Extras

Cover Page

 

MWAKA WA KWANZA

KITABU CHA KIADA

UTAngulizi WA BIBLIA

Uchunguzi  wa Jumla wa Biblia

eagle-tanzania.png

Textbook (before Jacob)

MWAKA WA KWANZA KITABU CHA KIADA

UTANGULIZI WA BIBLIA

Uchunguzi wa Jumla wa Biblia

Utangulizi

MUONEKANO

Utangulizi wa Biblia utakuwa na somo lenye mambo yafuatayo:

  1. Vile vitabu 66 vya Biblia na mambo yaliyomo ndani kwa kifupi.
  2. Wahusika wakuu, maeneo, ukweli na matukio ya Biblia.
  3. Uvuvio wa Biblia.
  4. Kanuni za Biblia.
  5. Neno la Mungu katika nyakati mbalimbali.

Mtiririko wa Mafunzo: Utangulizi wa Biblia Takatifu na sababu zinazotufanya tuamini kwamba haina dosari, kosa, ni safi, na ni neno la Mungu lenye msukumo wake ambalo halina mgongano.

KUFAULU MAFUNZO HAYA

Vigezo vya mafunzo kwa ujumla:

  1. Kuhudhuria kila somo.
  2. Kufanya kazi za kuandika na nadharia.
  3. Kujifunza kwa kukariri:
    1. Maandiko.
    2. Orodha ya majina ya vitabu vya Biblia kama vilivyopangwa.
  4. Kutimiza kazi kwa wakati uliopangwa ikiwa ni pamoja na maswali ya kujifunza na mambo mengine ya kufanyia nyumbani kwa maagizo ya Mwalimu.

Maelezo ya Msingi ya Biblia

BIBLIA NI NINI?

Biblia ni Ufunuo wa Mapenzi ya Mungu kwa wanadamu.

Mungu hakuandika kitabu kingine zaidi ya Biblia. Hakuna ushahidi mwingine wowote wenye maelezo ya kina ya mapenzi ya Mungu na uwezo wake zaidi ya Biblia. Ni kwa kusoma Biblia peke yake ndio tunaweza kuwa na majibu kuhusu maswali mengi yanayomhusu Mungu.

Katika Biblia Mungu ameandaa maelezo ya habari za mapenzi yake na kuonyesha upendo wake kwa binadamu. Ufunuo mwingine wowote unapaswa kuoana na kitabu hiki cha ajabu. Ni kiwango cha uhai wote—wa muda mfupi na wa milele!

Dhamira kuu ya Biblia ni wokovu kupitia Yesu Kristo

(‘ya katikati’ -> kuu, kiongozi, dhamira ya msingi – mada, kama ya hotuba.)

MAMBO YANAYOIHUSU BIBLIA

Mwanzoni Agano la Kale liliandikwa kwa Kiebrania (na asilimia ndogo kwa Kiarabu.) Agano Jipya liliandikwa kwa lugha ya Kigiriki. Toleo la Kingereza la Mfalme Yakobo ni tafsiri inayotokana na lugha hizi asilia. ‘Kutafsiri’ maana yake ni kubadilisha kutoka lugha moja kwenda katika lugha nyingine.

Biblia ni kitabu kimoja, historia moja, na simulizi moja HISTORIA YAKE (Historia ya Mungu)! Tunaiita Biblia TAKATIFU kwa sababu ni Neno la Mungu na siyo hadithi tu ya wanadamu. Neno TAKATIFU maana yake tukufu, safi, isiyo na lawama, au ya kidini, iliyotengwa. Biblia ni kitabu cha Kimungu ingawaje Mungu aliwatumia watu kuueleza ukweli wake Mtakatifu. Watu watakatifu (asili yake binadamu) waliandika kama walivyo himizwa na Roho Mtakatifu (Utukufu wa asili ya Mungu). Kwa kuwa ni Neno la Mungu hatuwezi tukatimiza wazo kwa kitabu au taarifa moja ya Biblia.

Biblia inavyo vitabu 66. 39 katika Agano la Kale na 27 katika Agano Jipya. Utukufu wa Kimungu umefunuliwa katika Biblia kwa utaratibu kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi mwisho wake katika Kitabu cha Ufunuo. Mwanzo ni kitabu kinachoonyesha asili; Ufunuo ni kitahu kinachohusu mwishoni. Vitabu vya Biblia vya katikati ni maneno ya Mungu ya uamsho kutoka katika ulimwengu ulioharibika. Kila kitabu cha Biblia kinao ujumbe wake, hata hivyo kitabu kizima kinakuwa na ujumbe wa wokovu wa mwanadamu ambao unaonekana. Inaweza kusemwa pia kwamba Agano la Kale ni taarifa ya taifa (Israeli) na agano jipya ni taarifa za mwanadamu (Yesu).

MAJINA YA BIBLIA TAKATIFU

Biblia Takatifu

Neno hili Biblia haliko mahali popote katika maandishi ya Biblia. Neno biblia tunalipata katika neno la Kigiriki biblios ambalo maana yake ni “vitabu.” Neno biblios kwa asili yake lilitumiwa kuhusiana na maandishi ya yaliyotumia mafunjo (magombo) katika utengenezaji wa karatasi za kale. Neno la Kingereza biblia maana yake “vitabu.” Biblia Takatifu ni kuhusiana na mkusanyiko wa vitabu Vitakatifu.

Majina ya Biblia kwa yenyewe

Kile Kitabu

Mwanzo 5:1—Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu.

Zaburi 40:7—Ndipo niliposema, Tazama nimekuja, (katika gombo la chuo nimeandikwa, (Ebr. 10:7)

Mathayo 1:1—Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, Mwana wa Ibrahimu.

Luka 4:17—Akapewa chuo cha Nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa.

Agano

Neno Agano maana yake mkataba au mapatano. Vitabu vya Biblia kwa mapatano ya zamani vinaitwa Agano la Kale na vitabu vya Biblia katika mapatamo mapya vinaitwa Agano Jipya.

II Wakorinto 3:14—Ila fikra zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo.

II Wakorinto 3:6—Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa Roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.

Andiko

Neno andiko maana yake “maandishi.” Neno hili hutumiwa kuhusiana na maandishi matakatifu, na mara nyingi hutumiwa kwa uhusiano na Biblia. Yesu alizungumzia maandishi ya Nabii Isaya kama maandiko (Lk. 4:21). Yesu aliwauliza wakuu wa makuhani na wazee: “Hamkupata kusoma katika maandiko…” (Mt. 21:42). Kwa mara nyingine tena Yesu alitumia Neno hili alipokuwa akiongea na masadukayo: “mwapotea kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu” (Mt. 22:29). Sehemu nyingine kuhusu maandiko: Lk. 24:27, Rum. 1:2, Rum. 15:4, II Tim. 3:15-16; I Petro 1:20.

Neno la Mungu

Hili ndio muhimu, lenye nguvu na jina kamili la Biblia Takatifu. Biblia ni Neno la Mungu lililoandikwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya mwanadamu. Biblia siyo Neno la mwanadamu. Biblia ni Neno la Mungu. Taarifa muhimu: Mk. 7:13, Rum. 10:17, II Kor. 2:17.

Waebrania 4:12—Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na Roho na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.

ULINGANISHO: AGANO LA KALE & AGANO JIPYA

Yote mawili huanza na Uungu

Agano la Kale huanza na Mungu (Mwanzo 1:1).

Agano Jipya huanza na Kristo (Mathayo 1:1).

Yote mawili hushirikiana dhamira moja

Wokovu kwa njia ya Yesu Kristo ni dhamira kwa Maagano yote mawili.

Agano la Kale huangalia mbele kwa imani katika msalaba. Ukombozi kwa damu ya Yesu ulikuwa mpango wa Mungu kwa Agano la Kale na ndio mpango wa Mungu kwa Agano jipya.

Ufunuo 13:8—Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana—Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

Mpango wa Mungu toka mwanzo wa nyakati ni wa Yesu ambaye ni Kondoo wa Mungu kumwaga Damu Yake Takatifu kwa malipo ya ukombozi wetu.

Agano Jipya huangalia nyuma katika kazi iliyokamilishwa katika msalaba.

Kristo yupo katikati ya yote mawili

Agano la kale limejaa utabiri wa Kristo. Utabiri huu huitwa Utabiri wa Mesia. Agano la kale linavivuli vingi na viashiria vinavyoonesha ujio wa Kristo. Sheria ni mwalimu wa kutupeleka kwa Kristo (Gal. 3:24). Kristo ni utimilifu wa sheria.

Mathayo 5:17—Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; laa, sikuja kutangua bali kutimiliza.

Kristo ndie mtu wa katikati katika Agano Jipya. Kristo ndiye mpatanishi wa Agano Jipya (Ebr. 12:24).

AGANO LA KALE NA AGANO JIPYA: LILIVYO TENGANISHWA

AGANO LA KALE

Historia

Ushairi

Manabii Wakuus

Manabii Wadogo

Agano Jipya

Injili

Historia

Nyaraka za Paulo

Mkuu wa nyaraka

Unabii

KUSUDI LA BIBLIA

Biblia iliandikwa ili wanadamu wa weze kuamini, kuelewa, kufahamu, kupenda, na kumfuata Kristo.

Kwamba wanadamu wataweza kuamini kuwa Yesu ndiye Kristo.

Dhamira kuu ya Biblia ni ukombozi kwa njia ya Yesu Kristo. Neno Kristo maana yake “aliyepakwa mafuta”, na ni kumhusu Masia. Wanadamu wanapaswa kuamini kwamba Yesu ndiye Mwokozi (Warumi 1:16).

Yohana 20:31—Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.

Kwamba wanadamu wataweza kuelewa Kristo ni nani.

Yesu anajifunua Mwenyewe katika Neno Lake. Biblia inatuambia kwamba Maandiko yanamthibitisha Yesu. Wanadamu wanapaswa kuelewa kwa tafakari ya Neno kwamba Yesu ndiye Masia; Yeye ndiye Mwokozi na njia pekee ya kupata Wokovu.

