Mafundisho 1

Muhtasari wa Kozi

Mafundisho ifwatayo haiko ndani ya mafunzo fulani katika urefu, kwa sababu yamekuwa kwa raisi ndani ya ma cosi zingine:

Mafundisho kuhusu Biblia imekuwa ndani ya (Bibliology)

UTANGULIZI KWA BIBLIA. Ime kuwa ndani ya MAFUNDISHO III (DOCTRINE III)

Mafundisho kuhusu kanisa (Ecclosiology) imekuwa ndanii ya LOCAL CHURCH&EPISTLES I, II & III.

Mafundisho Kuhusu Kristo na Mafundisho Kuhusu Mungu (Christology and theology) yamekuwa ndani ya Mafundisho III (DOCTRINE III)

Mafundisho kuhusu vitu vya mwisho (Eschatology) imetuwa ndani ya PROPHECY and REVELATION.

Mafundisho Kuhusu utubio (Expiatology) imetuwa ndani ya PENTATEUCH.

1: Maana, Haja na Mfumo wa Mafundisho

Sections

  1. Maana ya mafundisho
  2. Haja ya Mafundisho
  3. A System

Maana ya mafundisho

Ufasisiyo ya mafundisho kamusini (dictionary) —

mila, imani, soditio, maneno iliyo aminiwa kwa kila kanisa, dhehebu, ao chama

Tamko “doctrine” maona yake mafundisho, na tena imeweza kufasiriwa kama kweli ya ndani katika biblia yenye kutungwa katika utaratibu ya mbinu mafunzo hiyi imcitwa kwa ujumba “theology”, maana maarifa kamili kuhusu Mungu. Theology ao doctrine lime weza kufasiriwa kama maarifa kuhusu ufahamu wetu wa Mungu na kwambatana kwake Mungu na mtu.

Tumefasiria je theology ao doctrine kama marifa?

Maarifa ni utaratibu kamili na yenye kitungwaa mbinyay yene kuhakikishwa, mambo. Tumefasiria theology (doctrine kma maonifa, kwani imeambatana na maneno kuhusu mungu na vitu takatifu vyenye utaratibu kamili na yenye kufwata mbinu.

Ushiritka gain inayopatikana kati ya theology ne dini?

Theology ni ufahamu kuhusu Mungu, walakini, dini ni mazoezo za hiyo ambayo imefahamika. (John 13:17; james 1:27). Umeweza kuwa mwenye maarifa kamili kuhusu Mungu (theologian), lakini bado haujaambatana na dini-yani, badon haujapata ufahamu kamili za viroho.

2. Haja ya Mafundisho

Ufahama ya mafundisho imeleta haja ya neon ya kweli inayo kuwa na mamlaka na mbinu (John 17:17)

Maneno ya mamlaka ni ya muhimu kwa kuwashinda wenye kupinga. (Titus 1:9). Ufahamu wa mafundisho imesaidia tena mwaminifu ili kusudi aelewe mambo matatu: 1) wenye dhambi/watakatifu/wenye kupendwa/ wenye kuhutumiwa, na kadhalika. 2) Mahali ambapo tulitoka (udongo, mfano wa mungu, na Kadhalika na tena. 3) Mahali ambapo tumeongozwa (mbinguni, jehanamu, baraka, laana, matdholita).

Ufahamu kamili za mafundisho zimeitojika kwa wokovu

1 Timotheo 4: 16—Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako: duma katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokowa nafsi yako na wale wakusikia pia.

Kila ufahamu tunayo ya mungu imetegemea imani (Imani chanzo chake nikusikia, na kusikia huja kwa NENO LA MUNGU. Warumi 10:17). Paulo mtume ameuliza swali moja yenyi maana na yenyi kuhudhuru nukta yetu kwenye shauri 14 ya warumi 10 “Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini?”. Ufahamu kamili ya mafundisho imeitajika, kwani haitoshi kuaminia kitu, lakini twapashuwa kuwa na kweli. Mungu hajibu kwa toraja .-hivi, ao walieleza kwamba…, lakini Mungu amejibu kwenye mani kupitia kwa neon lako.

KWA MFANO: Matendo ya mitume 17:22-34. Watu wa athene walijenga madhabahu iliyoandikwa: “Kwa MUNGU ASIYEJULIKANA”. Paulo akasimama katikati ya Areopago, akasema, Enyi Watu wa Athen, katika mambo yote naona ya kuisa minyi ni watu wa athene walipata wokovu kwa njia ya kwabudu bila kunijua, lakini wale waliyoyapata ufahamu ya Yesu Kristo ambaye alisulubiashwa na kufifuta katika wafu hawakuyapate wokovu! I timotheo 4:16 ametetea kwamba ikiwa hautunze mafundisho yote, hatuitunze mafundisho yetu, tutapotea.

Ufahamu wa mafundisho umehitajika kwa kujenga mwenendo ya kikristo, na imesaidia kwa kuelimika Katika haki. II Timotheo 3:16,17.

II Timotheo 3:17 — ili mtu wa Mungu awe kamili, …

Kamili, ni maendeleo timilifu. Kuna maendeleo katika maisha ya kiroho vile imekuwa katika maisha ya kimwili. Kuna hatuwa za ukamilifu. Mtoto mchanga ni mtamilifu? Kama motto mchanga, ndiyo! Lakini kukomoa kumefaa kwendelea ao kama sivyo, tumesema kuna shida. I Petro 2:2 amesema, “ Kama vile watoto wachanga wanavyotamani maziwa, nanyi pia mnapaswa kuwa na hamu ya maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa.”

Niyamulimu kuishi katika haki badala yakuyafahamu mafundisho, walakini hatutaishi katika haki bila mafundisho kweli ya kweli maishani walakini kweli katika kunena yamefaa kwa kuishi katika kweli (Galatia 2:17; Tito 1:16; I Petro 1:22, Waefeso 2:5, 8-10; Wafilip 2:12,13; Waebrania 12:14; I Petro 1:16).

Waweza kweli kumpenda Jesu bila ufahamu wa neon la Mungu? Kuelewa mafundisho kumehitajika kabla ya kukomaa katika mwenendo ya kikristo. Ilisemeka vizuri kwamba, “Mwenende ya kikristu ni tuda zimekomaa tu kwenye mafundishio ya kiktristo.” Mafundisho kamili. Haivai kifuwani, walakini, bila hiyo amekuwa mkristu kijongo hama samaki asiye na hali majini. Kuambatana kwa mwisho na kristo kumehitaji utahidikwa kweli. Tumehitaji mfupa wa mgongo wenye nguvu mafundisho.

Yesus ni mfano wetu kubawa na tena alikuwa na mafundisho:

Mathayo 7 ;28,29—…Makutano walishangao mno kwa mafundisho yake: 29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye amri, wala sikama waandishi wao. (Mark 1:22; Luka 4:32; yohana 7:16)

Ufahamu wa mafundisho imeepusha makosa. (Mathayo 22:29; WAGALATIA: 1:6-9; Timotheo 4: 2-4).

Sababu gain mafundisho imehitajika?

Waefeso 4:14—Ili tusiwe tena watoto wa changa, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwahila ya watu, kwa ujanja, hikizifuata njiaza udanganyifu.

Tumehitaji mafundisho bora na ukubalisho kwa ajili ya hiyo kweli Tumehitaji kitu tumeaminia na sababu tumeaminaa mkristo mwenye kukosa ufahamu kamwe hamtishi ibilisi. Watu wenge wamehatarika na kuanguk katika makosa, siyo tu sababu ya kukosa mafundisho kamuli, bali wamekosa ukubalisho wa kweli ambayo womejuwa. Uchaguzi umeweza kabaedilishwa bila hosanna lolote inayo onekana, walakini ukubalisho kamwe kwubadilishwi bila hosanna kubwa.

UKUBALISHO: umeyaona kama neon la Mungu, aminia hiyi kuwa kweli, na ishi katika kweli (na tena ikiwezekona ufe kwa ajali ya hiyo!). HAKUNA USIYA NO LOLOTE.

KUTAKA: umeyasikiya, ulielezwa ao hata ulifundishwa, lakini haukwaminie ukubwa na mamlaka ya mafundisho. KUNA USIYANO.

Kwaminia kwa nazi kuleta Ukubalisho wa wazi??

Fanya Angalisho kwa Mafundisho Danganyifu

1 Timotheo 4:1 — Basi Roho amena waziwazi, ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani,

Kila siku, uyafwate neon. Tumehitaji Kutaribisha kila shida na swali hiyi “ maana maandiko? Yasemaje? (Warumi 4:3). Ikawa ulimwaungu mzima imeshirikiona kinyume ya neon la Mungu, hivi ulimwengu mzima itakuwa katika makosa! Tia hiyo kichuani: Shikamana katika neon twajuaji ya kuwa ni kweli katika hiyo isiyo kweli? (Yohano 8:31,32) dumu katika neon.

Ni kwa ajili ya mamba mabaya, maubiri yote umekosa kweli (mathayo 16:12), Kila mkristo amestahili kushikama mzima katika neon la Mungu. Kweli imehitajika sana! (wacolosai 2:8; waebrania 13;9) imetupasa kujifunza neon la Mungu.

2 Timotheo 2:15 — Jitahidi Kujionyesha kuwa umekuboliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukikumia kwa halali neon la kweli.

Imewaposa wanafunzi wa biblia kuwa wenye saburi, busara na ujosiri. Kwa mafunzo ztu za neon la Mungu tumelinganisha maandiko na maandiko, kwani hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendovyo mtu Fulani tu (2 petro 1:20). Makosa mengi zimetukia, kwani watu wamechukuwa maandiko wame fasiriya hivyo na womepiga mbio moyo. Wame fasiriya maandiko kwa maandiko.

Kwa MFANO: kuzaliwa upya maana yake nini katika injili ya yohana Mtume 3:3? Bwana Yesu ona nia za kusema: rudi humboni ya mama yakon mona ya pili? Siyo. Jibu siyo: Siyo sababu ya mwenyene ameifasiriya viziri katika shairi ya 6-8- Kuzaliwa kwa maji na kwa roho… Angalia tena katika Johana 1:13; Yakobo 1:18; I Petro 1:23.

Katika njia yetu ya kijifunza na kutafuta kweli imetupaso kujikumbusha wenyewe kuwa na hekima ya katika yoyote yiliyo njema na mwepesi kuhusu mabaya (warumi 6:19). Hatutaki kuwa na ufahamu tele ya mabaya, bali tumehipati kuelewa tele yoyote yliyo njema.

Ufahamu ya mafundisho umetoka kwa utie wa neon la mungu.

Johana 7:17—Ikawa mtu yeyote ameshika mapenzi yake, yule atapata ufahamu katika mafundisho ya kuwa ni ya Mungu hama nimesema kuhusu mwenyewe.

Imetupasa kuijaribu neon la Mungu. Kumjaribu Mungu ili kuona kama atakuwa mwaminifu Mfalme Daude alisema : “O jaribu ili kuona kama Mfalme ni mwema” (Zaburi 34:8). Maadomu tumetembea katika mapenzi ya bwana, tutapokea na kushudia kweli na ukweli ya maneno bwana yesi alishuudia. Mungu akutuamuru kusadikia kitabu kilicho wazi, bali ame fungua ukurasa wamaandiko kwa uelebu wetu na kutualika kuishi katika kila neon. Ni katika kuishi katika hiyi tumepata ufahamu wa mafundisho wa ndom.

3. Mfumo ya Mafundisho

Below is an example of Systematic Theology that we will use in this study.

