wakolosai 2:9,10)
Matendo 2:36 — Ba
Mungu mwenye nafsi tatu
Matendo 10:38; 2 watorintho 13:14; Luka 4:18, waebrania 1:9; Mathayo 3:16-17
Ushuhuda wa Petro Matendo 4:25-27
Ushuhuda wa Paulo Matendo 13:33
- Ushuhuda wenye nafsi tatu
- Mungu mwongozi
- Mungu Msimamizi
Mungu Mwenye Kufanfi sauti ya Roho Mtakatifu zaburi 10-12 "Umwaminie"
Luka 24:49; yohana 2:22; 8:17-18, 42; 12:16; 14:16; 15:26; 16:7; 13; 17:1,3,5, 21-26; 14:26; Warumi 15:30; Wagalatia 4:6; Yohana 2:20, 23,27;5:7; 2 Yohana 1:9; 2 Wakorintho 13:14- Nama ya Bwana yesu kristo, na pendo la mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote (Waefeso 2:5-7,10,13,14,18)
Baba ni Mungu — Mwana ni Mungu — Roho Mtakatifu ni Mungu.
1 yohana 5 :7- Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, baba, na neno, na Roho Mtakatifu, na Watatu hawa ni umoja.
Yohana 8 :13,14 ; Yohana 5 :2,15,18,19,20
1 Yohana 2 :18-24-22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa yesu ni kristo ? huyo ndiye mpinga kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. 23 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba ; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
1 Yohana 4:1- Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijoribuni hizo roho, kwamba zimetokana Mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.
1 Yohana 2:26- Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.
1 Yohana 4:6- Sisi twatokana na Mungu yeye amfuaye Mungu atusikia; yye anyetokana na Mungu hatusikie. Katika hili twamjua roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Fikira ya Maibada Kanisani
FIKIRA YA MAIBADA KANISANI
Fikira mbovu ya Ibilisi imetampibaa kanisani. Ijapokuwa mingi kati yao haimekani kwa jina, angalisho yenye busara imeonyesha matendo yayo ambayo iwezi kukawa kanisani.
Gnosticism
Kosa ya Gnosticism imekana nini na imefundisha nini mahali hapo ?
Imekana kwamba imani niya muhimu kwa wokovu.
Imefundisha kwamba maarifa ni ya muhimu kwa wokovu.
Mwenye kutetea maarifa kwa wokovu (Gnostics= wametia nguvu kwa maarifa (gnosis) badala ya imani (pistis). Mafundisho ya maarifa kwa wokovu (Gnosticism) siyo kwa imani kalini kwa akili. Mashabaa ya mafundisho hii yenye kuitwa hivi maarifa mafikirini kamini ya Mungu kuhusu mafundisho hii ni zaidi kuliko maibada katika ya kuwa imeambatanisha na kupatanisha ushuhuda wote wa mafundisho kuhusu mungu moja (Monotheism), mafundisho kuhusu miungu (Polytheism); aminio ya kuwa mungu aliumba na ameniliki juu ya wat na ulimwenu (theism) aminio katika Mungu yenye kuketi juu ya akili badala ya ufunuo na imekubali ya kuwa mungu aliitia ulimwengu katika matembezi lakini haguie jinsi imejiongoza (Deism), Mafundisho hii ilikuwa hasa kwa kazi zaidi. Kwa sencheri ya kumi na saba na kumi na nane; Aminis ya kuwa Mungu na ulimwengu yenye kuonekana ni moja na kitumoja na Mungu akuwapo katika kila kitu. (Pantheism). Tumehitaji imani katika yesu kristo na kupata hakikristo kwa mambo ya neno la Mungu. Tumehitaji neema ya mungu ili tupate kuishi maisha safina yenye haki katika kumcha Mungu. Maarifa peke yake haitoshi.
Phenomenolism
Kosa ya phenomenalism imekowa nini na imefundisha nini mahali hapo?
Imekana ya kuwa wenye haki wataishi kwa imani.
Imefundisha kwamba wenye haki wataishi kwa kuona.
Wametupa kuwako Mungu na wamekoma ile imeweza kuwa maisha kwa imani. Mahali hapo, mambo yenye kusikilika mwilini, imeitwa "dalili safi" hiyo ambayo maisha imetafakariwa kabla ya kitu chochote: vitu ni majeuzi sawa toka dalili ya kusikiya au mawazo katika maarifa ya…. Na maarifa ya fikira ya kupata kwa kusikia (Phenomenalism) mafundisho hii ni ono ya kuwa vitu vyenye mwili havikueko kama vitu katika vyenyewe lakini tu kama mambo yenye kusikilika au sensory stimuli yenye kuwa katika muda ya wakati na katika mahali. Kwa raisi, vitu vimekuato kwa sabadu tumeviona kuwa.
(Wenye kukana Mungu kwa matendo na …. Wametetea kidogo manene yenye kuwenda sawa sawa katika hii ya kuwa maarifa imeweza kupatwa tu kwa njia ya kutazama bila kizuio na kutenda, na siyo kwa njia ya kuhusu mungu au imani)
Secularism
Secularism ni kutosha dini kwenye mambo ya serkali kawaida; aminio ya kuwa dini na vitungo vyo dini havipashi kuwa katika mambo ya siasa nay a maisha ya kawaida au wakati vituo vya serkali vinaongozwa, hasa mashule. Hiyo aminio ni yenye kutupa dini au kutupwa kwa dini katika mbinu ya fikira na mwenendo. Amimo hiyo ni njia danganyifu. Wakurugenzi wa serkali walianguka katika mili. Tumetoka safari ndefu tangu wakati wa George Washington, Thomas Jefferson au Abraham Lincoln wote ni watu ambae walijua ya kuwa ushindi wa maongozi ya serkali ilimtegemea hatimaye Mungu. Sauti yah ii aminio ni kutafuta kujipendekeza na zaidi ya fikira yake alishawishi hata mafikiri ya kikristo. Wakristo wengi wamedhami kwomba kanisa hawezi kuingizima katika siasa na mafundisho ya watu. Kanisa iliruhusu mafikiri ya aminio hii kuyatisha kwa upande usiyo na nguvu ya uvumilivu nah ii amnio imeshuhudia ya kuwa ulimwengu yupo yote hapo yupo. Wamesema ya kuwa hakuna utu wa uungu ya katika maficho ya ulimiengu sauti yao imesikika ikisema "Tazama ulimwengu, dunia, hiyo mwaka tumeishi, kwa maana hii ndio yote imekuwapo. Kumbe ishi kutokana na hiyo, fanya ambayo umependa, na nyafanye sasa hivi- kwani leo tu ndio siku ya kuishi kwa ajili yao". Kwa mtenda dhambi ni sikuzote barabara yenye kuteremuka ambayo umekua mbavu sana, lakini kwa mwaminio ni umekuwa tu bora sawa na bora zudi ni sikuzote ijayo. Hali ya watu ya mafikiri sasa myangoni mwa wakristo leo yameyafanya kutazamia ya duniani zaidi kuliko ya rohoni nay a milele ni bila shaka ushawishi wa aminio hii yenye kuwa kwa kazi. Nguvu ya aminio hii imetiwa kwa yalia hapona sasa, na mwisho yake yenye kuondoa mafikiri yoyote kuhusu Mungu. Kwa hiyo, aminio hii imekuruhusu kuishi kama tumetaka "kama imekuwa bora, uyafanye" — hamna matokeo, wajibu, hatia, hamna haja ya kitu. Hii ndio shina ya fikira na ujumbe yenye kulalamika yenye kutangazwa kwenye tivi, muchezo kwenye tivi na ma namna nyingine zimeusika na matangazo ulimwenguni leo na pia katika kanisa yenye kupotoka.