Yohana 5:39—Mwayachunguza Maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia.

Ili wanadamu waweze kumfahamu Kristo. Biblia huwasaidia wanadamu kumfahamu Kristo.

Mwandishi wa wimbo alitamka, “Ninayo furaha kwa kuwa ninamjua Yesu!” Paulo alitamani kumfahamu Kristo kwa undani zaidi. Wakristo wanaweza kufahamu Yesu ni nani na wanaweza pia kumjua binafsi kwa kushirikiana naye katika masomo.

Yohana 17:3—Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Ili wanadamu wampende Kristo

Kufuatana na Maandiko, ili mwanadamu ampende Kristo anapaswa kuyashika maneno yake Kristo ambayo yamo katika Biblia. Inatupasa kujifunza Biblia ili tuweze kulitii Neno la Mungu na kumpenda Yesu.

Yohana 14:23—…mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda…

I Yohana 2:5—Lakini yeye alishikaye Neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika…

Ili wanadamu weweze kumfuata Kristo

Neno Mkiristo maana yake “Mtu anayemfuata Kristo.” Biblia imeandikwa ili wanadamu waweze kumfuata Kristo.

Yohana 10:27—Kondo wangu waisikie sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.

Yohana 12:26—Mtu akinitumikia, na anifuate…

Biblia inaonesha kusudi na mpango wa Mungu

Mambo yanayohusu Wokovu

Biblia inaeleza kwamba wokovu unapokelewa kwa njia ya kumwamini Yesu na inaonyesha jinsi mwanadamu anavyohitaji wokovu.

Yohana 3:16—Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Kulihusu Kanisa

Katika mpango wa Mungu kulihusu kanisa lake ni kwamba ndilo linalopaswa kuwa tukufu, takatifu lisilo na mawaa. Yapo maagizo mengi kwa kanisa katika Biblia.

Waefeso 5:27—Ili apate kujiletea kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lolote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

Kuhusu siku za mwisho

Biblia inaonyesha mpango wa Mungu kwa siku za mwisho. Tunaelewa kwamba Biblia inasema tunaishi katika siku za mwisho naye Mungu alituonya kuhusu matukio yatakayokuja kupita katika siku hizi za mwisho.

II Timotheo 3:1—Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.

Biblia ni andiko la Neno la Mungu kwa mwanadamu

Ni neno la hakika lililotabiriwa na manabii

Bibilia ni Neno la Mungu lisilokuwa na kosa. Siyo kwamba lina neno la Mungu ndani yake bali ni Neno la Mungu. Biblia ni Neno makini katika saa ya giza.

II Petro 1:19-21—Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu. 20. Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. 21. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Ni msingi imara (I Kor. 3:11)

Neno la Mungu ni msingi imara wa imani yetu. Yesu ni mwamba wa wokovu wetu. Yesu ni Neno lililogeuka nyama. Wakati kila kitu kingine kikiwa kinazama; Neno la Mungu halitashindwa.

I Wakorinto 3:11—Maana msingi mwingine hakuna mtu awezaye kuuweka, isipokuwa ni ule uliokwisha kuwekwa, yaani, Yesu Kristo.

Ni Neno lenye nguvu lisilokuwa na kosa

Neno nguvu maana yake “Lenye pumzi ya Mungu.” Kuna uhai katika Neno ambao ni pumzi halisi ya Mungu. Neno la Mungu ni bila makosa au kupingana.

II Tim. 3:16—Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kuwaonya watu makosa yao, na kuwaongoza, na kuwaadibisha katika haki:

Biblia ni mamlaka ya mwisho

Kuhubiri na kufundisha ni lazima msingi wake uwe ni Neno la Mungu (II Tim. 4:2)

Paulo alimwambia Timotheo alihubiri Neno. Neno ni msingi wa imani yetu (Rum. 10:17). Tunachoamini na kukihubiri kinapaswa kuwa na uelewano mzuri na Biblia.

Kila swali linapaswa kutulizwa kwa Neno la Mungu

Ni sharti Biblia iwe mamlaka kuu katika kila eneo la swali katika maisha ya wanadamu. Mamlaka ya Neno la Mungu haipaswi kuwekewa maswali na mtakatifu wa Mungu. Hii ndio sababu inayotufanya tulazimike kufahamu bila mashaka yoyote kwamba tunalo neno la Mungu leo.

Sehemu muhimu katika Biblia

Ifuatayo ni orodha ya sehemu muhimu za Biblia na maelezo mafupi kuhusu kilichotokea katika kila sehemu mojawapo. Kujifunza kwa moyo sehemu hizi na kujua kilichotokea katika kila sehemu mojawapo kutakupatia picha nzuri ya Biblia yote.

SEHEMU MUHIMU KATIKA AGANO LA KALE

MAHALI MAELEZO ANDIKO
Edeni Mungu alimuumba mwanadamu na kumweka katika Bustani ya Edeni. Eneo la anguko la mwanadamu Mwanzo 2:8
Mlima Ararat Mahali safina ya Nuhu ilipokuja kusimama baada ya ile gharika. Mwanzo 8:1-5
Babeli Mnara uliojengwa kuifikia mbingu na Mungu akawafanya wanadamu waongee katika lugha tofauti. Babeli maana yake mkanganyiko Mwanzo 10:10; 11:4
Uri wa Wakaldayo Mahali abrahamu alipoambiwa mwanzoni aende Kanaani. Nchi ambayo baadaye ilikuja kuitwa Babeli. Nehemia 9:7
Kanani Nchi ya ahadi ambayo walimoishi Abrahamu, Isaka na Yakobo. Yoshua aliiteka na kugawia kila kabila sehemu. Mwanzo 12:5
Misri Nchi Yusufu alikouzwa kuwa mtumwa. Israeli ikadumu utumwani miaka 400. Musa aliitoa Israeli kutoka Misri. Mwanzo 12:10
Mlima Sinai Mahali Musa alipoona kichaka kinachowaka moto na baadaye akapokea sheria na agano. Kutoka 19:11
Nyikani Watoto wa Israeli walihangaika jangwani kwa miaka 40 kwa kutoamini kwao. Matendo 7:42
Syria Mateka wa Israeli walipelekwa Syria. 2 Fal. 18:11
Babeli Mateka wa Yuda walipelekwa Babeli. Danieli alikuwa mmoja wao. Danieli 1:1

AGANO JIPYA – MAENEO MUHIMU

MAHALI MAELEZO ANDIKO
Betlehemu Mahali pa asili—Kuzaliwa Kristo katika hori. Luka 2:7
Galilaya Palistina iligawanywa katika mikoa mitatu, Yudea, Samaria, na Galilaya, ambayo ilijumuisha eneo lote la kaskazini la nchi (Mdo. 9:31), ambao ndio mkubwa zaidi. Luka 4:14
Getsemane Mahali pa Kristo pa sala na aliposalitiwa na Yuda. Mat. 26:39
Golgota Mahali Kristo aliposulubiwa. “Mahali pa fuvu la kichwa.” Marko 15:22-28
Yerusalemu Huitwa pia: Salemu, Arieli, Yebusi, "Mji wa Mungu," "mji mtakatifu;" wakati fulani "Mji wa Yuda" Mahali lilipozaliwa kanisa la Agano Jipya. Mdo 1:8 (2:25, 28)
Samaria Samaria mkoa ulioko katikati ya Palestina lakini hauchukuliwi kama nchi takatifu. Umbali kati ya Samaria na Israeli ambayo ni mji mikuu ya falme mbili ni maili 35 tu katika mstari ulionyooka. Yoh. 4:1-5

Watendaji muhimu katika Agano la Kale

Wahusika Wakuu katika Agano Jipya

Matukio Makuu ya Biblia

Uumbaji

Taarifa ya Uumbaji wa dunia (Mwanzo 1, 2).

Anguko la mwanadamu

Eva alishauriwa na nyoka kula tunda lililokatazwa. Adamu pia alikula tunda alipopewa na Eva. Biblia inatueleza kwamba Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi: Rum. 5:12 taarifa hii ya dhambi ya kwanza huelezwa kama anguko la mwanadamu.

Gharika kuu

Mungu alimwambia Nuhu kwamba ataharibu kila kiumbe kwa sababu ya dhambi ya mwanadamu. Mungu alimwagiza Nuhu ajenge safina ili imuokoe Yeye na familia yake. Mungu alimwagiza Nuhu kuwaleta wawili katika kila aina ya mnyama asiyekuwa msafi na wanyama saba kati ya walio safi katika safina (Mwa. 6).

Kuitwa Abram

Bwana alimwita Abram kutoka Uri ya Kaldayo. Mungu akamwambia kwamba atamwonyesha njia ya kwenda nchi nyingine. Abram akaipokea ahadi kwamba atakuwa taifa kubwa. Nchi ya Kanani ndio iliyokuwa nchi ambayo Mungu alimwelekeza. Abram aliipokea ahadi kwamba familia zote zitabarikiwa katika Abram. Hii ni ahadi kwamba Masiha (Mwa. 12:1-3).

Utumwani Misri

Yakobo aliwatuma wanae Misri kununua mkate kwa sababu nchi ilikuwa na njaa. Mungu akamuweka Yusufu nafasi ya pili katika uongozi wa Misri. Yakobo na wanaye walikuja kuishi Gosheni jimbo mojawapo la misiri ili kuwaweka watoto wa Israeli hai wakati wa njaa. Baadaye aliinuka Farao, Mfalme aliyewaingiza utumwani Wayahudi.

Kutoka

Mungu akamwinua Musa akawatoe utumwani Israeli kutoka Misri. Mungu aliongoza Israeli kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu. Kuondoka huku kutoka Misri huitwa Kutoka.