Anthropology — Mafundisho Kuhusu Mtu

Mwanzo 1:26-27; Yobo 4:17;33:4; Zaburi 8:5;31:5;139:14; Marko 10:6

Harmartiology — Mafundisho Kuhusu Dhambi Kumbu Kumbuz

Torati 29:19; Isaya 1:18; Mathayo 12:31; warumi 3:23, yakobo 1:14,15

Soteriology—The Doctrine of Salvation C. Soteriology — Mafundisho Kuhusu Wokovu

Numbers 21:2-9 (John 3:14,15); Psalm 18:2; John 6:37; Romans 1:16; Ephesians 2:8Hesabu 21: 2-9 (Jahana 3:14,15); Zaburi 18:2; yahana 6:37 warumi 1:16; waefeso 2:8

Bibliology—The Doctrine of the Scriptures Bibliology — Mafundisho Kuhusu Maandiko

Exodus 17:14; Jeremiah 30:2; John 7:32; II Timothy 3:16; Revelation 1:11 Kutoka 17:14; yeremia 30:2; yahana 7:34; II Timotheo 3:16; Ufunuo 1:11

Theology—The Doctrine of God Theology — Mafundisho Kuhusu Mungu

Genesis 1:1; Deuteronomy 6:4; Psalm 135:5; John 1:1; Ephesians 4:5 Mwanzo 1:1; Kumbu kumbu za torati 6:4; Zaburi 135:5; yohana 1:1; Wuefeso 4:5

Angelology—The Doctrine of Angels Angelogy — Mafundisho Kuhusu Wamalaika

Isaiah 6:2; Matthew 1:20,24; I Thessalonians 4:16; Jude 9; Revelation 12:7Isaya 6:2; Mathayo 1:20,24; I watheslonikia 4:16; Yuda 9; Ufunuo 12:7

Christology—The Doctrine of Christ Christology — Mafundisho Kuhusu Kristo

Matthew 16:16; 19:3-12; Mark 1:21-28; Luke 2:1-7; John 2:1-12; 6:1-5; Hebrews 13:8Mathayo 16:16; 19:3-12; Marko 1:21-28; Luka 2:1-7; Yohana 2:1-12; 6:1-5; Waebrania 13:8

Expiatology—The Doctrine of Atonement Expiatology — Mafundisho kuhusu Utuhio

Exodus 12:21; Leviticus 4:5,6,17; 17:11;Matthew 20:28; Hebrews 9:6-22-28; 11:28Kutoka 12:21; Walawi :.5,6,17; 17:11; Mathayo 20-28; Waebrania 9:6-22-28;11:28.

Pneumatology—The Doctrine of the Holy Spirit Pneumatology — Mafundisho kuhusu Rohomtakakifu

I Thessalonians 1:5; John 14:16; 16:13; Acts 1:8; 2:1-4; Romans 5:5; 8:16I Wathesalonika 1:5; Yohana 14:16;16:13; Matendo ya Mitume 1:8; 2:1-4; Warumi 5:5;8:16

Ecclesiology—The Doctrine of the Church Ecclesiology -Mafundisho kuhusu Kanisa

Matthew 16:18; Eph 1:22,23; Col 1:24; Hebrews 12:23; Revelation 1:20Mathayo 16:18; waefeso 1:22-23; wakolosori 1:24; waebrania 12:23; Ufunuo 1:20

Eschatology—The Doctrine of Last Things Eschatology - Mafundisho kuhusu Mambo ya Mwisho

Isaiah 2:2; Daniel 12:9; Micah 4:1; Matthew 24; Acts 2:17; 2 Timothy 3:1; 2 Peter 3:3Isaya 2:2; Danieli 12:9; Mika 4:1; Mathayo 24; Matendo 2:17; 2 Timotheo 3:1; 2 Petro 3:3.

2: Anthropology: Mafundisho kuhusu Mtu

  1. Mafundisho kuhusu Mtu
  2. Hali ya Mtu Yenye kuwa ya Mwanzo

1. Anthropology: Mafundisho kuhusu Mtu

Umbo wa tofauti “kwa mfano wake” Mwanzo 1:25

Kuumbwa kwa Mtu. Tamko “umbo wa tofauti” imeambatana na mafundisho ya kwamba viumbe vyote vyenye uhai viliumbya kutokana na ma haina Fulani na kwamba hiyo ma haina Fulani ina hali yenye mwendeleo ya ma haina ambayo ili kuako tangu awali. Kutokana na biblia, umbo wa tofauti (upekee) maana viumbe vyote vyenye uhai vitatoa uzao kwa mfano wake. Mfano mwepesi ya hiyo kamuni ni kwamba wakati umepanda punje za njimu, (mekuwa wazi kwamba mti wa njimu zita komaa kusi haina yake tu (kwa mbfano: apples, water melons, cucumber, na kadhalika) (Ndizi, hembe, mapela, muzeituni, na kadhalika).

Mfano Ufamruisho wa Mungu

Mwanzo 1:26 imesema kwamba aliumbwa kwa mfano wake Mungu. Ufananisho na mfano hii imeambatana na nini?

Kumekuwa ambatano na ujananisho wa murlikuna wengine wamedhani kwamba hiyo maandiko, kama Zaburi 17:15 zimefundisha kwamba ana hali yenye kuonekana, hivyo mtu kwenye bustani alichukua kwa mfano wake. Angalia tena katika Isaya 6:1 na Matendo 7:55,56.

Basi, afadhali ma tufanye angalisho ili kukumbuka kwamba Mungu ana uwezon ya kuivaa hali ya mtu. Undani wa hali yake ni Roho. (Yohana 4:24)

Imeambatana na ufananisho wa mwendo wa elimu. Maandiko ijayo imesungumzia “mfano” wa mungu kuhusu ufahamu na uhaki. (Wrefeso 4:23; Wakolosai 3:10; 2 Wakorinto 3:18)

Maendeleo kufika kwenye umbo za tofauti (upekee)

Kinyume za umbo za tofauti ni mafundisho za maendeleo, ambayo imefundisha halizote za maisha yenye kupata maendeleo tangu hali moja na hiyo na haina ya hali za juu zaidi, yenye kupata maendeleo kutoka kwa ma traina za chini zoudi. Ili kusudi, kwa mfano, ile iliyo kuwa gorogoro ili kwa samaki; ile iliyokuwa samaki, ilikuwa wanyama wenye kutamboa; ile iliyokuwa wanyama wenye kutamboa ilikuwa ndege, ne ile iliyokuwa apepe ili kuwa mtu.

Haini ni nini?

Haina za mapando na wanyama wenye kuwa na ufanonisho umoja na wamezorabila mwisho mahali pote bila mabadiliko lolote za haina.

Ni kwa mashindno gain tofauti ya haina ime julikana?

Ikuwa viumbe vyenye uhai vimeweza kumbatana pamoja na hivi bila mwisho uzao wenye kuwa najiusi ya kuzao; vinatawanyisha kumbe vimekuwa vya haina moja.

Maendelon zimehakikishwa ni mambo kwenye kuakikishwa katika manifa?Siyo (Hamma), ni mafundisho.

Sababu ya kuwako kwa Mungu na Mwendeleo ni Uongo

KUUMBWA KWA ULIMWENGU

Mpango bila mwenye kupanga? Vipi kulikuwako tupu na kiisha mara kumetuwako kitu? Kuwa, urembo, upana na utaratibu wa ulimwengu wetu ni akikisho yenye kutosha ya mwenye kuumba mwenye kuwa kwa kazi na siyo ubahatisho.

JUWA—10% Karibu, udingo unge sugulika ikawa juwa ilikuwa 10% Mbali ya udongo unge kuwa kama barafu. Juwa umekuwa kubwa zaidi hata kuwa 1.300.000 mara ya udongo.

MWEZI—Ikawa ilikuwa karibu, mawimbi yenye ukubwa zaidi ingetumeza.

AIR — hewa kamili za pumzi zimkuwamo katika hewa ili kusudi kamazingine ziméongeka ao kupungugwa maisha inge shindikana udongoni.

NYOTA —Ulimwengu wetu wa jua na jua yake, na ma udongo mbali mbali, imekuwa na billioni miya mojo ya nyota, na kila mmoja na ulimwengu yake ya udongo. Kumbe ulimwengu imejulika kuongezeka bila mwisho.

UDONGO— Yobo 12:8 “Sungunza na udongo, na itakufundishwa”. Udondo imezunguka katika njia nne kwa mara moja ao zaidi yake.

Mwituni

Uwa— Rangi— harufu; yote katika punje ndogo bila kamwe kuchangamana.

The RADISH— Punje nyeusi—Majani ya kijivu—jivu—ngozi nyekundu—Munyofu nyeupe.

THE WATERMELON— punje zimezaa pekeyke mara milioni moja.

THE ACORN— Mti wa Oak—Mtunga shairi alisema “Mungu tu ndiye mwenye kuumba mti”

MWILI WETU WA UTU

Mwili wa utu ni bila shaka ngumu na yenye kuleta mshangao. Imeanza na ambatano wa mbego mbili na imechukua binafsi trilioni ishirini na moja ya mbego nyingine (yote umeeda mahali kamili).

ROHO—Ina uzito wa 3lbs., na imetoa mkazo yenye kutosha ili kusudi kunyanyua merikebu mojaza vita ao kusukuma ma gari miya moja yenye shehena kuteremka kwenye barabara.

BONGO—Kombpyuta yenye ukubwa mno— shehemu kubwa yenye kazi katika bongo letu alipate matumizi.

MASIKIYO— Kipimo cha sauli— kuna masauti hewani ambayo hatusikie, na japo sikiyo ina ndomi mwake uwezo wa kusikia sauti zote.

Kwa mfano— Mbwa atajibu kwa pyororo ambayo hatuzi kusikia.

JICHO—imetoa ono Kyenye bongo ili kusudi iyabadili mapicha kusimama sawa.

DNU—Kitu kigumu kwa kuelewa. Masehemu za damu zimefumbua ubaya na kuponbansha adui.

MISHIPA NDOGO— Kuna mishipa ndogo zaidi ya bili moja (Mishipa kubwa, viugo na mwisho yao) Katika mwili wa mtu yote yenye kuongozwa na bongo moja.

UMBO LA MAIFA

Vipi maisha ilianza? Wengi wameshuudia kwamba ni tuda za maendeleo. Wenye kutelea maendeleo wametafuta kuambatanisha mtu na wanyama, walakini Yesu alikuja duniani ili kuambatanisha mtu na Mungu. (Yohana 1:12; Waefeso 2:15; II Petro 1:4; I Yohana 3:2)

Maisha haitoki kwa maumbile ya uutu yenye kuambatana na umungu, bali imetoka kua ya Umungu yenye kunigizana katika uutu.