Ufunuo 3:17-… Hujui ya kuwa wewe umyonge, na mwenye mashaka, na maskini na kipofu, na uchi:Ufunuo 3:20- Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu atiisikia sauti yangu nakunfungua mlango, nikoingia kwake, nami nitakula pamoja naye, nay eye pamoja nami.
Bwana ni nje amebisha na nia ya kualitwa ndomi.
Humanism
Humanism imeshuhudia ya kuwa hii ni ulimwengu yenye katika ya yote mtu yenye kuwa na mtu kama mamlaka yake ya juu zaidi. Mtu ni shina ya ulimwengu na kwa kosa mwokozi wake mwenyewe. Wakati imeangalia maisha, mtu mapashwa kujiotoa mwenyewe kwa kumaliza ugonvi na vita na kwa kuendelesha maarifa, maarifa ya vifaa, na kazi ya utabibu ili ku paua maisha yake na kuifanya kuwa nzuri zaidi. Dunia imesema ya kuwa hakuna mungu au uwezo juu ya mtu mwenyewe. Afya, maisha na maendeleo yetu ya kesho imeketi yote mikononi mwetu wenyewe. Tupo walimu wenye kupanga hali ya maisha yetu wenyewe ya kesho. Aminio hii ni fikira yenye kufundishwa popote na ambayo imepuènguza au imelegeza imani ya wengi dunaiani pote. Mtu ni kiumbe chatabia ya rohoni na amehitaji zaidi kuliko yale yametoka kwa ulimwengu ya tabia ya mwilini ili aishi kweli (Mathayo 4:4; zaburi 107:20; zaburi 42:11; 43:5; Mithil 3:8; 4:22; 12:18; 13:17; 16:24; Yeremia 30:17,33:6; 3 Yohona 1:2, Mithili 3:5-4
Relativism
Relativism ni aminio katika kipimo kimeweza kubadilisha: aminio ambayo imetamkwa sawa kweli na uingo, mema na mabaya, au kweli na udonganyifu haito kamili lakini imebadilika toka tabia kwa tabia na mambo kwa mambo.
Aminio hii imefundishwa na watu ambae wamesema hakuna kamini ya mwenende kamili, hakuna cha kuhogopa, na cha kushakia mamlaka yote. Wamesema ya kuwa amri kumi ya Mungu ni tu yenye kuletwa kwa kusaili na siyo amri. Katika aminio hiyo, kila mambo imepanga yalio kuwa sawa au wango. Tendo imeweza kuwa mbaya leo, lakini kesho imekuwa sawa. Kuisha kwa wakati ingine na kwa saa tafauti, imeweza kuwa mbaya tena. Ndio hiyo imejulikana sawa hali ya kanuni ya mwenendo. Fikiri hii imemruhusu mtu kubadilisha makanuni kutoka na kila hali ya maisha. Basi, hakuna kweli makanuni. Hakuna kitu kimekuwa "sikuzote sawa" au "sikuzote mbaya" kwani mwenendo yote ni yenye kubadilika. Hakunakwa raisi kamini ya mwenendo kamili au hivyo wamedhami.
(Malaki 3:6; waebrania 13:8; Mithili 24:21)
Materialism
materialism ni mafundisho ya fikira ya yenye kuwa na mwili. Mafundiso ya kuwa kitu kwenye kuwa na mwili ndio tu kweli nay a kuwa hali ya akili sawa… akili, fikira na tama itafasiriwa mwisho yake kama kazi ya mwilini. Imetazamia mapato: bidii kwa utafiri wa vitu na mapato kwa uharibifu ya makanuni ya akili ni na ya rohoni.
Mafundisho hie imetazamia tu mapako ya vitu na anasa ya dunia. Lengo yake ya kwanza ni maisha raisi, yenye raha na anasa. Anasa ya mwili na mapato ya vitu imekuwa lengo ya maisha ya mtu katika mafundisho hii. « Hamna kitu juu ya hii ulimiengu ya vitu ; kwa hiyo, imempasa mtu kujifurahisha katika anas aya mwili na roho ya dunia kila siku ya maisha yake ». thii fikira imeharibu watu peke ayo na maisha ya watu, imewahsa zaidi na zaidi tamaa ya watu kuhusu mapato na zaidi na zaidi kuhusu nguvu (uwezo) na zaidi na zaidi kuhusu anasa kama matokeo, mwenendo na ustahivu wa wengi imeanza kuharibika na hali sawa ya mataifa imeanza kuguswa. Wakolosai 3 :2 1 Timotheo 6 :5 ; 9,10 ;17 ;1 Yohana 2 :15-17 ; 2 Timotheo 2 :4 ; Luka 8 :14
Progmatism
Progmatism imeshuhudia ya kuwa kweli imeonyeshwa ma majibu ya matendo. Kama imetenda, ni kweli na imepashwa kufanya. Basi, ikiwa umeona mwenendo au tendo fulani imekuwa bora kwako, ikiwa imezara majibu (matunda) umetaka, kumbe uifanye.
Ni yenye kutenda au kuleta majibu njemba kwako. Hata kama haitii amri ya Mungu au neno lake, uyafanye. « Mwisho au jibu imeifanya kuwa haki matendo » ni mfano nzuri ya hiyo mafundisho ya fikira. Kwa mfano, mwenye kunza au kizwanda amefungwa kweli katika tangazo ya biashara na kama matokeo ameuza biashara bingi zaidi, kumbe ilikuwa safi au ilitenda.