Kupokea Amri

Musa alipokea Sheria ya Mungu katika mlima Sinai. Mungu alimkabidhi zile Amri Kumi katika vigae viwili vya mawe. Kutangatanga Nyikani. Watoto wa Israeli walitangatanga katika nyika kwa miaka 40 kwa sababu ya dhambi. Mungu hakuwaruhusu waingie katika Nchi ya Ahadi kwa sababu ya kutokuamini kwao (Ebr. 3:19).

Kuishinda Kanani

Mungu alimwinua Yoshua kuwaongoza Waisraeli hadi katika nchi ya Ahadi. Taarifa ya Israeli kujipatia Nchi ya Ahadi huitwa kuishinda Kanani.

Ujenzi wa Hekalu

Mungu alimtumia Solomoni kumjengea nyumba ya kudumu kwa ajili ya kuabudia. Israeli walitumia chombo kinachohamishika kinachoitwa Tabernakulo kuabudia walipokuwa njiani kuelekea Kanani. Mungu alimwagiza Sulemani kumjengea nyumba ya kudumu ya kuabudia walipo stawi katika ile nchi. Mateka Babeli. Mungu aliruhusu Israeli ishindwe na Babeli kwa sababu ya dhambi yao. Hekalu lilibomolewa na vyombo vya dhahabu vikaporwa. Kuna vipindi vitatu ambapo Israeli waliwekwa mateka na kupelekwa Babeli.

Hekalu kujengwa tena

Mungu alimwinua Ezra na Nehemia kulijenga tena Hekalu.

Kuzaliwa Kristo

Kristo alizaliwa Betlehemu kama ilivyo katika maandiko. Kuzaliwa kwa Kristo ni jambo kuu katika historia yote. Tarehe huandikwa KK Kabla ya Kristo na KB katika mwaka wa Bwana.

Kristo kusulubiwa

Yesu alikuja kuununua wokovu wa mwanadamu. Kristo alisulubiwa kama sadaka kuu kwa ajili ya dhambi za wanadamu.

Ufufuko wa Kristo

Yesu alifufuka katika wafu. Kwa kifo Kristo alivunja nguvu za yule aliyekuwa na uwezo juu ya kifo; ambaye ni yule muovu (Ebr. 2:14).

Siku ya Pentekoste

Kanisa lilizaliwa katika Siku ya Pentekoste. Hii ni ile siku ambayo Mungu alitoa zawadi ya ubatizo kwa Roho Mtakatifu.

Muhtasari wa Biblia

Muhtasari wa Agano la Kale

TORATI

HISTORIA

USHAIRI

MANABII WAKUU

MANABII WADOGO

Muhtasari wa Agano Jipya

Injili

Neno Injili maana yake: habari njema. Injili zinasimulia Habari Njema za Yesu Kristo. Siyo historia za watu na hazielezi kila tukio katika maisha ya Kristo.

Historia

Nyaraka za Mtume Paulo

Nyaraka kuu

Utabiri

Umoja Kamili wa Biblia

Ukombozi ni Dhamira moja Kuu ya Biblia

Ukombozi ni tendo la kununua au kulipia kwa ukamilifu

Mwanadamu amekombolewa kwa damu ya Yesu Kristo. Yesu ameshalipa kikamilifu kwa damu yake iliyomwagwa msalabani bei ya ukombozi wa mwanadamu. Wokovu kwa Damu ya Yesu ndio dhamira kuu ya Biblia. Dhamira hii inapatikana tangu kitabu cha Mwanzo mpaka Ufunuo. Ahadi ya kwanza ya ukombozi imetolewa katika Mwa. 3:15. Nami nitaweka uadui kati yao na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huu utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.

Huu ni utabiri kwamba Yule Masiha ambaye atakuja kutokana na uzao wa mwanamke siku moja atakiponda kichwa cha nyoka. Mada hii inaendelea mpaka kitabu cha Ufunuo.

Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukatukomboa kwenda kwa Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa (Ufunuo 5:9). Andiko hili linahusu kufufuka kwa Kristo aliyetukomboa kwa Damu Yake.

Mkombozi wetu Kristo ndiye Mtu muhimu katika Biblia

Sadaka za kumwaga damu katika Agano la Kale zilikuwa ni aina inayofanana na Yesu ambaye ni Mwanakondoo aliyechinjwa kabla ya misingi ya ulimwengu. Wakisema kwa sauti kuu, Anastahili Mwana – Kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka (Ufu. 5:12). Agano la Kale huangalia mbele kwa imani katika msalaba wa Kristo. Injili hii inamuonesha Kristo na Kifo chake juu ya msalaba. Agano Jipya huangalia nyuma katika kazi iliyomaliziwa katika msalaba.

Kristo hujidhihirisha mwenyewe katika Agano la Kale kwa nyakati tofauti na kwa njia mbalimbali. Kristo ameelezwa kwa namna ya kinabii kuwa ni Masiha ajaye.

Tangu Adamu hadi Abrahamu tunaona -> mwanzo wa jamii ya mwanadamu (Mwanzo 1:26, 27, 4:1, 5:1-5, 32; 6:9, 10 ; 7:17-23; 9:1; 11:10, 27).

Kizazi - taarifa ya historia ya ukoo wa mtu somo la mtiririko wa familia

Tangu Abraham mpaka Kristo tunaona -> mwanzo wa kabila teule. Taifa la waebrania (Mwanzo 12:1, 2; 22:15-18; 32:9-12; Yoshua 1:1-3; Mathayo 1:1, 2, 16). (Taifa hili lilianzishwa na kulelewa na mungu ili kumleta mwanadamu ulimwenguni.)

Tangu Kristo na kuendelea tunaona -> Mwanzo wa kanisa (Mathayo 16:18; Matendo 2:47; 11:26).

Tunapata mwonekano wake katika kila ukurasa, katika maandishi matakatifu yaliyochirwa kwa Nuru, Mkombozi, Nabii, Kuhani.

Biblia Haipingani

Hakuna kosa katika Biblia

Biblia ni Neno la Mungu la hakika. Neno la Mungu halina makosa au mgongano. Biblia ni sahihi na kamili. Biblia ni sahihi kihistoria na kisayansi. Hakuna mgongano kati ya sayansi ya kweli na Biblia. Taarifa ya kweli ya historia na taarifa za ugunduzi zinakubaliana kikamilifu na Biblia.

Kuna utulivu kamili katika Biblia yenyewe

Kilichoandikwa katika sehemu moja ya Biblia kinaoana na kilichoandikwa katika sehemu nyingine ya Biblia. Upo umoja kamilifu ndani ya Biblia yenyewe.

Biblia ina umoja

Biblia ina umoja katika unabii

Agano la Kale linao unabii mwingi. Unabii ni tangazo la tukio ambalo litakuja kutokea. Ni historia ambayo imeandikwa mapema. Utabiri wote huo unakubaliana na kila mmoja wapo. Baadhi ya unabii katika Agano la Kale umeshakamilika katika tarehe za baadaye katika Agano la Kale. Unabii mwingi katika Agano la Kale ulielezea ujio wa Masiha.

Agano Jipya limekamilisha mambo mengi yaliyotabiriwa katika Agano la Kale. Unabii huo ulikamilishwa vya kutosha bila upungufu. Msisitizo wa Nabii katika kila kitabu unaoana na kila unabii mwingine.

Biblia ni umoja katika mafundisho

Mafundisho ni ukweli wa msingi wa Biblia uliopangwa kwa mfumo sahihi. Ukweli wa Biblia umeendelea kuwa ule ule katika Neno la Mungu lote. Kuna uelewano mmoja ulio sahihi kwa Kanuni ya Biblia. Umoja huu umeendelezwa kutoka Agano la Kale hadi katika Agano Jipya. Biblia ni taarifa sahihi iliyofunuliwa kwa mwanadamu ikiwa na uelewano wa kutosha kwa kila mafundisho na ukweli.

Biblia ni umoja kamili wa ukweli. Ukweli haubadiliki. Kamusi ya Webster inafafanua ukweli kama: Kukubaliana na hali halisi kwa ukamilifu kwa kuzingatia kitu kilichopo, au kilichokuwepo au kitakachokuwepo. Ukweli wa Biblia unabakiwa kuwa sawasawa kuanzia kitabu cha Mwanzo mpaka kitabu cha Ufunuo. Uwatakase kwa ile kweli; Neno lako ndiyo kweli (Yohana 17:17).

Biblia ni Umoja kwa Kusudi

Kusudi la Biblia ni kuonesha mapenzi ya Mungu kwa mwanadamu. Biblia inaonesha mpango wa Mungu katika nyakati zote. Neno la Mungu hutoa maagizo na mwongozo kwa roho za wanadamu. Mpango wa ukombozi unaoneshwa kwa mwanadamu katika Biblia.

Kila kitabu cha Biblia hutanguliza lengo moja la Biblia. Mungu ameonyesha mapenzi yake kwa watu mbalimbali katika vipindi tofauti katika Biblia yote. Biblia nzima huongoza wanadamu kwa Kristo na mpango wa ukombozi ambao ni dhamira kuu ya Biblia.

Biblia ni Moja kwa Umbile

Kila agano limeundwa kwa sehemu tatu kuu: historia, maagizo, na unabii.

Ipo Biblia moja yenye Agano Jipya na Agano la Kale.

“Huu mtungamano wote wa Biblia katika maelezo na mchoro, kwa uelewano wake utulivu na uthibitisho unaoelewana ungekuwa kunaonekana wazi kama ingekuwa umekamilishwa na kikundi cha wasomi waliofanya kazi pamoja wakiwa na mawasiliano ya kudumu ya habari na mawazo. Hata katika hali ya namna hioyo ambapo kila mwandishi angegawiwa sehemu iliyohaririwa na bingwa wa mawazo na ikapitishwa na kikundi kipana umoja uliounganishwa wa maandiko hayo ungekuwa ni mafanikio ya ajabu. LAKINI, Biblia haikuandikwa kwa njia hiyo! Iliandaliwa na waandishi 40 au zaidi ambao waliishi katika kipindi kinachozidi miaka 1600 katika nchi 13 tofauti ndani ya mabara 3 ambao waliandika kutoka katika maeneo na ujuzi usiofanana kabisa. Walikuwa wachunga kondoo, wafalme, wanajeshi, wana wa wafalme, makuhani, wavuvi, wasomi, wanahistoria, watalaam na vibarua wa kawaida. Kazi yao ilifanyikia maporini, majangwani, mapangoni, makasri, magerezani, kwenye meli na nyumbani. Waliandika kuhusu mada nyingi kwa mbinu tofauti katika angalao lugha tatu. Hata hivyo pamoja na tofauti za namna hiyo na matatizo yaliyotokana na kazi zao mbalimbali walichofanya kinaoana kwa hakika na ni sare, inayoonekana kuandaliwa moja kwa ajili ya nyingine.”