NADHARIA YA MAENDELEO

Kun swali mengi ambayo imekosa jibu na udhani wengi kuhusu maendeleo ambayo haiwezi kuxhukuliwa kama maarifa halisi. Hiyo ma swali mbali mbali bila jibu imejulikana kama maungano yenye kutoweka. Ime kua fikira yenye kuzidi mno na mafundisho, lakini siyo mambo ambayo imeonekana kwa macho. Kueli, Maendeleo imeomba imani kubwa yenye kuwa bila macho kutokea kwa wafwashi wake ye kwamba imekuwa kuitaja kama dini. Kwenyi USA, imeduwa dini za serkali chini ya uficho ya “matengano kati ya kanisa na serkali”

Tutazame kwanza matendo ya badhi ya mbinu ya maarifa kama bile bwana Darwin alitumia! Tafakari kama umeweza kuwafahamu wazazi wako fuluni ambaye wamekuisha katoweka kama ulipewa hakikisho ndoyo kama hivyo tumeyaona katika mafundisho ifwatayo. MAUNGANO YENYE KUTOWEKA.:

Hesperopithecus— Harold Cocki— Mtu wa Nebroska— Hiyi mfano ili undwa kutokea kwa jino moja amboyo ili fumbuliwa na kuhakikisha kutokea kwenye nguruwe.
Homo neanderthalensis— Mtu wa Neanderthal— Katika nshi Germany— aliundwa kutokea kwa sehemu ya mfupa wa kichwa mfupa wa paya, na sehemu moja ya ubavu. Watu wenye elimu hawakuweze kukubali hiyo amboyo ili fumbuliwa ingawa walikuwa kwa mwili moja.
Pithecanthropus erectus— “Mtu……ape? Alikuwa ametembea myenye kusimama”. Mwenye kujulikana kama mpu wa JAVA— Hiyo mfano mzima iliundwa kutokea kwa sehemu moja ya mfupa wa kichwa, meno mbili na mfupa moja wa paya. Watu kumu wenye elimu walisema ilikuwa mufupa za …..? an ape; saba walisema ilikuwa mifupa ya mtu. Saba wengine walisema ilikuwa ungano yenye ku toweka “katika mnyororo za maendeleo!
Eoathropus dawsoni— Mtu wa altdown— Kutokea kwa sehemu kimoja cha mfupa wa kinwa, sepremu kimoja cha mfupa wa kichwa, jino moja ya mbele, meno mbili ya mwisho, na mfupa moja wa pua. Wakati ili hunzwa kar njinya laboratory ilionyesha kwamba hiyi mfupa wa kinwa haikumbatane vizuri na mfupa wa kichwa.
Homo erectus— Mtu wa Heidelberg— Tena picha mzima ya umbo ngumu ya miya ya sehemu yenye kutikisika na kuundwa kutokea kwa tabu ya kupata mfupa wa kinwa ambayo ilipatikana kwenye mchanga wanchi Germany.

2. Anthropology: Hali ya Mtu Yenye kuwa ya Mwanzo

Mtu mliumbwa mkamilifu.

Kitabu cha maandiko kimeonyesha waza kwamba akuumbwa koma mwili ndogotu ambayo ziliendelea ao mafundisho ile lolote, walakini aliumbwa kwa ukamilifu wanye kutesha hamma kosa lolote mwenye mpango la Mungu.

Mtu aliumbwa mwenye Uhuru ya uchaguzi Dhambi kwenye bustani ilikuwa mapenzi ya mtu.

Ilikuwa kweli kwa kutaka, kwani walikuwa na uhuru za uchaguzi.

Mtu aliumbwa na fikira za kutafakari mamba za dini, ambayo ilimifanya kuwa na ufahamu wake wa wajibu ya kiroho mbele ya Mungu, na Kufanya ushirika na Mungu.

Mtu wa mwanzo aliumbwa bila dhambi (mwanzo 1:31) na bila hatia za ubaya (mwanzo 2:17; 3-5-7).

Mwanzo 1:31:· Very-mead (Kiebrania) Kuzidi Mwenye, very || Good-towb (Kiebrania) Mwema, mwenye uzuri, mrembo.

Mtu wa mwanzo alipewa elimu kubwa. Mwanzo 2:14,20; Waebrania 2:6-9.

Mtu aliumbwa na elimu yenye kutosha ili kuleta jina kwa biumbe vyote vyenye uhai na kuvitawala. Mafundisho mpya ya maendeleo, ambayo imejaribu kufasiria maendeleo ya mtu tangu hali ya chini ya utu ni tunda mbovu za fikira isiyo na msimamo.

Mwanzo 3:7 harifundishe kwamba Adamu na Eva waliumbwa bila elimu lolote. Jambo kuhusu hali ya uchi na kutokuyajua imeonekana kufundisha ukosefu wa elimu Jibu kwa muthili hiyi ni kwamba waliumbwa katika kutokuwa na hatia, bali siyo katika kutokujua. Nikigumu kwetu kwelewa ulimwengu bila hatia na bila ubaya. Walakini ndiyo hiyo hahi kamili ya bustani ya Edeni ambapa Adamu na Eva walikuepo . Hakuwe fikira mbaya wala chanzo yake, hakuwe njia ya fikira mbovu wala mambo kama haya. Hadi kwanguka hakukuepo hadi miza dhambi. Walikuwa na utukufu na uzuru wa utakaso wa Mungu yenye hali ya? Pristine — yenye kupepukana na uchafu wa dhambi.

3: Hamartiology: Hali ya Mtu Yenye kuwa ya Mwanzo

  1. Mafundisho Kuhusun Dhambi
  2. Mambo kuhusu Kuanguka
  3. Matokeo ya Anguko la Mwanadamu

3. Mafundisho Kuhusun Dhambi

Tumetoa nukta za mafundisho kuhusu dhambi kama harmartiology ya mzizi tamko- harmartia ni tamko za kiyunani yenye mana dhambi. Imetoka kwenye tamko yenye maana kamili ya kutokufika kwenye mwisho ili kusudi kuipata tuzo. Tamko za mwisho- ology maana: maarifa. Imeitwa maanifo, sababu imeundwa kwa jinsi ya mbinu na usahihi.

Jambo Kuhusu Kuanguka

Mti wa ufahamu wa mazuri na mabaya.

Katikati ya bustani kukikuepo miti mbili ya lengo ya maisha. Ya kwanza ilikuwa mti ya maisha, bali ya pili ilikuwa mti yenye kukatazwa, yani ya ufahamu ya muzuri na mabaya. Sababu gani Mungu aliyatia hiyo mti mbovu katikati paradiso yenye raha ya Edeni?

Mjaribu.

Katika kujaribu kwake umbo la tajila Mungu, shetani alitumiya mbfano wa nyoka. Tabia yake ya upekee huyu nyoka ilikuwa ujanja zaidi kuliko nyama lolote za mwituni (shambani) ambayo mfalme Mungu aliumba. Nyoka, shetani, alikuwa malaika mwenye kulainiwa na mwenye kuinukia Mungu. Sababu gani yule aliruhusiwi kuingizana dani ya bustani? Hama sababu gani aliruhusiwi Kutenda katika mahali hiyi yenye kubarikiwa? Ilikuwa kwa kumpima Mtu.

Jambo kuhusu kupima

Jibu hiyi imetujuzu kufika kwenye swali ya mwisho ambayo ni mpango- sababu gani ilokuwa ya muhimu kumpima mtu?

Ya kwanza, mapenzi la Mungu ni urafiki na watu ambaye wamechagua kumpenda. Haitaji mtu na uwamuzi wa vitu ambayo havina mafikiri lolote (robote).

Ya pili, ili kusudi “uchaguzi” ukuepo, kumepashwa kuwa uchaguzi mbili, na kama sivyo, akuna “uchaguzi lolote”. Kumbe, mti wa ufahamu ilikuepo kwenye bustani ili kusudi kuupima uambatano wa mtu na Mungu. Kumbe wache tushururikie swali hiyi mbili kamili:

1) Udhaifu wa Mtu ulitoka kwa Mungu? Hamna . Mungu hana udhaifu na kamwe haanguki. Mungu aliumba na kumfanya mtu, walakini alimpatia tena uhuru katika uchaguzi. Kuanguka kwake mtu haionyesho ubovu wa mpango wa Mungu, walakini imedhihirisha ukubwa wa mpango huwu. Mungu aliipanga hivyo ili kusudi mtu amchague Mungu, walakini alikuwa tena na uhuru ya kutokumuchagua Mungu na manjia yake.

2) Adamu alipashwa kutenda dhambi? Hamna. Ikaua Adamu alipashwa kuyatenda, hakungi kuwa “uchaguzi” halisi, kuani Adamu hange kuwa na “uchaguzi” lakini dhambi katika majaribu kutekea kwa Mungu, kumetoka tena neema za kushinda! Tumeweza kuyashinda kwa ajili ya neema yake Mungu. Kulikuepo na tena kumekuwa uwezo wa kushinda.

Yuda 1:24—Yeye awezaye kuwalinda nyinyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu.

4. Mambo kuhusu Kuanguka

Shida kuu ambayo iligandamana na mtu, ni kuanguka kwake katika dhambi. Mwanzo 3:1-6 imeonyecha kwamba mtu wa kwanza alianguka. Atua ya kuanguka ilikuwa hiyi.

Kusikiliza makufuru kuhusu Mungu. (3:1)

Shauri ya Kwanza: Mungu alisema…?

Kushakia neno la Mungu na mapendo yake. (3:4,5)

“Mungu amekuficha kitu kyenye zuada kuu!”

Kutazama kitu Mungu alikataza.

Na wakati muke aliyaona…mti (3:6) (linganisha na Yoshua 7:21).

Uyakumbuke atua ya dhambi:

“Niliona”

“Nilitamani”

“Nilichukua”

“Nilijificha”

Tamaa za Kitu Mungu alikataza. (3:6)

Hapa tuna “tamaa za mwili”, “tamaa za macho” na “mafirino za maisha” yenye kuzungumziwa katika I Yohana 2:16. (Linganisha na luka 4:1-15)

5. Matokeo ya Anguko la Mwanadamu

Matokeo ya Anguko la Mwanadamu

(Juu ya ) mahali pa maisha ya mtu

Udongo ililainiwa, na haiweze kutoa tunda yenyewe. (Mwanzo 3:17)

“Maur ngapi matunda kutokea kwa tabu za mtu ziliharibika na maadudu, na umajimaji, na wakati mbovu, nakadhalika! Sikitiko na angalisho imeambatana na kazi yake mtu.”—Adam Clarke

Sikitiko na uchungu yenye kuongezeka ni yake muke katika kuchua mimba na kuzora, na uti wa muke kwa mume wake. (Mwanzo 3:16)

…. Nitazidisha… iliweza kutafsiriwa: “kwa kuzidisha, nitazidisha” kama vile ilitafsiriwa katika kitabu cha Mwanzo 22:17. Hiyi ni jinsi za kusema zimeonyesha kuzidi kuu juu ya kuzidi. Utungu ambayo muke ameona tangu kuanguka imekuwa mwisho yake kubwa mna kuliko yenyee kuwa kwa mafikiri.

… na atamtawala. Mwanzo Adamu alipewa wajibu kuu ya kutimiza, kulinda na kutawala umbo la Mungu. Mungu alitafakau upweke wa Adamu na alisema kwamba ilikuwa mbaya kwa mtu kuwa peke yake. Ndiyo sababu Mungu aliumba Eva ili kusudi awe msaidizi kwa kazi yake kuu. Wakati aliumbwa ilionekana kama alikuwa na haki pamoja na mume ya kutawala, wakini kutishwa kwenye mume wake imekuwa sehemu moja za laina.

Kazi ngumu za mwili ili kuishi.

Mwanzo 3:19

Kazi ngumu ya paswa kuwa kama ukumbusho wa dhambi yake. Dhambi ni mwalimu mgumu na kazi zake ni ngumu katika mwaka ipitayo, kazi ngumu ilikuwa zaidi schemu kawaida ya hukumu ya muhalimu. Ugumu wa kazi, pamoja urefu wa wakati wa kazi, imeonyesha kuwa kizuizo kyenye nguvu cha udhalimu. Ikawa tumeadhimu kutenda kwa mamna zetu kunyume ya mapenzi ya Mungu, tumetolewa kwa dhiki kuu. Njia ya Mungu na mbinu yake ni siku sote nzuri zaidi. (Hapa kumebaki mabaki kwa watu wa Mungu! Waebrania 4:9).

Kifo cha roho na mwili.

Mwanzo 3:19; 3:2; 5:5; wrumi 5:12.