Basi ni mambo nzuri ya kufanya-yapokuwa kweli ilibadilishwa kwa uongo na watu walidanganywa.
| Maendelelo and na mambo yake yenye kuchamgamana | A.Mafundisho kulingoma na imani |
|---|---|
| MAFUNDISHO-Maendeleo ndio jibu | IMANI-Mungu ndio jibu |
| Mafikiri kudhani, | Munio, hakikisho, bidii, utii |
| Mawazo yasiyo kamili ambayo imebadilika-badilika | Mambo kamili yasiyo badilika |
| Yenye kutiliwa pamoja kwa mafikiri ya mtu | Yenye kujengwa juu neno la Mungu |
| Yenye kutetea ya kuwa humanimu ndio leo | Yenye kuena Mungu katikati ya yote kuwa ndio leo |
| Mtu ana "Shabaa" kamili (kwa masibu) | Shabaa ya mtu ni kwa umoja na Mungu |
| Maisha yenye kubadilika | Mwamba yenye nguvu |
| Wongo | Kweli |
| Hamna matoleo kwa ajili ya mwokoji | Imani katika yesu ni shima ya wokovu |
Mwanzo 2 :7 ; I wakorintho 1 :9 ; waebrania 9 :27
Chanzo ya Maendeleo
Mafundisho ya maendeleo yana mwanzo yalio kuwa mengi ambayo haiwezi kukubalika. Maendeleo ilikuwa mafundisho katika misri ; walifundisha ya kuwa maisha iliendelea toka… juu ya bahari Nile. Hii iliefanya nile itolewe ibada. Tena Anstaile alifundisha maendeleo katika mawaka miya ine mbele ya kristo. Charles Darwin aliandika tu mafundisho kadha wa kadha bila kazi ndefu ya maaifa. Wengine waliyachukua yale mawazo na walijaribu kuyafanya tangazo. Imani katika umbo ina mwanzo moja tu: Mungu aliumba vyote.
Mwanzo 1:1- Katika mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia.
Mwanzo 1:27; 2:4,7;5:1,2; Wakolosai 1:16,17; Yohana 1:1-4; Mwanzo 1:26-27; Yobo 33:4; Yohana 17:5;
Mafundisho ya maendeleo ni msingi wa mafundisho ya mtu (humanism) ya ubaguzi wa ngozi (racism), an mawazo mengi mengine ya hatari yenye kuambatana na hiyo.
Humanism imefundisha ya kuwa mtu ni mungu wake mwenyewe mwenye kumwachilia kwa uharibifu au utukufu wake mwenyewe. Maendeleo na humanism yote mbili imepeleka kwenye ubaguzi wa ngozi. Uyasome mukta yuote ya kitabu cha Dauwin (nguvu yenye kuyongezeka)
"Chanzo ya ma aina ya upekuzi ya asili au, kuyalinda ngozi yenye kufadhiliwa katika mapigama kwa ajili ya maish"
Maendeleo ni msingi ya Socialism, communism, Nazism, dini moja duniani. Hali mpya duniani, na aina nyingine ya ubaguzi wa ngozi.
Maendeleo imeketijuuu ya miamba na kuu ambayo yamejaribu kuhairub makanuni yote ya mwenendo na yameelekea mtu yo yote ambae atayasilikza
Yohana 8 :44- Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi na kamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda, yeye alikuwa muouoji tanfu mwanzo wala hatusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndoni yake. Asemapo uingo, husema yaliyo yake mwenyewe ; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.
Karl Marx ni mwenye kuunda communism ambae alikuwa na watoto sita: watatu walikufa kwa njaa kama watoto wachanga na wawili walijiua. Ni watu tu wasika walindhunia kilio hiki.
Mipango ya kicomminist ya mwaka 1848
Ya Karl Marx yameonyesha namna gain kuharibu nchi.
Kuvunja mapato ya upekee
kadi kwenye mshahara yenye kwendelea (zaidi wamefanya, zaidi ume chukua)
kuvunja haki ya kurithi
kupokonya haki ya mapato
benki kubwa (ilichikuwa na ilitumika kwa njia Government ya upekee (federal)
serkali ilichukua communication na TRANSPORTATION
serkali imechukuwa vifaa vya kazi na mlimo
serkali imeangalia kazi
mipango kijimba
mafunzo ya bure kwa njia ya serkali imeangalia ma shule
Hitler aliseam chunguza kitabu, chunguz serkali.
Communism na socialism ni maadui ya uhuru na capitalism. Communism itaharibu marekani ikiwa monetani haiharibu communism communism imemnyanganya mtu peke yake nafasi moja moja ambayo wababu wao walikuwa nayo na wengi myangani mwao walitoa maisha yao kwa kuyalinda.
Makanuni ya kicommunist kwa ajili ya mapinduzi
Kuharibu vijama; kuwaandaa kwenye dimi ya kweli
kuharibu kanuni bora ya mwenendo
kuchochea ghasia ya raria na kulegeza hali ya serkali kwa uwaji
kugaa watu kwenye makundi za kutokushirikiana (rangi ya ngozi dini) ufisadi wa mume kwa mime
kuyakosha akili ya watu kwenye maangozi ya serkali yae kwa kujipana kwenye michezo, kutombana, kazi, uvumilivu, na kadhalika.
kuchunguza vyombo vyote vyenye kuusika na tangazo
kuharibu vinani ya watukatika vyongozi wao
kuhesabu masilahaa yote kwa sababu Fulani, ili kusudi koypokonya na kuachiliwa bila msaada
Isaya 42:5- Nihiyo Bwana Mungu amesema huyo ambae aliumba mbingu na kuyaponua ambae alipanua dunia na vyote vimetoka huko, ambae ameleta pumzi kwa watu wake na uhai kwa wale ambae wametembea juu yake.Malaki 2:10- Tumekuwa wote na baba moja. Siyo mungu moja alituumba? Mbona tume najisi agano ya wababa wetu kwa kutokuaminiana?
Marekani ina sikuzote msingi wake juu ya milya ya kikristo na tangu mwanzo wake ilibaikiwa na mungu (Isaya 18:2,7;Matendo 2:5,21)
- Tangu mwanzo Marekani ilikingwa na makanuni ya mwenendo bora
- Wakaaji wa marekani wa kweli wamepashwa kuamka sasa au hii taifa nayo itaanguku piya
- Yesu kristo nib wan na kila goti zita kunjwa.
Yeremia 50:12- Mama wako atakayarika sama; huyo ambae alikuzaa araulika, atakuwa ndogo zaidi wa mataifa-jangwa, udongo mkavu.