Kristo katika Vitabu 66 vya Biblia

Uvuvio wa Biblia

Ufafanuzi kuhusu uvuvio wa Biblia

Uvuvio maana yake ni nini?

Kamusi ya Webster inafafanua uvuvio kama: kitendo chochote cha kupumlia.

Neno Uvuvio linatokana na Neno la kiingereza inspiration ambalo kwa kilatini ni in spiro maana yake ‘pumulia ndani.’

Neno hilo kwa maana yake halisi enye pumzi ya Mungu.

2 Tim. 3:16—Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, la faa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadabisha katika haki.

Maneno katika taarifa ya kuwa na pumzi ya Mungu ni tafsiri kutoka katika neno moja la Kiyunani: theopneustos, ambalo limetolewa katika neno Theos - Mungu na pneuma – Roho Mtakatifu. Pneuma limetolewa kutoka neno lenye maana ya pumzi. Tafsiri halisi ya maneno haya (iliyotolewa kwa pumzi ya Mungu) ni: ILIYO PUMULIWA NA MUNGU.

Neno hili limetumiwa kuhusiana na asili ya Kimungu ya Maandiko.

Biblia haikuandikwa na Mwanadamu Roho Mtakatifu alilipumulia Neno kwa watu ambao walikuwa ni vyombo vya kibinadamu vya Mwandishi ambaye ni Mungu.

II Petro 1:21—Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Unabii katika maandiko haya yanahusiana na aya ya 20 inayosema: Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Aya hizi zinahusu unabii ulioko katika Maandiko. Maandiko hayakuletwa kwetu na mwanadamu. Wale wanadamu walisukumwa na Roho Mtakatifu. Kitendo hiki Kitukufu cha Mungu.

Je tumeshapata Neno lenye pumzi ya Mungu? Ndiyo, tumeshapata! Haitoshi kujibu ndiyo peke yake swali kama hili, kila muamini anapaswa kufahamu bila shaka yeyote kwamba Biblia siyo kitu kingine zaidi ya pumzi ya Mwenyezi Mungu.

Mawazo Potofu kuhusu Uvuvio wa Biblia

Biblia ilipatikana kwa uvuvio wa asili

Wazo hili la uwongo hushikilia kwamba Biblia ni tunda la mtu mmoja mwerevu wa hali ya juu, ila siyo mwenye nguvu za ajabu au za Utukufu. Hii ni aina ya msukumo ambao umeoneshwa katika maandishi ya Milton, Shakespeare au Confusius. Hakuna binadamu mwenye kipaji hata kiwe cha namna gani, ambaye akisoma alichoandika Shakespeare kisha akaisoma Biblia atashindwa kuona tofauti kati ya mambo haya mawili kuwa ni kubwa sana. Kitabu kinaweza kuwa na uvuvio bila kuwa na pumzi. Biblia inavipita kwa mbali vitabu vya wanadamu.

Mungu alitumia ngazi mbalimbali za uvuvio kutupatia Biblia

Wazo hili la uongo hudai kwamba Mungu alitumia ngazi mbalimbali za udhibiti kwa vipindi tofauti katika mchakato wa msukumo. Wazo hili linatetewa zaidi kwamba Mungu alitumia utukufu wake na wakati mwingine, alitoa tu mapendekezo au alianzisha jambo kwa maagizo. Hii ni kinyume kabisa na msukumo wa kweli wa Biblia.

Mungu alitoa pendekezo au maoni kwa wanadamu ambao waliiandika Biblia

Wale wanaoshabikia wazo hili la uongo wanasema kwamba mapendekezo au mawazo hayo yalipewa uvuvio. Msimamo huu unawapa wanadamu nafasi ya kutumia maneno yao katika taarifa hizo kutoka akili mwao. Hii ni kinyume na maana halisi ya uvuvio wa kweli wa Biblia.

Sehemu chache tu za Biblia zimepumuliwa

Haya ni mafundisho ya uongo ambayo ni hatari kuzungumzia sehemu tu kuwa na pumzi. Msimamo huu unatamka kwamba Biblia inalo Neno la Mungu lakini siyo maandiko yote yamepumuliwa. Ni nani basi wa kuamua nini ndiyo na kipi hakijapumuliwa? Nadharia ya namna hiyo inamuacha mwanadamu katika hali tata na hatari ya kutokuwa na uhakika.

Ni nini uelewa sahihi wa uvuvio wa Biblia?

“Uvuvio wa mdomo na wa mamlaka” ndio sahihi. (jambo hili litaelezwa kwa kina baadaye)

Matangazo ya Uvuvio wa kiBiblia

Biblia nzima inayo pumzi ya Mungu

II Tim. 3:16—Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu…

Wazo kwamba Biblia katika ukamilifu wake inayo pumzi ya Mungu huitwa uvuvio kwa mamlaka. Mamlaka maana yake kamili au timia. Biblia kamili huanzia mwanzo mpaka ufunuo ni Neno la Mungu lenye uvuvio. Maandiko yote yamepumliwa sawasawa.

Kwa kuwa imepumuliwa na Mungu Biblia haiwezi kuwa na kosa. Haiwezi kuwa na kosa maana yake imetenganishwa kabisa na uwezekano wa kukosewa. Maneno hayo huhusishwa na Mungu ambaye hawezi kufanya kosa au kughafilika. Katika matumizi yake kuihusu Biblia kutokuwa na kosa kunahusu Utukufu wa Mwandishi wa Maandiko. Muandishi huyu Mtukufu hafanyi makosa na kwa hiyo Neno lake haliwezi kuwa na kosa.

Agano la Kale limevuviwa na Mungu

Mara kwa mara tena tunaweza kupata maelezo yafuatayo katika Agano la Kale:

Maelezo kama haya yanadhibitisha uvuvio wa Agano la Kale. Uthibitisho wa madai haya uko wazi kutokana na umakini wa kila neno la taarifa na majina, nyakati na mahali ambako watendaji walikamilisha ujumbe wao na, ukamilifu wa kutimia kwa unabii wao.

Matendo 28:25—Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao, wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu alinena vyema na baba zetu, kwa kinywa cha nabii Isaya,

2 Petro 1:21—Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

Waebrania 1:1—Mungu ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi.

Kumb. 18:18-22—Atakaponena nabii kwa jina la Bwana, lisifuate jambo lile wala kutimia hilo ndilo neno asilonena Bwana; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimuogope.

Agano Jipya limevuviwa na Mungu

Waandishi wa Agano Jipya wanadai kuwa uvuvio kwa waandishi wa Agano la Kale unawahusu wao pia:

Matendo 1:16—…ilipasa andiko litimizwe, alilolinena Roho Mtakatifu zamani kwa kinywa cha Daudi kwa habari za Yuda aliyewaongoza wao waliomkamata Yesu....,

Wale watu walivuviwa

Maandiko yanatamka kwamba watu watakatifu wa Mungu waliongea kama walivyosukumwa na Roho Mtakatifu (2 Petro 1:21). Mungu aliwavuvia Neno lake watu ambao walikuwa ni vyombo vya kibinadamu kuandika Biblia. Kauli za Manabii kutoka kwa Mungu zilitumiwa na Mungu kuwasiliana na watu Wake. Bwana aliwaagiza wengi wa watu hao kuandika Maneno Yake. Watu hao walivuviwa na kuagizwa na Mungu kuwapatia watu wake Neno lake.

Yale Maneno Yalivuviwa

Siyo wale watu waliovuviwa na Mungu peke yao, bali uchaguzi wa maneno ulikuja moja kwa moja kutoka katika kiti cha enzi cha Mungu. Mungu alivuvia uchaguzi wa maneno ya Maandiko. Jambo hili hujulikana kama uvuvio wa maneno. Wale waandishi hawakuachwa peke yao katika uchaguzi wa maneno ambayo yatatumika. Mungu aliongoza katika uchaguzi wa maneno katika Biblia.

Yuda 17—Bali ninyi, wapenzi, yakumbukeni maneno yaliyonenwa zamani na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo;

2 Petro 3:2—Mpate kuyakumbuka yale maneno yaliyonenwa zamani na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mokozi iliyoletwa na mitume wenu.

Yohana 12:48—Yeye anikataaye mimi, asiye yakubali maneno yangu, anaye amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.

Zile Herufi zilikuwa na uvuvio

Zile herufi za maneno ya Biblia zimevuviwa kwa Utukufu wa Mungu. Kwa mfano, hebu tuangalie mafundisho ya “punje moja na siyo nyingi” kwa njia ya Kristo ambao ilidhibitishwa kwa matumizi ya herufi: ‘u.’

Wagalatia 3:16—Basi ahadi zilinenwa kwa Ibrahimu kwa mzao wake. Hasemi, kwa wazao kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo. (linganisha na Mwanzo. 22:16-18)

Herufi ‘u’ katika aya hii inaweka tofauti KUBWA. Herufi ‘u’ inaweka tofauti kati ya umoja na wingi na muhimu zaidi tofauti ya kutamka kwamba kuna msuluhishi mmoja au kutamka kwamba wapo wasuluhishi wengi. Iwapo Mungu angesema ‘wazao’ badala ya ‘uzao’ ahadi hizo zingeweza kutolewa kupitia Confucius, Buddha, Mohammed, Papa au mwingine yeyote ambaye amechagua kujitwalia umaarufu huu. Kwa kutumia umoja, Mungu ameufunga mlango kwa manabii wa uongo na kumnyanyua Kristo kama njia PEKEE ya kwenda kwa Mungu. Punje ya Ahadi inaweza kuwa Kristo tu, na siyo Kristo na Buddha au Kristo na Muhammed. Yesu Kristo peke yake alikuwa ndiye punje ya ahadi.