Kweli, na hiyo yote kume kuwepo tena hoga za Mungu, haya ya dhambi, ficho mbele ya Mungu, na mwisho kuondoshwa kwenye bustani.Mwanzo 3:8-11, 22-24.

Adamu na Eva walisumbuka na dhamiri yenye hatia. Hakikisho y dhamiri yao yenye hatia ni kukimbia, kujificha na kujaribu kujitanda wenyewe. Kuna haya tena kifo kati ya dhambi.

Mahali pa maisha ya kiroho.

Watu wote, bila tofauti y akitu, ni wakosaji (watenda dhambi) mbele ya Mungu. Warumi 3 :9,22,23 ; Zaburi 14 ; Isaya 53 :6.

Kumeweza kuwa tofauti katika uzito wa dhambi myongoni mwa watu, walakini sikamwe kuhusu dhambi yenyewe. – wote walitenda dhambi.

Ulimengu mzima imeketi chini ya hukumu, pasira na laana.

Warumi 3 :19–Ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu.

Torati zimeomba utii kamilifu, walakini mtuhasiyo geuka hawezi kuwa na hiyi utii ; kumbe laina ya kuyanvunja sheria imeketi juu ya wale ambaye wameyavunja.

Johana 3:36; Wagalatia 3:10 ; waefeso 2:3

Watu ambaye hawaya ngeuka wameangaliwa kama watoto wa ibilisi na siyo kama watoto wa Mungu. Iyohama 3:8-10; Yohana 8:44.

“ Nyinyi ni wa Baba yenu ibilisi”.

I Yohana 5 :9–Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu, na dunia yote pia hukaa katika yule mwovu.

Ukoo wote wa watu umekwisha Kufungwa kwa dhambi na shetani.

Waefeso 2 :3—Ambao zamani sisi sote nasi tulimenda kati yao, katika tamaa za muili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao waigine.

Maumbili yote ya mtu- Kwa nia- kiroho- kwa mwenende, na kimwili iko yenye kuguswa na dhambi.

Akili zimetiwa giza waefeson 4 :18 ; Iwakorinto 2 :14

Waefeson 4:18—Ambao akili zao zimetiwa giza, nao wamefarikishwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndami yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao:

Iwakorinto 2:14—Basii mwandamu wa tabia ya asili hayapotei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuya fahamu, kwa kuwa yatambuli kama kwa jinsi ya rohoni.

Roho ni danganifu na ovu. Yeremia 17 :9,10

Yeremia 17 :9—Roho ni danganifu juu ya vitu vyote, na ovu bila taraja lolote…

Nia na dhamiri ni yenye kuchafuka. Mwanzo 6 : 5.

Tito 1 :15—Vitu vyote ni safi kwa hao waliosafi ; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini ; bali akili zao zimekuwa naji, na nia zaopia.

Mapenzi nin yenye kulegezwa. Warumi 7 :18

Warumi 7:18—Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yoani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.

Munyofu na Roho ni najisi.

II Wakorinto 7 :1… na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.

4: Soteriology: Mafundisho Kuhusu Wokovu

Sections for Soteriology: Doctrine of Salvation

  1. UTANGULIZI
  2. Haina za Wokovu
  3. Kuhesabuliwa haki
  4. Kuzaliwa upya kwa kiroho

1. UTANGULIZI

Mafundisho Tano Makubwa :

Wokovu – Mathayo 10 :22 ; Marko 10 :26 ; Matendo 2 :21 ; 16 :30 ; Waefeso 2 :8

Uponyaji – Mathayo 4:23; Mathayo 9:35; Luka 9:11; Matendo 4:22; 10:38

Ubatizon – Marko 1:4; Luka 3:3; Matendo 1:22; Warumi 6:4; Waefeso 4:5

Utakaso – Yohana 17:17; I Wakorinto 1:30; I Thesalonika 4:3-4; 2 Wathesalonika 2:13

Ujo wa Pili – Mathoyo 26:64; Marko 13:32; 14:62; Luka 21:27; Matendo 1:11.

Tumetumia matamko “Cardinal doctrines” kwa kufananisha na mafundisho makuu na yenye kuwa na msingi. Kwa ujumba, mafundisho makuu ni ungo kawaida na waaminifu wengi bila kutafakari dhehebu. Mafundisho mengi mengine imeweza kuwa kwa utaratibu haina ya chini ya moja ya hiyi matano tena.

Wokovu nitamko yenye kupatikana yote dani. Tamko wokovu maana ufungulivu- Usalama- Kutenzwa- Ubora- yenye kundi kwa halizambele- uponyaji.

Wokovu katika agano jipya ya kiyunani:

Majina- Sotaia; Sotaion (4991,4992) Luka 1:69; 2:30; Matendo 4:12

Verb- Sozo (4982) Mathayo 1:21; Yohana 10:9; Matendo 15:11.

Tamko na hali ya wokovu imeangaliwa katika wakati ipitayo (warumi 8:24); Katika wakati huu (I Wakorinto 15:2), na katika wakati ujao (warumi 13:11) wakati wa matumizi katika maandiko.

Kuokolewa ni kuachiliwa:

na laana ya sheria-Wagalatia 3:13

nahasira – I Wathesalonika 5:9

na kifo – II Wakorinto 7:10

na Uharibifu- II Wathesalonika 1:9

tulipotea, lakini tumeokolewa

tulifungwa, lakini tumekuwa huru

tulipofuka, lakini sasa tumeona.

Tulihukumiwa lakini sasa tumeachiliwa kwa hukumu. (Warumi 8:1)

Tutasungumzia nukta hiyi:

Nikitu gani kimekuwa wokovu? (ao) Hali za neema.

2. Haina za Wokovu

Haina tatu ya wokovu

Kuhesabuliwa kwa haki- Kuzaliwa upya – Utakaso

Kuhesabuliwa kuwa haki-

Tomko za sheria yenye kuleta kwa akili zetu mambo ndani ya chumba cha wamzi.

Kuzaliwa upya-

Kuzaliwa katika jamaa, yenye kuleta kwa akili zetu mambo dani ya nyumba

Utakaso

Niyenye kuambatana na kuabudu, yenye kuleta kwa akili zetu mambo ndani ya hekalu.

Mtu mwenye kwokolewa ni huyu ambae amehesabuliwa hakinbele ya Mungu (KUHESABULIWA KUWA HAKI) na kuzaliwa katika jamaa ya Mungu (KAZLIWA UPYA) na kutolewa kwa kazi za Mungu (UTAKASO).

àKuhesabuliwa kuwa haki,

àamefanywa kuwa haki kuzaliwa upya, amekuwa mtoto wa Mungu.

àKupata utakaso, amekuwa mtakatifu. (Kutakaswa).

Baraka hizi zinafuatana moja baada ya ningine ao zimezitokeza wakati moja?

Kweli, tumeona utaratibu huu:

kuhesabuliwa kuwa hati mbele ya sheria ya Mungu- Warumi 3:24 (kuhesabuliwa haki)

Hali mupya imepewa- Yohana 3:6 (kuzaliwa upya)

kutiwa katika maisha na kazi mpya- waefeso 2:10 (Kutakaswa)

Kumbe, hiyo matatu imezitokeza mara moja, tena imetengana tu kwa mafaa ya kuyallewa na kuyafunza kwa njia ya matumizi ya damu ya bwana Yesu yenye thamurni, haya yote yime pokelewa. Kwa mara, tumehesabuliwa haki, tumezaliwa upya, na tumetakaswa.

Japo utakason ni kazi fulani nyenye kutendwa wakati wa wokovu, utakason nitena kazi yenye kuendelea. Hali ya mwisho ya utakason timilifu ni ukamilifu (Tutasungumzia viguri kuhusu utakason katika mafungo ufwatayo).

Hiyo baraka zote zimetolewa kwa njia ya kifo ya christo. Tena, hiyo baraka matatu imetoka kwa ushirika wetu na christo.

II wakorinto 5:21—Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sia tupate kua haki ya Mungu katika yeye.

Waefeso 1:7—Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.

II wakorinto: 5:17—Hata umekuwa, mtu akiwa ndani ya kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita; tazame! Yamekuwa mapya.

wokovu imekuwa haina mawili: YANJE na YA NDANI

Kuhesabuliwa kuwa kaki —

Mabadiliko kwa hali: ilikuwa katika dhambi “ndani ya kristo” II Wakorinto 5:17

Mabadiliko kwa hali: kutoka kwa hali mwenye dhambi kwa hali ya mwenye hali: Zaburi 51:5; I Wakorinto 6:11.

Maana yake kutiwa katika urafiki kamilifu na Mungu wakati tumehesabuliwa kuwa haki, tumefanywa kuwa wenye habi. Imetuwa sawa kamwe sija tenda dhambi.

Kuzaliwa upya kwa kiroho —

Mabadilikikalika- moumbile- “kiumbe kipya”

Alikuwa mtoto wa Ibilisi, sasa mtoto wa Mungu (Maumbile ya Kimungu).

Utakaso —

Mabadiliko katika mwenendo- “vitu vya kale vimekwisha kupita, kila kitu kimekuwa kipya”.

Kuwa na tunda za Roho na kuwa katika Kristo. Wagalatio 5:22-24.

Matengani za nje na utakaso wa ndami kwa dhambi. II Wakorinto 7:1.

Haliza Wokozu

Maana yake nini “Hali za wokovu”?

Mahitaji ya Mungu katika mtu ambae amekubali kwa faida ya Kristo na kwa ajili yake Ametoa katika uhuru baraka ya injili ya neema. Kwa hali gani Mungu ametoa kipawa cha bure cha wokovu? Juu kumekuwa maisha tu! (Warumi 8:16)

Wokovu ina mahitaji gani?

Maandiko imefumbua: Utubio—Imani—Kukiri

Marko 1:15; Matendo 22:16;16:31; warumi 10:9,10; Walbramia 11:6; Matendo 8:13,21.

Imani yenye akili itosha?

Yakobo 2:19—Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema mashetani nao waamini na kutetemeka.

Hamna. Imetupasa kuwa na zaidi kuliko mashetani ! wameaminia na kutetemeka na tena wameendelea kutenda kinyume ya mapenzi ya Mungu. D.L. Moody alisema, “Shakia shaka zako na amini Mungu.”

Matendo 8:13,21—Na yeye simoni mwenyewe aliamini akabalizwa, akashikamana na filipo, akahangaa alipoziona ishara na miujiza mitubwa inayotendeka. 21. Huma fungu wala huna sehemu katika jambo hii, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.

Nitofauti gani imefuwa kati ya imani na usadiki?

Imani ni kazi ya kiroho. (waefeso 6 :17 ; yohana 6 :44 ; warumi 10 :17). Kusadiki ni tendo za kimutu. Mungu ametngoja tutoe jibu kwa imani ambao alitia kati yetu na ametuamuru kusadiki. (Marko 5:36). Wakati Mungu ameumba mtu, ametafuta ndani mwake kitu ili kusudi tusiweze kujibu sawasawa kwa Mungu, isipokuwa kama tuna imani. Waebrania 12:2- Tukimtazama yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ametusahidia to sadiki.

Yohana 1:1- “Tamko” logos (3056) – neno yenye kwandikwa, neno iliyo hai (chanzo ya asili) Biblia takatifu na Christo, ne lenye hai, ni logos.

Warumi 10:17 “Tomko” Rhema (4487)- neno yenye kunenwa (chanzo ya kiriho); Rhema umekumbusha neno tofanti yenye kunenwa kwako na roho. Ni neno la Mungu yenye kudhihirishwa.

Ni tofauti gani zimepatikana kati ya utubio na imani kuhusi wokovu?