Yeremia 50:15- Piga kelele kwake upande zote! Amejitia, mina yake imeanguka vyambaza vyake vimevundika na kwanguka. Tangu hii ndio kisasi ya briana, umlipaze kisasi; mutendee jinsi aliwatendea wengine Mungu atahukumu marekani kwa ajili ya dhambi zake kama hatubu.
Maendelee iliunda uongo
Umbo imeketi juu ya neno la Mungu
Waebrania 1:2,3- Mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliyfanya ulimwengu. 3 yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa chapa ya nafsi yake akivichukua vyote kwa amri ya uwezo wake, akiisha kufanya utakaso wa dhombi, aliketi mkono wa kuume wa ukuu huko juu.
Imani katika yesu kristo ndio msingi ya wokovu. Mafundisho ya mtu haitaakoa hata mtu moja.
Yohana 14:6- yesu akamwambia, mimi ndimi njia, na kweli, na uzima, mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya mimi.
(Mathayo 1:21; Marko 1:15; Luka 5:32; Matendo 16:31; Warumi 10: 9,10; I Wakorintho 3:11)
Kutokujali
Kutokujali ni pito ya maisha yenye kushikwa na wengi Asiyejali Yenye kudhuru: yasipo kuwa na faida kama matokeo ya yenye kulimisha nguvu ndogo ya akili. Purposelesi: yonyo kuwa na shabaa: yenye kuonekana kuwa bila shabaa au sababu ya kweli. Bila shuguli: hasiye jail au kuwa na shyuguli
Wafilipi 2:5; Waebrania 12:2-3; Isaya 26:3;1 Yohana 3:8
Kutokujali imeonyesha ya kuwa mtu ametembea kwa njia ya maisha bila kufikir, kwa muda kama amefanya angalisho kamili kwa mwenendo, maisha ya kesho, mungu, au kwa kuweza kupata maisha nyingine nje ya dunia hii. Mtu hasiye jail ameishi tu kwa ajili ya leo, mwenye kusifunga katika maisha yake na mafikiri yake mwenyewe, tama zake na mahitaji yake mwenyewe. Kidogo kama mtu ameshungulikia mambo nyingine yo yote hisipo kuwa yeye mwenyewe katikati ya dunia. Tumehitaji kuongozwa na Roho mtakatifu na siyo kutembezwa na shabaa ya uchoyo.
Udadisi wa Uchawi
Mtu na hiyo hali ya mafikiri maeanika tu kila siku na kwenda kwa makazi yake bila hata mafikiri ya kuhusu matokeo au vipi mwenendo wake iliweza kugusa wengine. Hakuna mpango, kitungo, wala sabaa kwa maisha ya mtu hisipokuwa tu kutumikia siku ingine upendelevu wa giza wenye kushangaza
Maarifa
I Yohana 4:1- Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijari uni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa wango wengi wametokea duniani.
Mafasirio ya maarifa
Iamko maarifia imetoka kwenye tamko ya kilatin Ocultus: mambo yenye kusikirika, siri, nay a ajabu. Uchawi imeamb atana na matendo au mambo ambayo imeonekana kutengemea uwezo wa mtu nje ya vipaji tano vya njia ya kusikia miwilini. Uchawi umeambatana kwa kazi na nguvu ya nje ya asili, kuwapo kwa nguvu ya mashetani, na hata yalio kufanana ya kawaida.
Habari ya maarifa
Ni ya hakari kukanan maisha yake au kutokujua hila yake. Kosa ya kawaida ni kutokuona faida katika uchawi (II Wakorintho 2:11; Warumi 16:9; I Timotheo 4:1) Onyo kuu. Kucheza na maarifa imepeleka kwenye mashida kuu ya rohoni na akilinii uwe katika ufahamu ya mapambano yenye kuendelea ya rohoni katika ufalme wa mungu na washetani. Tumehitaji kuyafahamu na kazi ya ulimwengu wa shetani lakini siyo kwa hali ya kuwa upendelevu isiyo kuwa bora, upofu, au aina yo yote ya kujitumbukiza. Mungu amehukumu na kulaumu maambatano yote na mashetani (kutoka 20:3; Mathayo 4:10; Yohana 12:31; I wakorintho 10:20; Waefeso 4:27;1 Yohana 3:8)
I Timotheo 4:1- Basi anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwinsho wengine wabajilenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo ye mashetani.
Wanafunzi wa maarifa
Ni aina gain ya watu ambaye wamejitumbukiza katika maarifa?
Wenye kutafuta kujua, ambae wameweza kushawishwi kwa raisi, wenye uzuri, wasio faidika, wenye kutomboka, na kadhalika. (Watoto wamashawishwi zaidi na kupotoshwa na tabia mbavu ya wakuu)
Ukumbuke: Kunakuwapo uchawi-ni kundi yenye ongozi sawa
Kunakuwapo matendo ya maarifa- ya mechutuliwa toka ushawishi wa maarifa wengi honueto katika ufamu yo yote ya hiyo, bali ushawishi wa maarifa umetangazwa kwa njia ya tivi, vitabu, redo, mashuole, makundi ya watu na inteneti.
Watoro-mtu ambaye hatakuyakubali wajibu na kweli.
Picha ya zamani — Ibilisi alinisfanya mimi kuyatenda.
Wenye kuaminia maarifa- wenye kufasiria ya asilikwa njia ya nguvu ambayo haionikani kna makanuni yeny »e kuwa kwa kazi. Hadithi ya wake wazee » na wanaume wapumbavu…
Wenye kungua: Wenye kunguwa, ndiyo lakini wametazama, wameomba na kwe wametafuta Bwana?
Wenye kungua lakini: Si wenye kujitolea; Wa dhaifu; Wenye kutafuta kujua; Wasiyo ambatana; Wenye kutomboka; Wenye kuvunikika; Wenye kulazimishwa; Wenye kusadiki
Hali kujua ya kuwa mungu amehukumu viote ambao wameambatana na Ibilisi hakupashwi kuwapo nafsi ya kuusiyana au kupatana na Ibilisi. Kama Mcristo imetupasa kuwa kukadiria rohoni mambo yote,
I Wakorintho 2:15; 1 Wakolosai 6:2,3; I Wakorintho 11:31; waebrania 5:14.
Uchawi (Uchawi ni mabaya maconi mwa Mungu)
Walagatia 5 :21… Watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawaurithi ufalme wa Mungu.