Kila chembe Ilivuviwa

Mathayo 5:18—Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka Mbingu na Nchi zitakapoondoka yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.

Yodi inaweza kulinganishwa na apostrofi (‘) na nukta kulinganishwa na kistari ungio (-).

“Biblia siyo kitu kingine isipokuwa ni sauti Yake yule akaaye katika kiti cha enzi. Kila kitabu chake, kila mlango, kila aya, kila neno, kila silabi, kila herufi, ni tamshi lake Yule Aliye Juu ya Yote.”
—Dan Burgon

Ufafanuzi wa Uvuvio wa kiBiblia

Huzalisha watu “waliozaliwa mara ya pili”

II Kor. 5:17—Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.

Jedwali lifuatalo ni orodha ya watu wa Mungu ambao waligeuka kupitia sehemu mbalimbali za maandiko. Maandiko haya yalikuwa na matokeo katika maisha ya watu hawa wa Mungu.

| John Calvin | Isaya 53:5 | C. H. Spurgeon | Isaya 45:22 | | Henry Moorhouse | Mathayo 1:21 | John Williams | Marko 8:36 | | Sir James Simpson | Yohana 3:14, 15 | W. P. Lockhart | Yohana 19:30 | | David Livingston | Matendo 16:31 | William Cowper | Warumi 3:25 | | Sir George Williams | I Wakorinto 15:1-4 | Martin Luther | Wagalatia 3:11 | | Lord Shaftesbury | I Petro 3:18 | Hedley Vicars | I Yohana 1:7 | | James Chalmers | Ufunuo 22:17 | Robert Moffat | Yohana 3:16 | | Duncan Mathieson | Yohana 3:16 | Richard Weaver | Yohana 3:16 |

Hakuna yeyote aliyewahi kusikia mtu aliyefanywa “kiumbe kipya” kupitia Homer, Shakespeare, Scott, Dickens, Macauley, Huxley, Carlyle, Eliot, Kipling, Wells, au mtu mwingine yeyote? Mamilioni ya watu wamefanywa wapya kwa kusoma na kuiamini Biblia ambayo ni Neno la Mungu.

Huzalisha ukuaji wa Kiroho

Biblia huzalisha ukuaji wa Kiroho katika maisha ya Watakatifu wa Mungu. Biblia ni chakula cha roho ya Mkristo na inapaswa kusomwa kila siku ili kupata nguvu na kukua Kikristo.

Yeremia 15:16—Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ya furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa Majeshi.

1 Petro 2:2—Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu: Husafisha Maisha.

Biblia inaweza kuyasafisha maisha ya wanaume na wanawake. Roho Mtakatifu atawahukumu wanadamu kwa Neno. Biblia itaonesha wanadamu kitu kinachopaswa kubadilishwa katika maisha yao. Maji yaliyopo katika Hema ya kukutania ni alama ya Neno la Mungu. Makuhani walipaswa kunawa katika maji hayo kila wakati waendapo kufanya ibada ya Bwana.

Yohana 15:3—Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu lile neno nililowaambia. (Eph. 5:26)

Zaburi 119:9—Jinsi kijana aisafisha njia yake? Kwa kutii akilifuata Neno lako.

Humjenga Aaminiye

Kunakuwepo na nguvu na kuwa na moyo katika neno la Mungu. Neno la Mungu litakujenga na kukuweka imara katika wakati mgumu. Wakristo wanaweza kusimama katika mwamba huu imara.

Warumi 16:25—Sasa na atukuzwe yeye awezaye kuwafanya imara sawasawa na Injili yangu…

Waefeso 2:20-22—Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Katika yeye jengo lote linaungamanishwa vema na kukua hata liwe Hekalu Takatifu katika Bwana. Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho.

Hukamilishwa katika utimilifu (Soma Waefeso 4:11-15)

Udhibitisho wa hakika wa uvuvio wa Biblia

Upo ushahidi ulio wazi wa kudhibitisha uvuvio wa Biblia. Zaidi ya matamko yaliyomo katika maandishi yenyewe, taarifa nyingi za ukweli wa Biblia zinaonyesha kwamba maandiko yalivuviwa kwa utukufu.

Haijavunjwa na iko katika utimilifu ulio pamoja

Biblia inavyo vitabu 66 vilivyoandikwa kwa lugha 4 na watu 40 ambao walikuwa wakiishi umbali wa zaidi ya maili 1500 katika kipindi cha miaka 1600. Watu waliotumiwa walitoka katika ngazi mbalimbali za maisha; Baadhi yao walikuwa wafalme, madaktari, manabii, wachungaji, wafanya kazi, wavuvi, na mmoja alikuwa mtoza ushuru. Pamoja na ukweli huo mtiririko wake haukuvunjika na inao utimilifu ulio na umoja katika Biblia nzima. Hii inaweza kuwa kazi ya Mungu peke yake.

Haiogopi kutoa Unabii

Biblia husema mapema kuhusu matukio ya miaka au karne nyingi zijazo kabla hayajatokea. Wakati wa kuandikwa kwa unabii ulioko katika Agano la Kale unaweza kuelezwa kwa historia kwa sababu taarifa sahihi za historia kati ya maagano yote mawili imeendelea kuwepo. Taarifa hii ya kihistoria inathibitisha tarehe ya kuisha kwa Agano la Kale kwa kuweka kipindi cha miaka 400 ambacho Biblia imekuwa kimya kati ya utabiri wa mwisho wa Agano la Kale na ukamilishaji wake kuanza katika Agano Jipya.

Tarehe ambazo vitabu vya Biblia zimeandikwa zinaweza kupatikana katika historia. Uwepo wa Septuaginti, yaani ile tafsiri ya Kiyunani ya Agano la Kale unaweza kuwekwa kwa usahihi katika miaka 250 kabla ya Kristo. Kwa kuwa Septuaginti ilitafsiriwa kutoka katika maandishi ya Kiebrania ni lazima kulikuwepo na Agano la Kale la Kiebrania angalau miaka 250 kabla ya kuwepo kwa Agano Jipya. Uthibitisho huu ni wa kihistoria kwamba unabii huo uliandikwa miaka 100 kadhaa kabla ya kutokea utimilifu wake katika Agano Jipya. Hakuna uwezekano wa mwanadamu kuweza kutabiri kwa uhakika wa namna hiyo. Huu ni uthibitisho usiokuwa na ubishi ya kwamba Maandiko ya Injili yamevuviwa.

MIFANO YA UNABII ULIOKAMILISHWA KWA UHAKIKA:

Unabii wa Kristo

Mdo. 3:18—Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.

Kristo alitimiza unabii wote katika Agano la Kale kumhusu yeye pamoja na mashaka yote. Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kuchagua ukoo wake kabla ya kuzaliwa ingawa Yesu alizaliwa katika ukoo kama ilivyokuwa imetabiriwa na manabii. Walikuwepo watu wengine waliohusika katika ukamilisho wa unabii huo kama askari wa Kirumi ambao waligawana mavazi ya Yesu kati yao na kuipigia kanzu yake kura. Hata lile giza lililotokea Kristo alipofariki linaweza kuthibitishwa kwa taarifa za historia na nyingine zilizoandikwa. Nabii Amosi alitabiri giza lile miaka mia 700 hivi iliyopita kabla ya kutokea kwake. Hakuna mwanadamu anayeweza kuelezea kwa usahihi kutimia kwa utabiri huu wa Kimasiha. Huu ni uthibitisho ulio wazi wa uvuvio wa Biblia!

Unabii wa Israel

Utabiri wa Mataifa

Mungu alisema atamleta Mfalme wa Babeli kuwapinga. Aya ya 7. Utabiri huu unasema kwamba yale mawe, mbao na udongo vitatupwa katika maji. Aya ya 12. Nebukadneza, Mfalme wa Babeli, aliuzingira mji wa Tiro kwa miaka 13. Aleksanda Mkuu aliuteka mji wa Tiro katika kile kisiwa mwaka 332 Kabla ya Kristo kwa kujenga daraja toka nchi kavu hadi kisiwani. Walitumia mawe, mbao kutoka kwenye majengo yaliyoharibiwa na udongo wakaujaza kutengeneza kinachoitwa bomazuizi (daraja la udongo) katika maji. Wale Askari waliweka mawe, mbao, na udongo majini kama ilivyotabiriwa na manabii. Jambo hili la hakika lililotabiriwa na likatokea siyo kubahatisha kwa binadamu peke yake. Biblia ni Neno lililovuviwa la Mwenyezi Mungu. Lile Bomazuizi la Aleksanda Mkuu bado liko mahali pale hadi leo.

Unabii wa Siku za mwisho

2 Timotheo 3:1-9

Yako maelezo mengi ambayo ni sahihi kuhusu siku za mwisho yanayopatikana katika Maandiko. Haya ni baadhi tu ya mambo yaliyotabiriwa ambayo yanaeleza hali ya siku zetu:

Usahihi wake Kihistoria

Akiolojia ni kuhusu mafunzo mambo ya kale kwa kutafuta vitu vilivyotumiwa na watu wa zamani. Vitu hivi vya zamani vinatupatia habari kuwahusu watu ambao walivitumia. Kumesha gunduliwa vitu vingi kudhihirisha usahihi wa kihistoria wa Biblia. Kwa kweli, hakuna chochote cha akiolojia kilichopatikana kinachopinga Biblia. Wakosoaji wamebisha kwamba Biblia si sahihi kwa historia lakini akiolojia inaendelea kudhihirisha kwamba Biblia ni ya kweli.