Imani imeusika ma ahadiya Mungu.

Utubio imeusika na dhambi.

Imepokea wokovu.

Imekatoa dhambi.

Imani imepatikana katika Rehema ya Mungu. Waefeso 2:8,9; Luka 18:13; 13:3

Mungu aliamuru ni kwa watu?

Kila mtu amepashwa kutubu (na wale wamepatikana ndam ya kanisa). Matndo 17 :30 ; Ufunuo 2 :5 ;3 :3,19.

Kutubu ni kuacha kutenda kila kitu umetenda. Madhehbu zingine zimesaili kutubu dhambi zote wakati wa wokovumbele- leo na kesho. Vipi umeweza kutubu (hama kuacha) kitu ambao haukutende ? Tumeweza tu kutubu dhambi ya mbele na ya leo.

Kumeweza kuwa imani bila utubio?.

Hamna. No one can receive the promises of God without repentance. Mark 1:15; Jonah 3:5-10

Imani na utibio ni matayarisho tu kwa wokobu ?

Tumehitaji Mungu kwa kila hatua katika maisha yetu ya kikristo na tumemtegemea kwa yote. Imetupasa kuyapokea kila neema ya kikristo kutokea kwa Mungu na Mungu amejibu kwa imani, Waebrania 11:6; II Timotheo 2:25.

Ni roho mtakatifu imeleta hakikisho za dhambi imepeleka watu kwenye utubio.

Are faith and repentance simply preparatory to salvation?

Hamna. Imani na utubio imekuwa katika maendeleo katika maisha ya mwaminifu. Waefeso 3 :17 ; Ufunuo 3:19.

Kugeuka

Matendo 3 :19 ; Mathayo 18 :3 ; Luka 22 :32 ; Yakobo 5:20

Kugeuka imechukua utu uzima:

Katika akili Matendo 2:37,38 “Wamesikia”

Katika roho Matendo 2:37,38 “Kuchomwa moyoni”

Kwa matendo Matendo 16:27-31 “Tutafanya nini?”

Vipi kugeuka imetofauti na wokovu?

Kugeuka imeonyesha sehemu ya utu ya wokovu. Luka 19:8,9 : Matendo 9 :11 ;16 :33,34. wafilipi. 2:12,13

imekuwa ya kwanza- kuzaliwa upya ao kugeuka?

Moja haififi mbele ya ingine. Ni neno Kamilifu kusema kwamba kuzaliwa upya ni tendo la Mungu katika mtu na kugeuka ni tendo la mtu kwa Mungu. Kuzaliwa upya na kugeuka imetenda pamoja kwa mara moja.

“(sehemu moja) kati ya kiungo cha mwili ne chini kwa udongo, zaccheus aligeuka”—D.L. Moody.

3. Kuhesabuliwa haki

Asili ya kuhesabuliwa haki — Pato ya kiroho.

Kuhesabuliwa haki ni hali ya Makubalio na imani. (Warumi 4 2-8; 5:1)

Kuhesabuliwa haki ni kipawa cha bure kutokea kwa Mungu yenye Kufanywa kwa nji ya kristo. (Warumi 1:17; 3:21,22)

Kuhesabuliwa haki ni hali ya makubalio ambapo mwaminifu ameketi. (Warumi 5 :2)

Kuhesabuliwa haki ni hali timilifu na yenye usalama Kulinganishana na Mungu.  Kuhesabuliwa haki” ni wamuzi wa Mungu. (Warumi 8-33,34)

Kuhesabuliwa hakini tendo la neema ya bure ya Mungu pamoja nayo amesamehe dhambi zote na kuko kubali sisi kama wenye haki (dhambi yapasa kukubaliwa)

Kuhesabuliwa haki imemutia Mkosaji katika hali ya mtu mwenye haki. Mungu amehesabu kuwahai anaye mpingu Mungu. Hakuna hukuna wa dunia umeweza kuyafanya hii. (Warumi 4:5)

Kuhesabuliwa haki ina haina mawili.

Kuondowa- Kuyafuta dhambi

Kuongeza- Maongezi ya uhaki

Kuyahitaji uhaki

Mtu amehutumiwa

Watu wote wameihitaji uhakiwa Mungu, kwana watu wote walitenda dhambi. (Yobo 9:2, Matendo 16 :30)

Wapagano wekon chini ya bukumu.

Hatua katika kuanguka kwao:

Mara moja walijua Mungu—Warumi 1 :19,20

walimtukuza, siyo kama Mungu—Warumi 1 :21

kamwe hawakukuwe na shukrani—Warumi 1:21

walikuwa bure katika mafikira yao—Warumi 1:21

akili zao ilikuwa giza—Warumi 1:21

upovu umepeleka kwenye ibada ya samamu—Warumi 1:23

ibada ya sanamu imepeleka ubovu wa mwenendo—Warumi 1:24-31

Hawana msamaha—Warumi 1:32

The Jews are under condemnation. (Warumi 3:19)

Sheri haiwezi okowa (Warumi 3:20)

Sheria ni mwalimu ya kutupeleka kwenye kristo. (Wagalatia 3:24) Ni fimbo tu za kupima ambao umefumbuwa ile ambao haina usaili lolote kwa shururisho ao mabadiliko.

sheria ni ufahamu wa dhambi—Warumi 3:20

uhaki ni bila sheria—Warumi 3:21

ilishuudiawa na sheria

mwanzo 3:15; 12:3; 22:4,13,14; Zaburi 32:1,2, wagalatia 3:6-8; yohana 8:56

Ilishuudiwa na wa nabï

Isaya 53:4-6; yeremia 23:6;31:31-34; Ezekieli 36:26.

Hii ni mpango wa kala wa wokovu wa Mungu Sheria iliongezwa: wagalatia 3:19-26

Warumi 10:3 wasiye jua haki ya Mungu”

Kuithibitisha haki yao wenyewe”

Hawa kujitia chini ya hakiya Mungu”

Wakati Kristo alikuja hawakumtaki (Yohana 8:32-34)

Hii ni kazi za Mungu” (Yohana 6:28-29)

Kristo ni mwisho wa sheria” Warumi 10:4.

Chemi-chemi ya haki — Neema

Kazi ya neema imeeleweka

Neema maana yote ya kwanza fadhili, ao hali ya wema akihini mwa Mungu

Neema iliitwa wema na fadhilisafi bila thsawabu” ao fadhili ambao haistailiwe”. Neema haiwegi kukopa deni. Ile Mungu ametoa, ameyatowa kama karama; hatuwezi kulipa kwa ajili ya hiyo. (warumi 6:23) Kazi ya kikristo siyo malipo kwa ajili ya neema la Mungu; Kazi ni njia ya kikristo ya kuonyesha utauwa na upendo kwa Mungu Tumemupenda, kwani yeye alitupenda mbele (Iyohana 4:19).

Neema ni jinsi ya Mungu kutumika kuhusu dhambi bagaire kabisa ya swaliza kustaili” hama kutokustaili”. Neema siyo kamwe kumtunza mtu jinsi amestaili, hama kumtunza vizuri zaidi kuliko amestaili.

Neema ni upendo bila mwisho yenye kujionyesha katika wema usiyo kuwa na mwisho.

Kutokuelewa kumestaili kuepukika. Neema maana yake siyo kusamehewa dhambi, kwa sababu Mungu ni mwenye moyo mkuu kwa kusamehe adhabu. Wokobu ni kwa njia ya damu (warumi 3:24; waefeso 1:6-7). Kusamehe dhambi imeketi juu ya haki ngumu. Kwa kusamehe dhambi amekuwa mwaminifu na wa haki (Iyohana 1:9) Tumehesabuliwa haki tu kwa sababu Kristo alilipa deni.

Neema haitegemee matendo ya mtu walakazi zake. (Wagalatia 5:4)

Wakati mtu amekuwa chini ya sheria, hawezi kwa chini ya neema wakati amekuwa chini ya neema, hayuko chini ya sheria.

Sheria

Neema

Imelipa yote.

Yote imelipwa.

Kazi ya kutenda.

Kazi yenyi kutendwa.

Imezwa matnedo.

Imebadilisha asili (maumbile).

Imehukumu.

Imehesabu kuwa.

Vijakazi wametumika kwa ajili ya upira.

Watoto wenye kupokea urithi.

Makosa za kuhepuka

Kosherio- Haki yenye kuketi juu ya kuyaheshimu shena

Kutokuwana Sheria- Haki bila kujali matnedo (japo Hatarii hatupo ‘chini ya sheria’, hatupo tena ‘bila sheria’

Mafundisho ya Wagalatia - Hati yenye kupokelewa mbele kawa imani, lakini kiisha yenye kusaidiwa na kuiheshimu sheria.

Tomko Neema” imetumiwa kwa muda kwa maana ya ndani, kwa kuonyesha:

Kazi ya tendo ya kimungu

Matokeo ya tendo ya kimungu (Matendo 4:33;11:23; Yakobo 4:6)

Kazi ya Neema yenye kupangiliwa.

Neema yenye kutangulia

Kuvuta watu kwa Mungu.

Puvenient (maana : yenye kutangulia) Grace= Neema yenye kutangulia ni tendo la kimungu yenye kukabili kugeuka kwa mtu, ambao imesukuma utahidi wake kurudi kwa Mungu. Ni matokeo ya, fadhili ya Mungu katika neema yake hakufanye hatua ya kwanza kwenda kwa mtu, mtu hange fanya hatua kwenda kwa Mungu. Mtu amekwisha kupofishwa wa dhambi, walakini roho ya Mungu imekuwa kwenye kazi katika ulimwengu leo ambao imevuta kandoo zenye kutawamjika kwenye zizi la Mungu.

Yohana 6:44—Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; nami nitamfufula siku ya mwisho.

Kuonyesha utahidi kwa watokutii

Matendo 7:52—Ni jupi katika manabii ambaye Baba Znu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliki wake, mkamwua:

Hata katika maisha ya mwovu mwenye kuwa na nia ya kutenda mabaya tu, Neema ya Mungu haitumiki? Mfano ya Mungu yenye kuonyesha utahidi kwa watokutii katika neema yake imepatikana katika maisha ya nabii Ezekieli.

Ezekieli 2:1,2—Na alisema kwangu, Mtoto wa Adamu, simama juu kwa miguu yako, na nitakweleza”. Hivi alikuwa akamzungumzia, Roho ikaja ndani mwangu na ikanisimanmisha kwa miguu, na nilimsikia amesema kwangu.

Mungu ana mpango na ametazamia kufurahi katika mpango wake na vijakazi vyaminifu. Hiyi ufunuo ni kwanjia ya Roho yaike na kwa neema. Vituo na ma kanisa imeweza kufahamu huduma wa watu, walakini ni Roho mtakatifu ya Mungu tu ambae imeweza kuita watu. Wache tuingizane ufahamu wake kule siyo tu nabii amesikia maneno ya Roho, bali Roho imeingizana ndani mwake na kumweka miguuni mwake. Hii siyo wakati wa kubaki mtoto; Nimekuwa na kazi ya ninyi kufanya”. Hatupase kulichukua neno la Mungu ambayo imelala udongoni. Wache tujiweke tayari ka wahudumu wa neema la Mungu.

Ezekieli 2:3-5—Na alisema kwangu, Mwana wa Adamu, nimekutuma kwa watoto wa Israeli, kwenye taifa yenye kukaidi ambayo iliminukia: wao na wa baba zao walikua katika uasi hadi siku za leo… watu kwenye nimekutuma ni wenye ukaidi . uwaambie, ya kuwa ni hiyi mwenyezi Mola amesema. 5. Na wakisikilize ao kutokusikiliza – kwani wao ni nyumba yenye ukaidi – watatambua ya kuwa nabii alikuwa myogoni mwao.