I Samueli 19 :23 ; II Mambo ya shiku 33 :6 ; Wagalatia 5 :20 ; I Timotheo 4 :1-2 ; Matendo 13 :6-12 ; Matendo 19 :19 ; Marko 13 :22 ; Kumbu Kumbu la torati 18 :9-14.
| ankhs | piramidi | bahati hirizi | hirizi | hirizi |
| zodiac | medallions | michezo | sungura mguu | Genie katika chupa |
| vipodozi | vikuku | pete | Staha ya kadi | trinkets |
| kujitia | mdomo fimbo | shanga | pete | madawa ya kulevya |
| mascot | alama Astrology |
Fanya angalisyo ya kuwa Ibilis yuko
2 Wakorintho 11:14-15
Jihadharini nia yake
Fanya angalisho kwa sababu yake ametaka ibada ya kusujudu Mathayo 4:1-11
Fanya angalisho kwa mbimu yake
- Kupepeka I petro 5:8, Yohana 10:10
- Kudanganya 2 Wakorintho 11:3; 2 Wathesalonike 2:9-10
Wagalatia 5:20- Ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ngonvi, wivu, hasira fitina, faraka
Ufunuo 9:21- Wala hawa kuutubia…. 'phonmakeia) Uchawi waoufunuo 18:23-… Kwa kuwa mataifa yote walidanganya kwa uchawu wako (pharmateis)
Pharmakeia, chumba cha madawa na kadhalika mbele maana yake makumizi ya dawa, maarifa, kiisha, kufanya sumu, kruisha uchawui… Katika uchawi, makumizi ya yenye kuwa legevu au ya nguvu ili kuwa kwa ujumla imeshindikizwa na kuagua na mfani kwa uwezo wa maarifa, na matoleo ya vyombo tofauti ya uchawi amulets, na kadholika…
Ulozi na uchawi ni vyenye kuambatana katika dhambi makuu na imehukumiwa na mungu.
Hatari yakuvumilia ubaya
Ni hatari kwa Ruhusu Ubaya
Kunakuwapo mashawishi ya hatari kando kando yetu kila siku ambayo imeonekana kuwa bila uharibifu. Wakati tumetishwa na masauti ya "usiwe ngumu sama. Ni mzaa tu yasiyo na hatia". Millioni ya nafsi wameshawishwi na kuangamia. Imetupasa kukesha na kuya jaribu roho kutokana na neno la Mungu. Tufafakai mifano ine ya hiyo mashawishi. Hiyo mashawishi tatu ni yenye kutangazwa popote kama yasiyo uharibifu, yasiyo rohoni au mashida yasiyo ya mwenendo. Kumbe kwa kinyume, kunakuwapo mashawishi yenye uwezo ya rohoni kwa kazi nyma ya hayo na mashida mengi mno. Orodah hii siyo yenye yote, lakini imetuwatu na mifano kadha wa kadha yenye kuchukuliwa kwa mengi yenye kuwezekana.
Kweli yenye kutendeka
Watu wameishi katika dunia ya udhami, wamevutwa na hiyo wemdhami na kuunda kwa mafikiri na wemejifanya kuwa kwa faragha na kweli. Mawazo mengi yenye kwambatana na kukimbia kweli katika "kweli yenye kutendeka" imetumbikiza kazi ya michezo, kwa michezo yenye kutazmiwa kwenye vyombo, na matumizi ya drugs mvinywaji vileweshavyo.
Marehemu wa hatau Timotheo Francis Jeary ni mfano ya huyoambae tumehitaji kwa kunmama imara. Raisi Richard Nikin mar moja alimuita "mtu wa hatari zaidi katika marekani" Kinyume ya jinsi ya kuishi ya maka 1960, Jeary ni mwenye kujulikana sana kama ya mafaida ya tiba, rohoni na kusikia yo LSD. Na kuifanya ijulikana uelevu wa tamko"Hingua, utie, uadame". Leary alikuwa ushawishi wenye uharibifu ya shirika ya watu na mawazo yake imendelea kuambukiza dunia yetu.
"Wakati wa miaka 1980 na 90… kama na alifanya karamu ya maendeleo ya computa kama mwongo, nguvu yenye kuvunja mipaka. Aliondika kwenye maisha katika …. Ambayo aliushi, alionyesha moja kwa moja ugonja wake na matunzi ya drug kwenye intaneti. Katika mwaka 1997 chambo ya satellite ya sporin ilichukuwa nusu ya majivu yake hewani".
" Timotheo Francis Jeary", kamusi kuu (Encyclopedia) ya Columbia, Edition na tatu © 2008 Columbia University Press.
Kweli yenye kutendeka imeweza kuoneka bila uharibifu kwa wengine lakini matokeo ni yenye kushikusha, imeweza kutumiwa kwa kuwhukuwa mahali pa mtu kweli na kujitokea katika mtu peke yake mwenye kutenda mambo ambayo ka kawaida hawangetenda. Maendeleo ya kweli yenye kutendeka imechochewa na mambo ya kuwa wengi wamependa sasa kusadikia ya kuwa kwamba haiku katika uambatanisho na imekuwa yasiyo kukazika juu ya kweli yalio kweli. Kunakuwapo bila shaka mambo mengi ya hatari ambayo imewezekana ambayo imetoka kwa hiyo matendo na fikira. Hayana matokeo ya maisha ya liyo ya kweli.
Neno la Mungu ilituonya kuhusu mambo haya.
Ufunuo 13:12- Naye atumia uwzeo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujuotie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake lamauti lili pona.
FISADI wa wanaume kwa wanaube
Hiyo tendo ni machukizo machoni mwa Mungu na hali ya maisha ya leo duniani imekuwa yenye kulegeza kwa ajili ya hiyo kadiri wakati imepita. Niya hatari kwa sababu ya kutomboka kwake kwenye kanuni ya Mungu, Matokeo yake ya… na ma shawishi yake ya …. Pepo ya hiyo tendo imesukuma na imeambukizwa.
Wagalatia 5:19- Basi matendo ya mwili ni dhahini, ndiyo haya, uasherati, uchafu, fudindi ufisadiwa wanaume kwa wanaume ni ausherati, ufusadi, na uchafu.
Ufunuo 22:14-15 (Matendo Kinyume kwa Mungu na kuunda wango). Yohano 8:44- Ninyi ni wa baba yenu, Ibilis, na tama za baba yenu mpendazo kuzitenda.