Makitaba ya Wahiti iligunduliwa huko Uturuki 1906 ikidhibitisha usahihi wa Taarifa ya Biblia kuhusu jamii ya Wahiti.

Kumekuwep na vionzi vya mfupa vilivyopatikana vya majitu makubwa kudhibitisha maelezo ya majitu iliyoko katika Biblia.

Masalia ya mtu aliye uawa kwa kusulubiwa yalipatikana Yerusalemu mwaka 1968. Masalia hayo yalikuwa na tundu la msumari katika miguu yake lililopita katika nyayo zote mbili na tundu moja la msumari katika viganja vya mikono. Mtu huyo aliaminika kwamba aliuawa na Warumi wakati wa uasi wa Wayahudi mwaka wa 70 baada ya Kristo. Hii inathibitisha kwamba kusulubu msalabani ilikuwa ni njia ya kutekeleza hukumu ya kifo iliyotumiwa na Warumi kama ilivyoelezwa katika taarifa za Biblia kuhusu kusulubiwa kwa Yesu.

Kitabu cha Matendo kimethibitishwa kihistoria kuwa sahihi.

Michoro imegunduliwa yenye majina ya watu walioelezwa katika Biblia katika maeneo ambamo Biblia imewaweka.

Zimekuwepo taarifa za kupatikana kwa vifaa vya akiolojia vinavyoendelea kudhibitisha usahihi kihistoria wa Biblia. Huu ni ushahidi zaidi ambao unathibitisha uvuvio wa Neno la Mungu.

Usahihi wa Kisayansi

Biblia iko sahihi kisayansi. Yapo mambo kadhaa katika Biblia ambayo wanadamu walioyaandika hawakuwa na uelewa wa kuweza kuyajua. Mungu ndiye mwandishi wa Maandiko Matakatifu na anafahamu mambo yote. Maelezo yaliyoka katika Biblia ni ya kweli na yako sahihi kisayansi.

Vipimo vya safina ya Nuhu alivyopewa na Mungu vinalingana na meli inayofaa kabisa kwa usafirishaji baharini. Meli za kisasa zimeundwa kwa uelewa mkubwa wa fizikia na matumizi ya teknologia ya kompyuta na zinatumia vipimo kama alivyotumia Nuhu. Isingewezekana Nuhu apate elimu hiyo kwa wakati wake. Ni jambo la busara katika hali kama hiyo kuamini kwamba taarifa kuhusu vipimo vya safina katika Biblia ambavyo Mungu alimpatia Nuhu ni sahihi.

Katika kitabu cha Ayubu kuna taarifa kuhusu kugawanywa kwa mwanga (Ayubu 38:24). Mwanga unaweza kugawanywa katika vipande kwa kutumia mche wa kioo. Hakuna uwezekano wa Ayubu katika kitabu chake ambacho ni cha zamani zaidi kuliko vyote katika Biblia aweze kufahamu kwamba mwanga unaweza kugawanywa. Kitabu cha Mhubiri kinazungumzia mizunguko ya upepo. Kuna mizunguko ya upepo na maumbo yake ambayo imegundulika katika sayansi hivi karibuni kwa matumizi ya setelaiti na kompyuta. Watu katika zama za Agano la Kale wasingeweza kuwa na habari kama hizo japo kwa mara nyingine Biblia inayo taarifa sahihi kuhusu mizunguko ya upepo. Mwandishi wa kitabu cha maombolezo angewezaje kujua kwamba mito ilimwagikia baharini (Mhubiri. 1:7). Nabii Isaya alizungumza kuhusu Mungu akiwa ameketi katika duara ya dunia (Isaya 40:22). Dunia haikuthibitishwa kuwa duara mpaka Magellani alipoizunguka kwa merikebu miaka ya 1500. Isaya hakuwa na uwezo wa kupata habari hizo. Ili kwa mara nyingine tena ni jambo linalothibitisha uvuvio wa Maandiko.

Ni Nguvu Isiyotegemea Rika

Warumi 1:16—Kwa maana siionei haua Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao Wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.

Biblia ni zaidi ya kitabu. Biblia ni neno la Mungu. Wale ambao wanaisoma Biblia kwa umakini katika imani wanaweza kubadilishwa kwa nguvu ya Mungu. Mungu anaweza kuitumia Biblia kubadilisha maisha ya wanadamu. Maisha ya watu wengi yameshabadilika kwa nguvu za Mungu kwa kuisoma tu Biblia na kuiamini.

Biblia inanguvu za kuwaokoa watu katika hali zote za maisha: walevi, wabuya unga, malaya, wezi, wauaji, watenda dhambi wote. Wote wanaweza kuokolewa kwa njia ya Yesu Kristo. Tunaweza kupata muongozo katika Neno la Mungu kwa kila tukio la maisha yetu, kwa ushauri usiokuwa na ubaguzi wowote. Biblia inasimama imara juu ya kitabu chochote kile kilichoandikwa bila ushindani wala kupingana. Kwa usahihi Biblia ndio kitabu pekee alichoandika Mungu.

Kuorodheshwa kwa vitabu vya Biblia

Mchakato wa ukusanyaji wa vitabu vya Biblia katika mfumo wake wa sasa ndio kunakoitwa: kuorodheshwa kwa vitabu vya Biblia. Jambo hii halikufanyika kwa siku moja. Ikumbukwe kwamba kila kitabu kimoja ilibidi kiandikwe kwa mkono na kwa umakini mkubwa. Vitabu hivyo vilitumiwa na kusambazwa na viongozi wa dini wa siku hizo. Kulikuwepo pia vitabu vingine vilivyodai kuwa na uvuvio ambavyo havikuingizwa katika Biblia. Kulikuwepo na vitabu vya dini na historia ambavyo vilikuwa vinasambazwa wakati wa kuamua ni vitabu gani viingizwe katika Orodha hiyo. Mchakato huu wa kutambua vitabu vyenye uvuvio na vipi havina ndio jambo tutakaloangalia katika somo la sehemu hii. Tutajaribu pia kulijibu swali: Biblia iliwezaje kufikia katika hali iliyo nayo sasa?

Ufafanuzi Kuhusu Kanoni

Neno Kanoni linatokana na mzizi wa neno mtete

Jani la mtete lilitumiwa kama kifaa cha kupimia. Neno lake la Kingereza ni fimbo (cane) na Kiyunani ni kanuni. Neno kanuni maana yake ufito, rula au kifaa cha kupimia urefu. Kiongozi wa kanisa la karne ya 3 aitwaye Origeni alitumia neno kanuni akimaanisha kipimo cha imani.

Neno kanuni lilitumiwa kuvihusu vitabu vilivyoamuliwa kuwa na asili ya Mungu

Kanuni ya Biblia ni vitabu vyenye uvuvio ambavyo vilikusanywa pamoja katika Biblia Takatifu. Kumbuka kwamba neno Biblia maana yake vitabu na Biblia Takatifu ni mkusanyiko wa vitabu Vitakatifu. Neno kanuni ni neno la kawaida ambalo hutumiwa kuuhusu mkusanyo huu wa vitabu vitakatifu ambavyo tunaviita Biblia ambayo ndilo Neno la Mungu lenye uvuvio.

Kanoni ya Agano la Kale inahusu vitabu vya Agano la Kale ambavyo viliamuliwa kuwa na uvuvio wa Mungu na kuingizwa katika Biblia kama sehemu yake tunayoiita Agano la Kale.

Kanoni ya Agano Jipya inahusu vitabu vya Agano Jipya ambavyo viliamuliwa kuwa na uvuvio wa Mungu na kuingizwa katika Biblia kama sehemu yake tunayoiita Agano Jipya.

Mchakato wa kuorodhesha maandiko kwa kanoni ya Biblia

Mwandishi Mtukufu aliwapa watu Watakatifu wa Mungu Maandiko

Maandishi ya mkono yalinakiliwa kwa umakini mkubwa

Vitabu vile havikukusanywa pamoja katika mfumo wake wa sasa kwa haraka.

Waandishi wa Kiyahudi na viongozi wa dini walivikusanya vile vitabu ambavyo asili yake ilidhihirika kuwa ni Mungu pamoja katika Kanoni ya Agano la Kale

Viongozi wa kale wa kanisa walivikusanya vitabu vile pamoja ambavyo vilithihirika kuwa na asili ya Mungu na kuviweka katika Kanoni ya Agano Jipya

Uwepo wa Kanoni humaanisha ukweli kwamba kitabu kinachohusika kimeshadhihirika kuwa na asili ya Mungu na kuingizwa katika Kanoni

Mfano: uwepo wa Kanoni katika Kitabu cha Isaya ulitambuliwa kwa sababu iliaminika kuwepo na uvuvio wa Mungu.

Uwepo wa Kanoni katika hali kama hii haupaswi kuchanganywa na ule unaotumiwa na Kanisa katoliki ambao huusu utaratibu wa kuwafanya watu waliokufa watakatifu.

Namna ya kuamua uwepo wa Kanuni

Ni Kigezo gani kilitumika kuamua vitabu gani viingizwe katika Biblia na vitabu vipi visiingizwe katika orodha ya Maandiko Matakatifu? Hili ni swali muhimu ambalo inabidi lipatiwe majibu na mwanafunzi makini wa Biblia. Uanapaswa kufahamu bila shaka yeyote kwamba Biblia katika mfumo wake wa sasa ndio NENO LA MUNGU LENYE UVUVIO.

Fikra potofu kuhusu Uamuzi wa vitabu vya Kuorodhesha katika Biblia

Viongozi wa kidini ndio walioamua orodha ya vitabu vya Biblia

Mabaraza ya dini hayakuamua vitabu vya kuorodheshwa katika Biblia. Mabaraza ya wanadamu hayawezi kufanya kitabu kuwa Andiko Takatifu ambacho katika asili yake siyo maandiko matakatifu.