Neema ya Mungu yenye kutangulia imekuwa hapa kwenye kazi. Ikawa Israeli iposikia ao kutokusikia. Mungu alikuwa ameendelea kutuma mjumbe wake kwao. Mungu ameoliwa kwa mwobu. (Yeremia 3:14)

Neema Yenye Nguvu

Ephesians 3:7

Neema imekuwa na nguvu kwa kuzaa kugeuka, kama haipingwe na mtu, yohana 5:40; Matendo 13:46 Neema yenye nguvu” haiko namna moja na neema yenye kupingwa.

Nukta ya nne ya Mafundisho ya calvin ni neema yenye kupingwa”. Hiyo ono kuhusu neema imeonyesha ya kuwa hatuna mtu awezaye kuyapinga neema ya Mungu, walakini yule yeyote mungu alichagua” kwa kuokolewa, aliokolewa bila kupinga hiyi neno zimekanusha mafundisho ya Biblia ya mapenzi huru na uchaguzi, na imekataa hitaiji lolote ya mtenda dhambi kushirikiana kwa namna zote na tendo la Mungu.

Neema ya biblia yenye nguvu” imedhihirisha uweza wa neema ya Mungu kwa kugenza nafsi yoyote ambae imechagua kujibu kwa tendo la Mungu. Neema ya Mungu haipingwe tu wakati imeshinda uweza wa dhambi na jehanamu na hakuna shida ambayo neema ya Mungu haiwezi kushinda. Neema ya Mungu imepingwa wakati Mfalme ameweka mbele yetu mlango wazi na atashurutisha mtu yeyote kutembea katika hiyo ambayo haikufanya uchaguzi ya mapenzi yao huru.

Yohana 12:32—Nami nikiinauliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu.

Ikawa neno la Mungu ilipingwa” ulimwengu mzima itaokolewa, lakini hatujuwe kwa maandiko kwamba sivyo.

Wache tuangalie mifano ya biblia kadhawa kadha kuhusu jinsi Mungu ametenda na watu. Mujuwe ya kuwa Mungu alifanya hatua ya kwanza na hivo ameomba tendo fulani kwa mtu kabla afanye ifwalayo.

Warumi 10:13—Kwa kuwa, kila atakayeliitia jina la Bwana ataokoka.

Mathayo 4:19—Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa wahi.

Marko 10:51—Yesu akamjibu…akamwambia, watoka nikufanyie nini?

Waebrania 10:29—Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyembkanyaga mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyo takaswa kwayo kua ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?

Neema yenye nguvu siyo hakikisha kwa mwenye kutafanyika . ambao imethibitisha uongo, Ikawa Mungu amenitaka mimi kuokoka, ataniokowa. Neema yenye nguvu ni hakikisho kwa mwenye kutubu ambao imethsibitisha kweli; ikawa nimetoka kweli kuokolewa, Mungu ameweza na ataniokoa!”

Neema ya sasa.

Neema imejuzu watu kuishi vizuri, kushinda majambu na kufanya kazi zao. Hivi tumesungumzia sala kwa ajili ya neema kwa kutenda kazi iliyo ngumu.

Neema kawaida

Neema ni matokeo ya Roho ambao imekuwepo, yenye maisha kuwa tunda za roho. Wagalatia 5:22,23.

Sababu ya Kuhesabuliwa Haki – Haki ya Kristo.

Vipi Mungu awezaye kuona mwenye dhambi kama mtu mwenye haki?

Mungu amemfanya Mwenye kutubu kuwa mwenye haki.

Kufanywa haki

Ni tu swali ya kutowa mwita ya wema” na kuwa mwenye haki” kwa mtu ambae haistahili? Bwana yesu Kristo aliipaka kwa ajili na kwa faida ya mwenye dhambi, amae amenenwa kuwa haki e kwa njia ya wokovu ambao imekuwemo ndani ya Yesu Kristo” Warumi 3:24.

Wokovu maana yake nini?

Wokovu maana kwachiliwa mzima baada ya kulipa bei.

Bei ya Haki

Kristo aliyapato ao kiyalipa hiyo Haki juu yetu na bei ni ni kifo chake cha utubio. Warumi 3:25 imesema:

Romans 3:25

Upatanisho ni ile ambayo imesalamisha fadhili ya Mungu kwa wale ambae hawastahili. Kristo alikufa ili kusudi tuepushwe kwa hasira ya Mungu yenyi haki na kusalamisha fadhili yake kwetu. Upatanisho maana kitu chenye rehema (Kutoka 26:34; Waebrania 9:5; I Yohana 2:2; 4:10).

haja ya Haki

Kama mwili imehitaji mavazi, kadhalika nafsi imehitaji moenendo, kama moja amepasa kuonekana mbele ya ulimwengu mwenye kuvaa vazi yenye kufaa, hivyo mtu amepasa kuonekana mbele ya Mungu and mbingu mwenye kuvaa vazi ya mwenendo mwenye haki kamilifu.Ufunuo 3:4, 7:13, 14; 19:8

Vazi ya mwenye dhambi ni naijisi na yenye kuchakaa zakaria 3:1-4. Na alijivika mwenyewe katika wema wake mwenyewe and staha na kutetea matendo yake mema, yataonekana kama viraka vyenye uchafu”. Isaya 64:6, yakobo 5:2; yuda 23.

Tumehitaji kujizuiza kwa unajisi wa mavazi zetu.Ufunuo 3:4; 16:15.

Toleo ya haki

Haki zilininukiwa kwa kifo ya kristo chenye ukombozi.

Mungu alitolea vazi. Isaya 61:10; Isaya 53:5, 11; Warumi 4:6;5: 18, 19; II Wakorinto 5:21 kifo chake kilikuwa tendo ya haki, kwani ilishirikiana na sheria ya Mungu; ilikuwa tena tendo kamilifu ya utii. Na hiyo yote ili tendeka kwa farida yetu na kutiwa kwa ziada yetu. Tendo ambayo Mungu tiya hiyo haki kwenye faida yetu imeitwa utiliwa” (imputation),

Haki ilitiliwa kwenye faida yetu

Utiliwo ni hesabu kwa mtu matokeo ya tendo la mukugine kwa mfano, matokeo ya dhambi ya adamu ilihesabuliwa kwa uzao wake. Matokeo ya dhambi ya mtu ilihesabuliwa kwa mwaminifu. Alivaa vazi yetu ya haki. Amefanywa kwetu haki,” I wakorinto 1:30. Amekuwa mfalme wa haki yetu”, Yeremia 23:6

Kristo aliandoa hatia yetu, alitimiliza mapashwa ya sheria, kwa njia ya utii na mabeso, na alikuwa mkombozi wetu, ili kusudi, wakati tumeungana naye kwa imani, kifo chake kimekuwa kifo chetu, haki yake imekuwa haki yetu, utii wake umekuwa utii wetu. Mungu kumbe ametukubali, siyo kwa ajili ya kitu chochote ndani mwenu, wala kwa ajali ya matendo – warumi 3:28; wagalatia 2:16 – ao kustahili, walakini ni kwa ajili ya haki kamilifu na yenye kutosha ya kristo yenye kutiliwa upande wetu. Kwa farida ya Kristo, Mungu ameangalia mtu mwenye hatia, wakati ametubia na kusadiki, kama mwenye haki.

Haki imetolewa kwa maisha yetu.

Kuhesabuliwa haki ambao imeokowa ni kitu cha njem a ni kuhusu upamuzi wa mutenda dhambi, walakini hakuna madiliko lolote katika hali?

Imegusa utu wake, lakini ni nini kuhusu mwenendo wake?

Haki imetiliwa, lakini imetolewa tena?

Katika kuhesabuliwa kuwa haki kristo ni upande wetu, lakini amekuwa tena ndani mwetu?

Maana, imeonekana ya kuwa utilia inge chafua sheria ikawa haikuambatane na usalama wa haki ijao.

Jibu ni kwamba hiyo imani yenye haki ni tendo la kwanza ya maisha ya kikristo, na hiyo tendo la kwanza, wakati imani ikohai, imefwatwa na mabadili ya kiroho ya ndani yenye kujulikana kama kuzaliwa upya kwa kiroho (regeneration).

Kaki imetiliwa katika kuhesabuliwa kuwa haki na imetolewa katika kuzaliwa upya kwa kiroho (regeneration). Kristo ambae amekuwa upande wetu amekuwa kristo ndani mwetu. Kristo ameishi ndani muangu”, Wagalatia 2:20

Mabadiliko ya uamuzi- wakati ndani ya Kristo.

Warumi 8:1; II wakorinto 5:17 Iyohana 2:5-6

Mabadiliko ya mwenendo – Kristo ndani mwako.

Kristo ndani mwako wakolosai 1:27, waefeso 3:17; wagalatia 4:19; waefeso 4:13. Kuwa ndani ya kristo na kridto ndani mwetu imeenda sasa pamoja. Yohana 15:4; 14:23, I yohana 3: 24; 4:13 wokovu halisi zimeomba maisha yenye matumizi ya utkalifu. Wale ambae wamevaa haki yake wakafanya iwezekanavyo kujitakasa wenyewe. I Yohana 3:3

Vyombo vy kuhesabuliwa kuwa haki – Imani

Kuhesabuliwa kuwahaki ni kwa imani. Kwa sababu sheria haiwezi kuhesabu kuwa haki, taraja tu ya mtu ni Haki bila shema” (warumi 3:21). Hiyo siyo kutokuwa haki bila kutokea kwa sheria, ao dini ambayo imetujuzu to tenda dhambi, lakini ni kuhesabuliwa kwoa haki ambao kumebadili uamuzi wetu na Mungu yenye kuketi juu ya staha ya kristo. Hiyo ndiyo Haki ya Mungu” (Haki ambao Mungu ametolea), na imekuwa kipawa kwa sababu mtu amekosa mamlaka ya kuikomalisha ao kuitimiza. (waefeso 2:8-10). Kazi matatu ya imani ni hiyi ifwatayo:

Imani imejichulia

Kipawa kimepasa kukubaliwa. Vipi sasa kipawa cha haki kimekubaliwa? Ni chambo gani kimejichukulia haki ya kristo. Ni imani.

Galatians 2:16

Imani imetenda

Psalms 51:7

Imani haichukuwe tu yale yote Mungu ametoa, lakini yameikabizi kwenye nafsi.

Imani imeamusha.

Imani haripokee tu bila kutenda, lakini imetumia kwa kutenda ile ambayo mungu ametoa. Imani ni tena yenye kutegemea roho (angalia katika warumi 10:9,10; linganisha mathayo 15:19 na Mathali 4:23)

Imani imeamba matendo. Maandiko yamezungumzia kuhusu kazi za imani.”

wagalatia 5:6 – Imani itendayo.

Awathesaloni 1:3 – Kazi ya imani

-Imani imezoa–Yakobo 2:26 -Imani imehakikishwa kwa matendo—Yakobo 2:18 -Imani imelindwa na matendo–Yakobo 2:22

Ni hivyo, imani ni mila yenye nguvu; na hali ya kuwa tayari kwa kupokea. Kumbe imani ni sabubu fulani kwa utii na kwa tendo lote lililo bora. Imani imeomba mapenzi na imeambatana na machaguzi na metendo yote mema. (Warumi 14:23) Imani ina ndani yake uchaguzi ara kutafutisha kweli. ( II Wathesalonike 2:12) Imani imeonyesha utii kwa haki ya Mungu (Warumi 10:3).