Siyo shida katika mbego yao mwilini, ni pepo mbaya yenye uharibifu mwilini mwao. Tendo hii ya ufisadi ni uchaguzi na uamuzi mbovu, haijali msamaha gami ulitoa, Mungu ataihutumu hiyo dhambi ya uharibifu
- Moto
- kiberiti
- Mauti ya pili
2 Wakorintho 7:1; 1 Yohana 1:7,9; Isaya 1:18; Yakobo 1:14-15
Uamuzi nzuri kwa mut yote ni kwa mwenye kutakaswa kwa kila dhambi
Mungu aliharibu miji ine kwa mot kwa ajili ya ufisadi muu (Mwanzo 19:1-17; 23-28) Kama vile sodoma na Gomora, na miji iliyo kuwa kandokando waliofuata uasherati kwa jinsi moja ja hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto ya milele (Yuda 1:7)
I Wafalme 14:24 wasodomiti-machukizo,Bwana alifukuza
II Wafalme 23:7 yasaya aliyabomua manyumba ya wasodomiti
Walawi 18:22- Usilale na mwanaume kamavile mtu amelala na mwanamke: Ni mwachukizo
UKIMWI: Haki ya maisha au ubaya
Hukumu ya Mungu juu ya maisha ya uzinzi ilileta ukimwi utimwi ilikuwa imekwisha kusambaa mahali pote katika utoto wa marekani mbele na watu ambao walikuwa wamezini wanaume kwa wanaume. Tumeshindwaé kukadiria kila mara matokeo yote ya upumbavu wetu maishani na makosa rohoni.
Mafundisho ambayo imekubalika mahali pote ni ya kuwa ukimwi (HIV/AIDS) ilitoka kwenye kidudu (Virus) ya soko mutu hiyo « aina ya nyama yenye kuruka-mka » kwenye Afrika. Kwa namna yoke, ni dhahiri ya kuwa ma… ya kwanza ya ukimwi iliandikwa kwa… Katika serkali manhatau katika mwaka 1979, muaka kadha wa kadah tabla ugonja ilionekana Afrika katika mwaka 1982. imeshuhudiwa sas aya kuwa kidudu herpu-8 ya mtu (yenye kuitwa tena kidudu KS) ; yenye kufumbuliwa katika mwaka 1994, tena ilitoka wakati kidudu (Virus) ya herpes primate aina ya kuruka-ruka katika Afrika ?? Vipi aina mbili ya madudu ya kuruka-ruka mwisho yake imepatikana tu kwenye.. katika serkali Mauhatani yenye kuanza mnamo mwisho ya mwaka 1970 bado haija fasiriwa kwa jinsi ya kukubalika
Tendo yenye kufuata kanuni na yenye kuwa ya mtu mwenye wajibu ya mepashwa kuheshimiwa sasa.
UKIMWI (AIDS) ni ugonja ya hatari ya kufa ya kingo ya mwili yenye kuletwa na kidudu ya HIV. HIV pole-pole imeshambulia na kuharibu kingo ya mwili, kingo ya mwili kwa ugonjwa, yenye kumwacha mtu peke yake kuwa mlegevu kwa magonjwa nyingine jofauti na ukali ambae mwisho yake imeleta mauti. Ukimi ni hatua ya mwisho ya ugonjwa wa kidudu ya HIV, na wakati huu magonjwa ya maut na kansa yamejitokeza. Kujitokeza kwa UKIMWI. UKIMWI ilijulishwa mara ya kwanza katika mwaka 1981 na wachunguzi katika ma serkali ya New York na California. Mbele mashida mengi ya UKIMWI katika marekani ilimekama kuwa kiba kwenye wata waanume wenye kuzini, ambe waliombukizwa na kidudu (virus) mwazo kwa njia ya kuzini na kwenye wenye kutumia kwa mishipa, ambae waliombakizwa zaidi kwa kugawa masindano ya kudunga.
UKIMWI (HIV/AIDS) ilisombaa kwa mahali mengi katika mwaka 1980 hasa katika afuka. Kusambaa huku kumeoko ya watu kati muji, safari ndefu katika Afrika, safari ulimwenguni mabadiliko ya makamini ya kuhusu ku kutana kwa mwili na matumizi ya kweyo mishipa. Mnamo mwaka 2002 UKIMWI uliangamiza zaidi ya milioni ishirini na tano ya watu ulimwenguni pote. Karibu milioni ambaini ya watu ulimwenguni pote waliambukizwa na kidudu ya HIV. Watu ambaye wameishi katika Afrika ya Chini ya jangwa wametia zaidi ya percent sabini ya magonjwa yote, na katika manchi kadha wa kadha kwenye kumetawala ugonjwa kidudu HIV ya wakaaji imepita percent kumi ya uma. Kidudu HIV imeendelea na kuishi nje ya mwili kusemuda wa manku kumi na nane. Basi, usiyonangalie na dhiaka au magonjwa yo yote nyingine ya zinaa, kama supphilis, herpes, gonerrhea, na chlamydia, ambayo inuongeza hatari ya kupata kidudu ya HIV.
Waraka wa Yuda
Yuda 1,2- Yuda mtumwa wa yesu kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika mungu baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya yesu kristo. 2 Mwangezewe rehema na amani na apendano.
Kuna kuwapo mungu…. Kuna kuwapo mungu majawa
Kunakuwapo mungu mwanye kupenda, kuhifadhi na kuita V1
Kunakuwapo mungu mwenye rehema, amani na upendani V2
Kunakuwapo mungu mwenye utukufu, ukuu, uwezo na nguvu V25
Kunakuwapo mungu mwenye neema, imani na hukumu V.V 3-5
Kunakuwapo watumwa halasi wa mungu V.1
Kunakuwapo watumwa halisi wa mungu baba, V.1
waliopendwa katika mungu baba, V.1
Kunakuwapo watumwa halisi wa yesu kristo mwana, V.1
waliohifadhiwa na kiitwa, V.1
Kunakuwapo watumwa halisi wa roho mtakatifu, V.20
wahojazwa na imani takatifu sana, upendano, rehema, huruma, oga na utakaso VV.3, 20-24
Yuda 3- wapenzi nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikia habari ya wokovu ambao ni wetu sisi wote, naliona imemlazimi kuwandadika, ili niwaonye kwamba mwishindiane imani waliyo kabidhiwa watakatifu mara majatu. 20 Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya ya imara yenu iliyo takatifu sana, nakuomba katika roho mtakatifu. 21 Jilindeni katika upendo wa mungu, huku mkingojea rehema ya bwana wetu yesu kristo, hata mpate uzima wa milele.
Kunakuwapo adui na mpizani wake ni Ibidi si Adui amefanya nini? Ameshambulia. IMetupusa kuyafahamu hila ya adui makuridi kuwa makingo ya nguvu na shambulio ufahamu wa hila ya adui ni ya muhimu, lakini kabla ya hiyo imetupasa kuwa na hakikisho ya msimamo letu katika kristo.