Wakosoaji watasisitiza kwamba ilibidi mwanadamu aamue vitabu vya kuingiza katika orodha ya Biblia hali inayotia shaka kuaminika kwa Biblia

Kumekuwepo na madai kwamba wanadamu walichagua vile vitabu ambavyo vinawiana na mtizamo wa dini zao ambao waliuorodhesha katika Kanoni

Hali hii ndio inayosemekana kwamba ni sababu pekee ya umoja na uelewano wa Maandiko Matakatifu. Ubishi ni kwamba wanadamu waliondoa vitabu ambavyo havikukubaliana na maoni yao na kuingiza vile ambavyo vilikubaliana na maoni yao. Maoni haya ya yongo humuweka mwanadamu katika nafasi ya uamuzi wa orodha ya kanoni.

Mawazo sahihi kuhusu uamuzi wa orodha ya vitabu vya Biblia

Mungu aliamua kanoni ya uorodheshaji wa vitabu vya Biblia

Mungu alimpatia mwanadamu vitabu ambavyo alitaka viingizwe katika Biblia. Mungu alilinda na kuhifadhi vile vitabu alivyovivuvia na kuvitunza hadi wakati wa kuviweka katika orodha ya Biblia.

Uvuvio wa Kiungu wa kitabu kilicho amliwa kikanoni

Kitabu kiliweza kuingizwa katika Kanoni kwa sababu ya kutambuliwa kwake kuwa na Uvuvio wa Wakiungu wa Neno la Mungu. Kitabu ambacho kilionekana kutokuwa na Mamlaka ya Kiungu hakikuingizwa katika Biblia kama sehemu ya kanoni ya Maandiko Matakatifu.

Maelezo ya Kanuni ya Agano la Kale

Kanuni ya Agano la Kale iligawanywa katika sehemu tatu.

Sheria – Maandishi ya Musa.

Manabii – Maandishi ya watu waliokuwa na cheo cha manabii.

Maandishi – Ukiondoa Ruthu na Maombolezo maandishi ya watu ambao hawakuwa na cheo cha nabii. Shehemu hii huitwa pia Hagiografa katika taarifa nyingi za Kiyahudi.

Taarifa za Kimasoreti

Neno masoreti maana yake a desturi. Maandishi ya Kimasoreti yanahusu Maandiko yanayokubalika ya Kiebrania. Maandiko ya Kimasoreti mwanzoni yalithibitiwa na kikundi cha Wayahudi wanaojulikana kama Masoreti.

Maandishi ya Kimasoreti ni taarifa katika vitabu 24 zenye mamlaka vya kanoni ya Kiyahudi (Tanakh au Biblia ya Kiebrania) ambayo ni kamili ikiwa na maelezo, sarufi, matamshi, na herufi zinavyotamkwa na maelezo ya kina kuhusu maandishi. (kwa mfano idadi ya herufi katika ukurasa fulani inaweza kuwekwa pembeni mwa Taarifa ya Masoreti.)

Lengo la Masoreti lilikuwa ni kuhifadhi mfumo halisi, maneno na maana ya Maandiko. Upungufu au badiliko lolote halikukubaliwa.

Maandiko ya Kiebrania yalihifadhiwa na makuhani

Ulikuwa ni wajibu wa Makuhani kuifadhi ufunuo uliokuwa katika Maandishi wa Maandiko. Makuhani walikuwa ndio wateule wa Mungu wa kutunza Sheria yake na kuifundisha.

Kumbukumbu 31:24-26—Basi ikawa hapo Musa alipomaliza kuandika maneno ya Torati hii katika Chuo, hata yakaisha, 25 ndipo Musa akawaamuru Walawi waliokuwa wakilichukua sanduku la Agano la BWANA akawaambia, 26 Twaeni chuo hiki cha Torati, mkiweke kando la agano la BWANA, Mungu wenu, ili kiwepo kama shahidi juu yako.

Sheria iliwekwa kama muongozo kwa Makuhani ili kuitunza pamoja na lile Agano. Makuhani hao waliagizwa kuisoma Sheria kila miaka saba.

Makuhani walisimania matengenezo ya Nakala sahihi za sheria kwa ajili ya matumizi ya wafalme na watawala.

Uangalifu Mkubwa ulitumika katika kulinda na kuhifadhi maandishi yaliyovuviwa

Kristo alikuwa mwaminifu kwa ahadi yake kwamba Maandiko ya Agano la Kale hayatapotea.

Mathayo 5:18—Kwa maana Amini, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie.

Waandishi walitumia mbinu mbalimbali kuhakikisha usahihi wa nakala za maandishi zilizotolewa za taarifa za Kiebrania. Walitumia majaribio kama ya kuhesabu maumbo ya irabu na kukagua uwekaji wa maneno fulani katika taarifa wakati wa kuthibitisha usahihi wa nakala iliyokamilishwa upya. Nakala yote nzima ilitupwa kama ikikutwa na kosa lolote.

Tangu mwanzo wa karne ya kwanza mpaka Mageuzo ya kanisa la Protestanti, Agano la Kale la Waebrania lilihifadhiwa na Wayahudi. Waandishi wa Kiyahudi walinakili kwa uangalifu mkubwa na kuhifadhi maandishi ya Agano la Kale. Augustino alisema, waandishi wa Kiyahudi walikuwa ni Wakutubi wa kanisa la Kikristo. Waandishi wa mwanzo kabisa kati ya hawa waliitwa Tannaim (walimu) walinakili maandishi ya Agano la Kale kwa usahihi mkubwa. Watannaim walifuatwa kwa hadhi na kikundi cha waandishi walioitwa Amoraim (wafichuaji). Hawa walikuwa ni wasomi waliofanya kazi siyo kama wa kunakili tu, bali walizalisha pia ile Talmud ambayo ni kitabu kinachoweka hadharani sheria na mila za Wayahudi.

Zile desturi (Taarifa za Masoreti) zilizoandikwa na kuchapishwa mwishoni mwa enzi za kale. Zaburi zilichapishwa 1477. Katika mwaka 1488 Biblia nzima ya Waebrania ilichapishwa kwa mara ya kwanza.

Kuzikwa kwa Maandiko ya Waebrania. Walimu (Rabi) wa Kiyahudi waliziweka nakala za Maandiko Matakatifu katika heshima ya hadhi ya juu. Wakati andiko lolote lilipo zeeka au kuchujika na kuonekana halifai kwa matumizi lilipumzishwa kwa heshima kuu. Iliaminika kwamba ni bora zaidi kuzizika kwa heshima kuliko kuthubutu kuziacha ziangukue mikono isiyofaa au kudharauriwa. Hii ndio sababu ya kuwepo nakala nyingi za Agano la Kale zilizoandikwa.

Ugawaji wa Maandiko ya Waebrania katika sura na aya mbalimbali. Kugawanywa kwa Maandiko katika Aya ni jambo lililofanyika mapema kabisa na familia ya Masoreti ya ben Asheri miaka ya 900 baada ya Kristo. Mfumo huu unagawanya vitabu 39 vya Agano la Kale (kama tunavyoona katika Biblia) katika aya 23,100. Maandiko ya Waebrania yamegawanywa katika ubeti. Mgawanyiko katika sura ulifanywa kwa mara ya kwanza na Kadinali Hugh wa Mtakatifu Cher mwaka 1244 BK.

Ugunduzi wa Kanuni ya Agano la Kale

Uhusiano wa ndani katika taarifa

Hakuna taarifa ya Historia iliyo kamili ya kukubalika kwa kila kitabu cha Agano la Kale, kwa hiyo, maelezo ya Biblia yenyewe ndio taarifa za kihistoria zilizopo ambazo ni bora zaidi.

Kuijaribu kanoni ya Agano la Kale

Yapo majaribio yaliyotumiwa na viongozi wa Wayahudi ili kuamua kanoni ya kitabu misingi hii ilizingatia walichotaka waandishi wa historia ya Biblia na kanisa. Ulikuwepo mfumo maalumu wa kuangalia utambuzi wa kanoni ya kitabu. Sehemu hii inataja waandishi wa kanoni za vitabu vya Biblia. Maelekezo haya ni kuhusu ukweli kwamba walikuwa ni vyombo vya kibinadamu vya mwandishi wa kiungu.

Iliandikwa na Musa?

Uandishi wa Musa wa kitabu ulichukuliwa kama jaribio halali la uvuvio na Wayahudi tangu zamani. Musa anatajwa kama nabii mkuu wa Wayahudi. Vitabu ambavyo viliandikwa na Musa vinachukuliwa kama vyenye asili ya Mungu kutoka mwanzoni kabisa mwa taarifa za historia ya Wayahudi. Ushahidi wa akiolojia wa Palestina unaimarisha sana mtazamo huu wa kitamaduni. Yesu alithibitisha kwamba Musa ndiye chombo cha kibinadamu kilichopokea ile Sheria. Musa hakuwapa torati? (Yoh. 7:19). Kama tunavyofahamu taarifa iliyoandikwa katika Biblia inaonesha kukubalika mara moja kwa vitabu vya sheria kama vilivyotolewa na Mungu.

Iliandikwa na nabii wa Mungu anayejulikana?

Iwapo kitabu hicho kiliandikwa na nabii wa Mungu anayejulikana ambaye alifikiriwa kama mwaguzi wa Mungu; kitabu hicho kiliaminiwa kuwa ni Neno la Mungu.

Mwandishi wake alithibitishwa kwa matendo ya Mungu?

Mwandishi alichukuliwa kuwa mtu wa Mungu iwapo alionesha ushahidi wa nguvu za Mungu katika maisha yake. Kama mwandishi alichukuliwa kama mtu wa Mungu na maandishi yake pia yaliaminika kwamba yametoka kwa Mungu. Watoto wa manabii walitambua mamlaka ya Elisha walipomuona amechukua nafasi ya Eliya na kuutenganisha mtu Yordani (II Fal 2:15).

Inao uelewano na kanuni nyingine za Maandiko?