4. Kuzaliwa upya kwa kiroho.

Asili (Maumbile) ya tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho

Kuzaliwa upya kwa kiroho ni tendo la kimungu ambayo imetolea kwa mwaminifu mwenye kutubia maisha mpya na ya hali ya juu katika kuunga kwa mwenyewe na kristo. Agano jipya imefasiria kizliwa upya kwa kiroho kama :

Tendo la kuzaliwa

Tenddo la kuzaliwa upya kwa kiroho (siyo ubatizo – kuhudhuna kanisa – mabadiliko). Mungu Baba ni yule ambae “alizaa” na mwaminifu ni mwenye “kuzaliwa” kwa Mungu (Iyohana 5:1), “Kuzaliwa kwa roho” (Yohana 3:8) na “kuzliwa kutoka juu” (mafasirion kamlifu ya Yohana 3:7).

Hiyo matambko imekumbusha tendo ya neema yenye kuumba ambayo imemfanya mwaminifu kuwa mtoto wa Mungu.

Utakaso

Tumeokoliwa siyo kwa “ushwa kutokea kwa kuzaliwa upya kwa kiroho.” (Tito 3:5). Nafsi iliashwa mjima kutoka kwa imajisi wa maisha ya mbele na kufanywa kuishi maisha mapya. – Hii ni picha ya ubatizo kwa maji. (Matendo 22:16).

Tendo la kuharakisha

Tuliokolewa siyo tu kwa « tendo la kuoshwa ya tendo la kuzliwa upya kwa kiroho » lakini tena kwa tendo la kuifanya upya Roho Mtakatifu  (Tito 3 :5 Lingamisha Zaburi 57 :10 ; Warumi 12 :2 ; Waefeso 4 :23 ; Wakolosai 3 :10)

Tendo la Kuumba

Yule ambae alimuumba mtu katika mwanzo na kumvuvia pumzi ya uzima puani, ame muumba upya kwa tendo ya Roho Mtakatifu. II wakorinto 5 :17 Waefeso 2 :10 wagalatia 6 :15 waefeso 4 :24 Linganisha Mwanzo 2 :7 – Jibu kwa hiyo ni mabadiliko kuu katika maumbile, mwenendo, tamaa, na shaba za mtu.

Kuyma ya wafu

Hivi Mungu ali… Udongo usiyo na maisha na aliufanya kuwa hu kwa ulimwengu, ni hivyo hivyo atau … nafsi ambayo ilitufa katika dhambi na kuifanya kuwa ha kwa ukweli wa ulimwengu wa kiroho. Tendo hiyi ya kiyama kutoka kwa kifo cha kiroho imekuwa picha ya ubatizon kwa maji. Kwa kusema kwa hekima, tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho ni « hiyo mabadiliko kuu ambao Mungu ametenda katika nafsi wakati amenpata uhai ; wakati ameuamusha kutoka kifo cha dhambi kwelekea kwenye maisha yenye haki ».

Hiyo matambko imekuwa tu hali nyingine ya fikira moja kuu na ya msingi ya Tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho, litwayo, matoleo ya kimungu ya maisha mpya kwa maisha ya nafsi ya mtu. Na mambo matatu kwenye maarifa yenye kweli kwa maisha ya asili imetumiwa tena kwa maisha ya kiroho, imekuja kwa rafla, imeonekana yenye fumbo na imeedeleaa habi kwa hatua.

Warumi 6:4,5 ; Wakolosai 2:13; 3:1 ; Waefeso 2:5,6

Kuihitaji tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho.

Yohana 3:7 – Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, hamma budi kuzaliwa mara yapili.

Katika yohana 3, Yesu amejibu kwa haja ya roho badala ya maneno ambayo Nikodema aliyasema.

Kutokuwa maisha “Hiyo mwijiza”

Nikodema alikuwa amekufa kwa kiroho. Maneno ya mwanzo ya Nikodema imeonyesha mashida kadha wa kadha ambayo iliawa imepambana moyoni mwake…Hiyo mwujiza… alipungikiwa na maisha ya kiroho ange sema “Nime choka na makazi bila maisha ya sinagogi ambayo sifa imekwisha kuondaka kwenye Israeli. Hakuna ano na watu wameangania. Nafsi yangu ina njaa ya ukweli. Nafsi yangu ni tupu! Mwijiza yako imehakikisha kwangu ya kuwa wewe ni Mungu ambae alitumwa kama mualimu”.

Waefeso 2:1—Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.

Kutokuwa hakikisho “ Mwalimu”

Nikodema aliona haja, ya mwalimu badala ya Mkombozi “wewe ni mwalimu”. Imekupasa kuona ya kuwa ni mtenda dhambi. Kabla ahitaji kufundishwa, amehitaji kuokolewa.

Kutokuwa na ufahamu “Vipi”

Yohana 3:9—Yawezaje kuwa mambo haya?

Yohana 3:10—Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?

Yesu alionyesha haja ya ndani na ya kawaida ya watu: madiliko ya asili (maumbile) na mwenendo mzima. Maumbile mzima ya mtu imepatikana katika dhambi. Mtu hawezi kubadilika mwenyewe; kumbe, madiliko yapsa kutoka juu.

Yesu hakujaribu kufasiria “Vipi” ya tendo la kuzaliwa mari ya pili, lakini alifasiria “Sababu gani ya mambo: Mwili na Roho yameviwa ua imoùwe,gp tofauti.

Vyombo vya tendo la Kuzaliwa upya kwa kiroho.

Tendo la kiroho. Roho Mtakatifu ni chombo tofauti katika tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho, ambayo hivi imetenda kwa mtu ili kuzaa mabadiliko. Yohana 3:6; Tito 3:5.

Kila mtu wa utatu a kimungu amepatikana katika tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho:

Baba amezaa (Yakobo 1:18) Kutokona na mapenzi yake alituzaa.

Mtoto ni mwenye kutolea maisha (Yohana 5,6) kula mwili na kunywa damu.

Roho ni tendo (Yohana 3:6) kuzaliwa kwa Roho (Yohana 6:53).

Tendo la kutengeneza kwa kimutu. Matengenezo ya kimutu yenye kuambatana na tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho ni ma swali ya utii kwa amri za Mungu: utubio na imani hayanunuwe tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho, lakini ni mapashwa chini yake Mungu ameomba kutenda.

Matokeo ya Tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho

kuhusu uamuzi – watoto wa Mungu.

Tamko “ kufanya kuwa” (adoption) maana “kufanya kuwa watoto”. Kutokana na mafundisho, “adoption” “kufanya kuwa” na “ regeneration” “Tendo la kuzaliwa upya kwa ksroho yapasa kuwa tofauti. Kufanya kuwa “ adoption” ni tamko ya kisheria. Regeneration ni mabadiliko ya ndani ya kiroho. Ma budi mtu kuzaliwa katika jamaa ya Mungu (hii ni Tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho), na hakufanye kuwa wa jamaa ya Mungu.

“Watoto” (tekua) maana “wenye kuzliwa” imeonyesha tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho.Yohana 1:12-13; warumi 8:15-16; yohana 3:1
“Tendo la kufanya kuwa watoto” (huiothesia) maana” “Tendo la kuweka tama mto” wagalatia 4:5.

Mtoto (huios) imeonyesha kuwa mtu mzima (warumi 8:14,19; waebrania 2:10) tumezaliwa kama watoto wachanga katika tendo la kuzliwa upya kwa kiroho. Tendo la kufanya kuwa ni mwisho yako kazi tofauti na tendo la kuzaliwa upya kwa kiroho.

Spiriti – Ungano na Mungu wa kiroho

II Wakorinto 6:16-18; Wagalatia 4:4,6; I Yohana 3:24; 4:13; Wagalatia 2:20.

Majibu ya ndani ya kimungu katika hali mpya ya maisha

upya wa maisha – warumi 6:4
moyo mpya – Ezekieli 36:26
Roho mpya – Ezekieli 11:19
Mtu mpya – waefesa 4:24
Asili (maumbile) mpya – II petro 1:4

Maisha yenye haki kwa matendo

Mtu mwenye kuzaliwa na Mungu ataonyesha hiyo mambo kwa :

kuchukia kwake dhambi – Iyohana 3 :9 ;5 :18
matendo yake yenye haki – Iyohana 2 :29
Upendo wake wa kindugu – Iyohana 4:7
Ushindi wake kwa duma – Iyohana 5:4.

Mazidisho mawili ya mestabili kuepukika katika kuweka hatua kwa ajili ya maisha yenye haki:

ya kwanz, kui fanya hatua chini zaidi – mabadiliko ya asili

ya pili, kuifanya hatua juu zaidi – waminifu wadogo wata kua.

Linganisha I Yohana 3:9 na I Yohana 2:1

I Yohana 3:9—Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu wamezaliwa kutokuwa na Mungu.

I Yohana 2:1—Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki.

5: Angelology: Mafundisho kuhusu Malaika

  1. Asili (maumbile ) ya malaika
  2. Kazi ya Malaika
  3. Andiko kuhusu Malaika

Isaya 6:2; Mathayo 1:20,24; I Wathesalonika 4:16; yuda ; Ufunuo 12:7

Asili (maumbile ) ya malaika

Ishara Kuhusu hali

Mafasirio ya kebrania kuhusu malaika ni msimamizi wa Mungu wa hali juu ya mtu, kwa muda atoae mijumbe, kwa muda, alindae watu wa Mungu.

Waliumbwa viumbe

Malaika aliumbwa na wana mwanzo fulani. Haweko wa maisha la milele jinsi ya Mungu. Waliumbwa na Mungu na wana kuwa wa mfalme.

Idadi yao haijulikane kwa usahihi, walakini sababu hawazai wala kufa, idadi yao ya leo ni kama mwanzo wakati waliumbwa, waebrania 12 :2 imeonyesha idadi ya malaika kama “haihesabuliké” haihesabulike maana ni wengi kwa kuhesabuliwa. Katika maandiko ya Mathayo 26 :53, imesema ya kua angewaita legoni kumina wawili ya malaika kwa kumsaidia.

Legoni moja inna wa helfu sita ; lejoni kumi na wawili ingekuwa elfusabini na wawili ya malaika.

Luka 20 :36—Wala hawawezi kufa tena ; kwa sababu huwa sawa sawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wa ufufuo.

Viumbe vya kiroho

Zaburi 104:4—Amewafanya malaika yake kuwa roho ; wahudumu wake kuwa moto yenye mwali:

Japo malaika wana majina ya wanawume, kama vile, Michael na Gabriel, malaika niviumbe vya kiroho na siyo wakiume wa kike. Malaika hawaai wala kuwa na jamaa. Katika maandiko ya Marko 12 :25, wametueleza ya kuwa wakati wakristo wataingizana mbinguni, watakuwa kama malaika kwa maana ya kuwa hawakaoa wala kupewa kwa ndoa.

Malaika kamwe siye watu, lakini waliumbwa kama malaika. Hakuna maandiko imeonyesha hata siku moja ya kuwa watu nao wamekuwa malaika. Tena, japo wameweza kuonekana kama watu, hawana miili ya kimutu. Kuna mifano mengi yenye kuandikwa katika Biblia kuhusu malaika wenye kuonekana kama watu.

Mwaloni ni Gideone malaika aliketi chini. Wamuzi 6 :11,12.

Zakaria malaika aliongea n zakaria. Zakaria 1 :9

Zakaria malaika alimtokea Luka 1 :11

Miriamu aliona katika malaika. Luka 1 :29

Tuliagizwa kupokea wageni kwa

sababu tuliweza kupokea malaika bila kufahamu. Waebrnia 13 :2

Wenye mamlaka, lakini yenye misho.