Yuda 1 :1- Yuda, mtumwa wa yesu kristo, kaza msimamo wako kama mkristo : mwanafunzi wa christo Kaza msimamo wako kama kyongozi : fuata nyayo zake.
1 Petro 2 :21- Kwa sababu ndio mlisitiwa ; maana kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielekezo, mfuate nyayo zate.
Warumi 4 :12- Tena awe baba ya kutahiriwa, kwa wale ambao si waliotamhiriwa tu, bali pia wamazifuasa nyayo za imani yake baba yetu Ibrahimu aliyo kuwa nayo kabla hajatahiriwa.
Imetupasa kuwa na msimamo ya kweli katika kristo kabla tushindane na adui. Kama kumekuwa mahali maishani mwetu ili ibilisi apate nafasi ya kutupata, atajaribu! Sabaa kuu katika kipindi hiki kuhusu yuda ni kutolea mshida ya kutia kichinwonmi waraka kwa kuleta atale nzuri zaidi ya hiyo.
Yuda haitolewe kwa kamisa ya yote fulani au mtu peke yake kulani ; basi imeitwa waraka wa ujimla, na imeandika kwa wakusto wote wa mahali pote.
Yuda aliongozwa na mungu tangu mwanzo ni ameanza herufi yake kwa jinsi ya kuheshimu mapokeo kwa wakati huu ; ambao imetolea kyongozi mahali pa kushika yenye kufanana na mkono wa uponya. Yuda handike kuhusu « wokovu wa wote ». habadili shabaa yake; amekazatu lengo ya na ameanza kutozamia mahali pasipo kuwa no msimamo kwa ajili ya wakristo kwa ujumba. Tuna mpizani aliye kuwa na hila lakini mwenye ukali sawa Amekuwa katika kutafuat, kuwa na kuharibu » Kazi ; kazi ambao imetegemea kuvunja moyoni kuanganya na kupepeta kila mwana wa mungu (yohana 10 :10 ; I petro 5 :8) Adui huyu mwenye kujificha amejua ya kuwa wakati wa kupepeta ni wakati wau toto rohoni, na ushindi kuu itakuwa katika mahali pa mafundusho na mazoezi. Yuda ameyafahamu hiyo na amesema, kiisha kweli kutazama kuhusu wokovu kwa ujumla, ilikuwa ya lazima kwake kutazamia kwa mahali hapo ambayo adui ameshambulia. Basi yuda ameyashimika kama moja ya mambo kuu ya ujumba ya imani wakati kumukuwapo mazoezi ya majeshi na matoleo kwao ya silaha kwa ajili ya kushinda adui. Waraka wake imetukabidhi fikira na mila kwa ajili ya kujikinga kwa nguvu kwa hila ya Ibilisi.
Paulo ametoa mafasirio ya mpinzani wetu na ngao ya mwanajishi kwa ajili ya kupampana naye katika waefeso 6 :10-18. Yuda ametoa mafasirio ya akili ya mwanajishi andhila kwa ajili ya kupombana na adui.
Yuda 4- kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri wabadilio neema ya mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake mola, na buana wetu yesu kristo.
Imetupasa kupigana kwa ajili ya hiye iliyo kweli, bara, na yenye kubarikiwa kwa sababu tuna mpinzani ambae amedanganya wenyi kwa uerevu. Ni kwa faida ya wengine himetaji kuunda.. na msimamo kwa matendo yake. Hila yake ni kutumkisha "mtu fulani", watu tofauti, au watu ambaye wamefanana tu na mtu ye yote mwengine, ili kutimiza ujanja wake. Wameingizana sawa vile ilikuwa kwa njia ya mengo ya ubavu bila mbulika, bila kelele, au kwa ukimwa. Hawa watu walikuwa walisha chambuliwa mbele kwa ajili ya kazi ya kuinua. Wameanza na kutafsiri neema yathamani, reheema subira ya mungu kama kibali ya kuwa mwengye uchoyo na kutenda dhombi. Wamenena matamko sawa: " Kila siku tumetnda dhambi ndogo sisi sote". Kiisha, wameshuka kwa: "Ni sawa ya kuwa tumetenda dhombi kila siku", na kiisha kwa: "Mungu ametutazamia tutnde dhambi kila siku", hadi wamegamia kwa kukana kwa leo kwa baba na mwana. "Ni mpinga kristo, ambae amekana baba na mwana", I Yohana 2:22.
Yuda 5,7- Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba bwana, akiisha kuwookoa watu katika nchi ya misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini 6. Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
- Tena napenda kuwakumbusha
- Ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote; "Kumbuka", amesema; au "napenda kuwakumbusha ijapokuwa mmekwisha kujua hayo yote."
- Jinsi bwanan akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya misri
- Baadaye aliwaangamiza wale wasioamini
- Malaika- wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
Yuda ametoa hadihi ndogo ya kumkana mungu na mifano ya hukumu ya mungu! Mungu aliwaokoa 2) Mungu aliwahukumu.Wengine hawailinde msimamo wa usalama (au wokovu) kwanza ni wale ambaye mungu aliwaokoa myaka ipitayo, sawa Israeli toka misri. Wokovu wa kwanza siyo arabuni ya hiyo ya mwisho, usalama ya mwisho. Jibu ni kwa raisi ni kuendelea kumbtii na kumwaminia mungu, baba na mwana wake, yesu kristo jilindeni kwa kutomboka. Kiisha, kuna wamalaika. Hakuna mtu mwenyen ustahivu amedhani kuwa sawa malaika lakini hata kama alikuwa, hiyo hali siyo arabuni kwa ajili ya usalama. Shururisho hapa ni kukesha, ambiyo imeambatana kila muda na sal wakati imemwelekea mwaminio.
- Hatutaweza kuichuikua maisha kwa wepesi
- Mwishindaneie imani waliyo kabidhiwa watakatifu nina moja tu.
- Mubaki wenye kuamini, muwe katika pendo lake.
Hawa malaika walikuwa hawakeshe, hawakufurahi na kukaa mahali pao pa usalama. Hivi womechukuliwa mateka kwa mtare wa kifo. Hukumu yao, kwa namna yote haita kuwa ya muda wa wakati- Itakuwa ya milele. Hauwezi kujifanya rafiki na ibilisi kwa yote bila kuteswa kwa ajili ya hiyo, Ibilisi ni sikuzote mpinzoni.