Malaika ni viumbe vyenye mamlaka, walakini mamlaka yao ina mwisho. Malaika moja aliua elfu mya moja ya assyriani katika usiku moja. (2 wafalme 19:35) Malaika mwengine alitumwa na Mungu kuiharibu gerusalemu, lakini akuyamaliza uharibifu katika Ikumbu kumbu la torati 21:15. Hiyo maandiko imeonyesha mamlaka na mwisho ya malaika. Walikuwa na mamlaka ya kuharibu muji mizima, walkin wakatin mungu aliwa ambia kuacha, wapshwa kuacha. Malaika hawezi kutenda bila kumtegemea Mungu. Haki shetani (‘malaika ambae alitupwa’ hama ‘Ibilisi’) alihitaji ruhusa tutokea kwa Mungu ili amtendee yobo na jamaa yake.

Malaika haweko mahali pote, hawana mamlaka zote, wala hawana ufahamu wote. Malaika watahutumiwa na watu wa Mungu (I wakorinto 6:3) Malaika walikuwa na nia ya kuyajua maana ya injili (I Petro 1:12), hii imeonyesha ya kuwa uelevu wao una mwisho.

Haina

Kuna daraja fulani ya malaika.

Malaika mkuu.

Malaika mkuu ni malaika wa hakwa ya juu zaidi. Michael ameitwa malaika mkuu katika maandiko ya Yuda 9. I wathesalonika 4 :16 imesema ya kuwa wakati kristo atarudi, atatanguliwa nasauti ya malaika mkuu.

Serafina

Waserafina wametajua tu katika kitabu cha Isaya 6 :2-6. Jina serafina imetoa picha ya mwali (sawa na rangi ya mutuba). Isaya amewafasiria kama wamekuwa na mabawa sita : mawili yenye kutanda uso, mawili miguu, na mawili ya kuruka nayo. Milango imetetemeka kwa sauti ya kulia kwao. « Mtakatifu, mtakatifu, ni mfalme wa majeshi : ulimwengu zima imejaa na sifa yako. Malaika moja ambae alitumia kamba, alichukuwa makaa yenye moto kwa madhobahu na aliyagua midono ya Isaya. Hiyi ni dalili ya maondolea ya dhambi ya Isaya.

Makerubi

Haina ya malaika imeandikwa kila mara. Materubi wametoa huduma yao mbele ya Mungu na wameihinda myumba ya Mungu. Makerubi walichukuliwa picha kwenye sanduku la Agano na kwenye kiambaza ya hekalu ya sulemane kama ni wenye kusimama kwa upande ambili ya Mungu kando kando ya kiti cha rehema.

Kazi ya Malaika

Viumbe vya kiroho vyenye kutoa huduma.

Kwa Mungu

Kazi kuu ya Malaika ni ku sujudu kuabudu and kuhudumia Mungu. Malaika wenye kuabudu na kuhudumia Mungu wamechuliwa picha mara myingi katika Biblia na hasa katika kitabu cha ufunuo. Malaika wameabudu na kutimiliza amri za Mungu.

Waebrania 1:6—Hata tena, amletapa mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, na wamsujudu malaika wote wa Mungu.

I Petro 3:22—Naye yupo mkono wa kuume wa Mungu, awekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zikiisha kuhishwa chini yake.

Ufunuo 5:11—Nikaona nikasikia sauti ya malaika wengi pande zote za kile kiti cha enzi, na za wale wenye uhai, na za wale wazee, na hesabu yzo ilikuwa elfu kumi mara elfukumi na elfu mara elfu.

Ufunuo 14:10— Yeye naye abakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.

Kwa mtu

Malaika walipewa kazi na Mungu ya kumudumia watu wake.

Waebrania 1:14—Je! Hao wote si roho watumitao, wakitumiwa kuwahudumu wale watakao urithi wokovu?

Wenye kulinda

Zaburi 34:7—Malaika wa Mfalme wamekuja kwa wale ambae wamemwogopa, na wamewaokowa.

Kutoka 14:19—Na Malaika wa Mungu, ambae walienda kwenye kambi ya Israeli, waliondoa na kwenda nyuma yao; na nguzo ya wingu zilienda kutoka mbele ya nyuso zao, na kusimama nyuma zao;

Zaburi 91:11,12—kwani atawapa malaika wake kazi juu, yako kwa njia yako yote 12. watakunyanyawa mikononi mwao ili kusudi husigonge mguu wake kwenye jiwe.

Wenye kufunua na Kuongoza.

Malaika Gabrieli alimuagiza Danieli kuhusu maana ya ndoto na maono yake. (Danieli 18:16; 9:21). Wakati nyingi katika Biblia, Malaika walitoa jumbe kutoka kwa Mungu kwelekea kwa watu. Malaika alimweleza zakaria ya kuwa atapa mtoto na atamwita Yohana (Luka 1:19) Ujumbe kuu ambao ili chukulia ilikuwa ujumbe wa Gabrieli kwelekea kwa Miriamu ya kuwa atachukuwa mimba na ataikwa kwa jina la Yesu.

Wametuonya katika wagalatia 1:8 ya kuwa hata kama malaika wa mbinguni wameubiri injili lolote nyingine, wamestahili kuhainiwa.

Hata kama ujumbe wa malaika itashundwa na neno.

Yenye Kutolea

Mungu alitumia Malaika ili kutolea mahitaji ya kimwili kama vile chakula kwa ajili ya hagar (mwanzo 21:17-20), Eliya (1 wamuzi 19:6), na Kristo baada ya majaribu yake (Mathayo 4:11).

Wenye Kuokowa

kuwaepusha watu wa Mungu kwa hatari wakati wamepatikana katika hali hiyo. Malaika waliwaokowa wakume kwenye Gereza katika Matendo 5, na walirudiria kazi hiyo kwa ajili ya Petro katika matendo 12:7-9. Katika Danieli 6:22, Malaika laiwafumba wa sima vinywa kwa ajili ya Danieli.

Wenye kutia nguvu na kuhimiza (kuthibitisha)

Malaika walimbia nguvu yesu baada ya majaribu (Mathayo 4:11), wali thibilisha wamitume kufuliza kuubiri ya kokoka kwenye gereza (Matendo 5:19-20), na walimweleza Paulo ya kuwa mtu yote kwenye merikebu atasalamika kwa hatari ya merikebu (Matendo 27:23-25).

Wenye kujibu kwa sala

Mungu kila mara ametumikisha Malaika kama chombo cha kutoajibu kwa sala ya watu wake (Danieli 9:20-24; 10:10-12; Matendo 12:1-7)

Wenye kushururikia waaminifu wakati wa kifo

Katika adithi la Lazaro na mtu mtafiri, tulisoma kwamba malaika waliyachukuwa Roho ya Lazaro kwenye kufua cha Abrahamu wakati alifariki (Luka 16:22)

Siyo wa Kuabudiwa

Japo wa mungu ni viumbe vitakatifu, siyo wa kuabudiwa. Shetani alijaribu kumsukuma Yesu ili amsujudu, walakini Yesu alimueleza wazi ya kuwa Mungu tu Mungu tu amestahili kuabudiwa. Malaika walifanywa ili kumsujudu Mungu na siyo wakuabudiwa kamwe.

Luka 4:8—Yesu akajibu akamwambia, imeandikwa; Msujudie Baba Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Waebrania 1:6—hata tena,… na wamsujudu malaika wake wa Mungu (Yesu).

Wakolosai 2:18—Mtu aiswanyanganye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna vure, kwa akili zake za kimwili.

Warumi 1:25—watakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya muumba anaye himdiwa milele.

Hatustahili kukisujudia kiumbe chochote, hata malaika. Ibada yote yafaa kumwelekea Muumba. Ni upuzi wenye hatari kwa wengi kutegemea malaika. Isipokuwa tu jina matatu ambayo imeletwa katika maandika yenye kutoka kwa idadi isiyo hesabulika ya jeshi la mbinguni vime kuwa mbinguni; hiyi ni ishara kwetu ili tusitie akili yetu kwenye Malaika. Shaba yetu yafaa kuwa juu ya kristo na hali tumeonzwa na Roho Mtakatifu.

Andiko kuhusu Malaika

Jeshi la Mbinguni

Luka 2:13 – Mara wali kuwapo pamoj na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema,

Yobo 38:7 – wakati (nyota za asubui) Alfajiu waliemba pamoja, na watoto wote wa Mungu walilalamika kwa furaha.

Malaika wa Mfalme

Kuna malaika ine ambae ina majina katika Biblia. Andiko ya kwanza kuhusu malaika katika Biblia ni katika Mwanzo 16:7. “Malaika wa Mfalme” alimweleza Hagar kurudi kwenye Sarah.

Mwanzo 16:7—Na aalaita wa Mfalme alimkuta Hagaa kando kando ya chemi-chemi ya maji…

Hiyi ndyo ya kwanza katika mara nyingi Malaika wa mfalme alitoa jumbe:

Alisema kwa Musa wakati kijiti ili kuwa imeungua. Kutoka 3:2

Alisema kwa Manoah na mkewake kuhusu samsoni Wamuzi 13:2

Alimkataza Balaamu. Hesabu 22:22

Alimonekania Gideoni. Wamuzi 6:12

Lucifero

Lucifero maana nyota za mchana, yenye kunga’a, ao yenye mwangaza. Katika kuinuka kwake kwa Mungu, Lucifero aliangutka katika hutumu ya Ibilisi kuwa mkuu wa malaika ambae walianguka na tuwa maadui ya Mungu. Kuanguka kwa Lucifero kumefasiriwa katika Isaya 14:12-14 na Ezekieli 28:12-15. Kabla ya kuanguka kwake, lucifero alikuwa malaika mrembo huyu katika maji veno yake alijitukuza mwenyewe kuwa juu ya Malaika wengine kuwa sawa sawa na Mungu. Aliumbwa katika hali ya ukuu, walakini alianguka mbali ya hiyo.

Yohana 8:44—… Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendozo kuzitenda…

I Timotheo 3:6—… asige akajiaina akaanguka ktka hukumu ya Ibilisi.

Katika kwanguka kwake, Lucifero alivuta theluthi ya malaika wa mbinguni kwake. Katika vita kuu mbinguni, shetani na wafuasi wake walitupwa nji ya mbinguni (Ufunua 12:4).

Michaeli

Michaeli ni malaika moja tu mwenye kuwa mkuu wa malaika, wajibu wake kuu imeonekana kuwa kulinda kwa vita watoto wa Mungu.

Danieli 12:1—Kwa wakati hule, Mikaeli amesimama, Mtoto mkuu wa mfalme ambae amesimama kwa ajili ya watoto wa watu wake: na kutakuwapo masumbufu, kama vile bado haija kuwapo: na kwa wakati huu watu wako wtaokolewa, na kila mmoja atkuwapo ameandikwa katika kitabu.

Tamko mto wa Mfalme Katika shairi hiyi maana. Mwenye kuongoza, akida, Mkuu. Yuda 9 amefasiria mapambano katika Mikaeli na shetani. Mikaeli amedhihirishwa kama malaika mpiganaji.

Ufunuo 12:7—Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na Malaika zake wakapigana na yule joka, na yule. Joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake.

Gabreli

Gabrieli ni mjumbe katika mara ine ametajwa katika Biblia. (Danieli 8:16;9:21; Luka 1:19,26) Wengine walifikiri ya kuwa Gabrieli ni malaika mkuu, walakini hakuna shairi katika maandiko imethibitisha hiyo.

Extras

Extras

Cover Page

Mwaka la Kwanza

Vitabu vya Kiada

Mafundisho 1

eagle-tanzania.png