Yuda 7- Kama vile sodoma na Gomora, na miji iliyokuwa kandokando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele. Kuna wale ambae wametegwa na kutafuta anasa na ufisadi;sawa Sodoma na Gomora, ambao haikupendi kufuata na kutii sheria ya mwenendo ya Mungu, hiyo ambayo aliandika juu ya dhami: Ya kila mtu, ambae ataadhibiwa pia kizimuni.
Wamekataa kuyaacha matendo yao mbovu, ya kujifurahisa wenyewe na kukimbilia kwenye mahali yenye ukingo. Kuyajua na kuyatii neno la mungu.
Yuda 8- Kadahalika na hawa, katika kuçota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutowaliwa, na kuyatukana matukufu.
Hisi pia ni mfano wakunfuzi wadanganyifu wa siku yke na yetu. Wao pia watahukumiwa kwa ajili ya mawazo yao mbovu. Yuda amesema ya kuwa wamechafua yote mbili mafikiri na mwenendo na mawazo yao ovu. Wametupa undo yo yote ya serkali; wameingiza na neno yenye mamlaka ya mungu. Tena wamejaribu kuharibu msimamo na ushawishi wa wale ambae wamepakwa mafuat na kushimikwa katika mahali pa mamlaka. (Waefeso 4:11, 12; Waebrania 13:17)
Yuda 9,10- Lakini mikaili, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuhutubu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemu. 10. Lakini watu hawa huyatukana mambo wasioyajua, na mambo wayatambuayo kwa asili wajiharibu kwayo kama wanyama wasio na akili.
Yuda ametuonya kuhusu kulaumu wale ambae kati yao mungu ametia uwezo, mamlaka, na wenye kupakwa mafuta. Ametumia mfano ya wakati "Mikaeli malaika mkuu", (Malaika mkuu na ameongaliwa kuwa malaika wa vita) hakulaumu juu ya shetani, alionyesha ya kuwa mikali hapo alitumia mamlaka ya bwana na alimukemea. Tumehitaji kuelewa ya kuwa hakuna uwezo ya kumpiga au kupambana na adui kati yetu au peke yetu. Yo yote ambaye tunayo imepatikana katika uwezo na mamlaka yake- "Danii ya yesu ni kinyume yako, shetani; na nimekukemea kwa jina la yesu".
Yuda 11- Ole wao! Kwa sababu walikwenda katika njia ya kaini, na kulifuata kosa la balaamu pasipo kujizwa, kwa ajili ya ujira, nao wameangamia katika maasi ya kora.
"Ole wao" Yuda amesema. Amesema huzuni imekuja kwao kwa sababu: (Linganisha na I yohana 2:15-17):
Yuda 12,13—Hizi ni matangazo katika mikutano yenu ya upendo, wakati karamu pamoja nanyi, kulisha wenyewe bila hofu mawingu ni bila maji, pili kuhusu ya upepo, miti ambao matunda yakauka, bila matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa up na mizizi; 13 mkali mawimbi ya bahari, na matendo yao ya aibu mwenyewe; nyota Mabedui, ambaye ni akiba weusi wa giza milele.
Tamko miamba hailinganishwe na uchafu au ila. Hiyo tamko imeonyesha jiwe yenye kuchomoka kwa mwamba katika bahari: katika matamko nyingine, hawa watu ni sawa hiyo miamba yenye kusitinka ambayo imezamisha merikebu iyapokuwa yamekuwa kandokando ya pua (nyumba, bandiri, usalama) na bila kutafakai mambo ya kuwa umejitolea kama dhabihu kwa watu wengine" konamu ya upendo". Ni wenye kuleta hatari kanisani kama mwamba yenye kusitirika katika bahari.
Picha ya tamko ya pili ya yuda imeelekea kwao kama ni wenye kufanana au kuonekanan kuwa kitu ambae haweko. Imeelekea tena kwa asili yao yenye kugeuka-geuka na yasiyo tegemewa ambayo ni sawa mawingu, ambaye yamepeperushwa na upepo.
Picha ya tamko mamba tatu imewafananisha na miti ambayo ilipukutika. Majini ilinyauka na kupeperuka, matunda imekuwako tu juu ya matawi lakini ilinyauka na mti yenyewe imekufa kwa sababu iliangolewa" Mafundisho mengi iliweza kupatikana kwa hii picha ya tamko lakini pata hii machache:
- Haiko nzuri kwa uvuli ukingo kwa joto ya maisha
- Hayana mafaa kama kyonyesha kwa sababu yaliong"olewa.
- Hayawezi kutegemewa kama kwenye kutoka msaada.
Kiish, amewafananisha na povu, hata mawimbi ya bahari yasiyoziulika" wakufunzi wa uongo wameweza kuwa wahatari kwa ambaye wamechukuliwa na kelele, lakini, kwa mtu ambae amesimama salama puani (mwamba) "nguvu ya yenye uongo ni yenye majivuno tu". Ni kelele wamepiga ambayo imedanganya na mwisho imewatumbukiza katika udanganyifu.
Mwisho yake, yuda amewaonyesha kama "nyota" au viumbe vya asili ambavyo vimejipoteza katika mbingu. Kwa muda huu hiyo tamko maana yake mkufunzi mwenye kuwa katika kosa.
Mashaira kumi na nne hadi kumi na nane ya meendelea na mafasiri baina ya yuda kuhusu walimu wa uongo na hukumu wa Mungu juu yao na juu ya wale ambae wamedanganywa nao.
Mwisho yake,yuda amemaliza na maneno ya utukufu kwa mungu na shausi yenye hekima kwa wale ambae wamependa kufanya zaidi kuliko "kuyakinga ngome". Kama umetaka kuwa mshirika wa nguvu yasiyo ya kawaida (Hajeshi ya wakati mbaya, ammando) mwenye kyapata, kushinda umehitaji ku:
- Kuketi na kujitia nguvu mwenyewe katika imani (sawa kutoa mazoezi ya uzito)
- Kuomba katika roho mtakatifu
- Kuwa mwenyewe katika upendowa mungu (umeweza kuwa mwenye kushika na lakini umekosa upendo)
- Kuifahamu rehema ya mungu kwa kazi katika maisha yako na ya wengine
- Kuwa na huruma kwa wengine (mengi hawata kuacha uwasaidie)
- Kuwa rafiki wa kutosha kwa wengine ili kuwaambia tu jinsi hiko, waziwazi
- Kukumbuka kwamba ni yesu tu ameweza kutusaidia tusianguke
- Kujua ya kuwa "atakupeleka bila kosa mble ya utukufu wake na furaha kuu mno"
- Kumtolea "Mungu tu mwenye hekima, mwokozi wetu… Utukufu na ukuu, nguvu na uwezo, yote mbili sasa na milele".