Ni lazima kuwepo umoja kamili wa Maandiko. Kanuni katika sehemu moja ya Maandiko ni lazima ielewane na ukweli ulioko katika sehemu nyingine za Maandiko. Kama ilivyokwisha tamkwa wengine watabisha kwamba vitabu vilivyochaguliwa ni vile vinavyopatana na maoni ya viongozi ambao walivichagua. Hata hivyo kitabu kisingeweza kuhesabika kama cha Kanoni iwapo isingekuwa kinakubaliana na Maandiko mengine yaliyopokelewa. Kitabu kilitambuliwa kuwa cha Kanoni kwa sababu ya kuwa na uvuvio. Jambo hili kama tunavyoweza kuona siyo jaribio pekee la kuthibitisha kanoni ya kitabu. Ni wazi kwamba Kitabu chenye asili ya Mungu hakitapingana na kitabu kingine chenye asili ya Mungu.

Kinasema ukweli kumhusu Mungu?

Ni lazima kitabu kiwe sahihi katika maelezo yake kumhusu Mungu na kuhusu vitu vya Mungu. Kitabu hicho kitakaliwa kwa kutokuwa na uvuvio iwapo kutakuwa na makosa kuhusu teolojia.

Kilikubaliwa na viongozi wa Kiyahudi kama chenye mamlaka ya Maandiko?

Baadhi ya vitabu vilikubaliwa na viongozi wa Wayahudi kama vya kanoni na vingine vilikataliwa. Huu ni ushahidi kwamba viongozi wa Kiyahudi walitambua vitabu hivyo ambavyo viliingizwa katika Kanoni kama Maandiko yenye mamlaka.

Ushuhuda wa Agano Jipya unaohusu Kanuni ya Agano la Kale

Yesu alithibitisha mamlaka ya Kanoni ya Agano la Kale.

Yesu alizungumzia sehemu tatu za Kanoni ya Agano la Kale: Sheria, Manabii, na Maandiko.

Luka 24:44—…ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika Manabii na Zaburi.

Ni jambo la kawaida wakati wa Kristo kwa Agano la Kale kuwa katika mgawanyiko wenye sehemu hizo tatu. Kwa kuzitaja sehemu hizo, Yesu alithibitisha mamlaka ya Kanoni ya Agano la Kale kama ilivyogawanywa. Wayahudi wa siku za Yesu wangeweza kuelewa kwamba alikuwa anazungumzia ile Kanuni kamili (ya Agano la Kale) katika tamko hili:

Yesu alisoma kutoka kitabu cha Isaya. Lk. 4:17-21. Yesu alizitaja taarifa hizi kama Habari Njema kwa hiyo alithibitisha mamlaka na uvuvio wake. Yesu asingetumia taarifa kutoka vitabu vya Agano la Kale kama visingekuwa na uvuvio.

Agano jipya linathibitisha mamlaka ya Agano la Kale.

Agano la Kale limetajwa mara 263 katika Agano Jipya. Matumizi ya maandiko haya katika Agano Jipya ni uthibitisho kwamba yalichukuliwa kama yenye Mamlaka katika Neno la Mungu. Paulo ametaja za taarifa za Agano Jipya kama Maandiko (Rum. 10:11; 11:2; Gal. 3:8).

Maelezo ya Kanuni ya Agano Jipya

Kanoni ya Agano Jipya imegawanywa katika sehemu tano:

  1. Injili – Mathayo, Marko, Luka, Yohana
  2. Historia – Matendo
  3. Nyaraka za Paulo – Warumi, 1&2 Wakorinto, Wagalatia, Waefeso, Wafilipi, Wakolosai, 1&2 Wathesalonike, 1&2 Timotheo, Tito, Filemoni
  4. Nyaraka za Kawaida – Waebrania, Yakobo, I&2 Petro, 1, 2, na 3 Yohana, Yuda
  5. Unabii – Ufunuo

Maandishi yaliyopokelewa (Textus Receptus)

Neno la Kilatini Textus Receptus maana yake maandishi yaliyopokelewa na yanahusu Agano Jipya la Kiyunani kama lilivyo katika maandishi ambayo yalikubaliwa na Kanisa la mwanzo. Kuna historia inayopatikana ambayo inayo taarifa yenye uvuvio ambayo ilikubaliwa na kanisa la mwanzo. Mungu alihifadhi neno lake katika vizazi vyote.

Maandishi yaliyopokelewa ndio maandishi yaliyotumiwa na wale Wanamageuzi. Kanisa la Kikristo linatambua vitabu 27 vya maandishi haya kuwa ni kanuni ya Agano Jipya na maandishi mengine yanayobakia yanapingana na yamechanganyika kiasi ambacho ni vigumu kuyafikiria kama yanaweza kuaminika.

Uchapishaji wa kwanza wa Agano Jipya la Kiyunani

Erasmo alichapisha Agano Jipya la Kiyunani mwaka 1516. Erasmo alitumia maandishi yote yaliyokuwepo katika kuchapisha hili Agano Jipya la Kigiriki. Alitaja pia mkusanyiko wa Kilatini (Latin Vulgate) ambao aliamini kuwa inazo dosari nyingi na kukosa maadili ili kuhakikisha kwamba ameangalia kila kianzio kilichokuwepo. Alitegemea kupata taarifa sahihi ambayo ni halisi na inao uvuvio wa Roho Mtakatifu. Agano Jipya la Kiyunani la Erasmo lilikuwa ni matokeo yenye uelewano na uaminifu wa taarifa za Kiyunani zilizoandikwa kwa mikono ambazo zilitumiwa kabla ya kuwepo mashine za uchapishaji. Alitumia kila daftari iliyokuwa imeandikwa na akazilinganisha kwa uangalifu mkubwa ili kuhakikisha anapata Agano Jipya la Kiyunani lililo sahihi ambalo litachapishwa na kusambazwa kwa mara ya kwanza.

Erasmo hakuanzisha maandishi yaliyopokelewa; alikusanya na kuchapisha. Alikusanya nakala nyingi zilizoandikwa kwa mkono za Maandiko zilizokuwa katika mzunguko na kwa kulinganisha moja na nyingine alipata msimamo kati yake ambao aliuchapisha kama Agano Jipya.

Hatupaswi kulionyesha kama ni chimbuko la Erasmo la ‘maandishi yaliyopokelewa’ bali kama muendelezo wa kutoka kwenye maandishi ya mkono iliyozooeleka jinsi ilivyopokelewa kwenda kwenye mfumo wa kuchapisha, ambao uliendelea kuwepo kwa karne tatu.
–Kenneth W. Clark, msomi wa Maandishi ya Kiyunani (msisitizo umeongezwa)

Roho Mtakatifu alizilinda na kuzihifadhi taarifa za kweli za Agano Jipya

Neno la Mungu halitapita

Mathayo 24:35—Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

I Petro 1:23—Kwa kuwa mmezaliwa mara ya pili si kwa mbegu iharibikayo bali kwa ile isiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye uzima lidumulo hata milele.

Roho Mtakatifu aliwafundisha Wakristo ni vitabu vipi vyenye uvuvio

Yohana 14:25-26—Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu. Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.

Roho Mtakatifu aliwaongoza pia Wakristo kutambua ni vitabu gani vilivyokosa uvuvio

Baadhi ya vitabu vilichukuliwa kwa makosa kama vyenye kanoni na baadhi ya Wakristo wa mwanzo. Kwa mfano Ireneo alichukulia kitabu cha “mchungaji wa Hermesi” kuwa ni kimojawapo chenye uvuvio. Roho Mtakatifu aliweka kanoni katika hali yake ya sasa kwa vitabu 27 vya agano Jipya.

Taarifa zilizopokelewa za Agano Jipya zilihifadhiwa na viongozi wa kanisa

Mwanzoni kabisa mwa kanisa Mitume waliagiza kanisa ni vitabu vipi vyenye uvuvio na vipi havina. Mkumbuke Yohana, yule mtume wa mwisho kati ya Wafuasi waanzilishi, alikuwa na umuhimu katika kuliagiza kanisa na kulifikishia maandiko ya kweli yenye uvuvio ya Agano Jipya hadi mwaka wa 100 Baada ya Kristo.

Viongozi wa kwanza wa kanisa walizifikisha taarifa hizo za Agano Jipya kwa waliowapokea. Inyasi na Polikarpi ambao walikuwa ni viongozi wa kanisa la mwanzo walifundishwa na Mtume Yohane kwa kuwapa maagizo ya kitume moja kwa moja kuhusu elimu ya maandishi yenye uvuvio. Polikarpi alimfundisha Ireneo ambaye baadaye alikuja kuwa kiongozi wa kanisa. Wale viongozi waliwafundisha warithi wao ukweli wa Neno la Mungu.

Ugunduzi wa Kanoni ya Agano Jipya

Zipo taarifa za Kihistoria kuhusu kukubalika kwa Kanoni ya Agano Jipya

Vitabu vya mwanzo vya Agano Jipya vilivyokusanywa pamoja ni nyaraka za Paulo. Mkusanyo wa nyaraka za Paulo ulikuwepo katika mzunguko mwanzoni mwa karne ya pili. Inyasi ambaye ni kiongozi wa Karne ya Pili alitaja nyaraka za Paulo kama Injili. Mkusanyiko wa barua za Paulo ulikuwepo wakati Polikarpi alipowaandikia Wafilipo na wakati Inyasi alipoandika barua zake saba kwa makanisa ya Asia ndogo mwaka 115 Baada ya Kristo.

Zile Injili nne zilikusanywa pamoja na kuwekwa katika mfumo muda fulani katika karne ya pili. Tarehe kamili ambapo Injili hizo nne ziliwekwa pamoja haijulikani. Inakubaliwa kwa ujumla kwamba ziliwekwa pamoja na kukubaliwa kabla ya mwaka 170 Baada ya Kristo, kwa sababu injili hizo nne za Kanoni zilitumiwa na Tatiano ambaye alikuwa ni kiongozi wa Kanisa katika kongamano lake la Injili lililoandikwa mwaka wa 170 Baada ya Kristo. Ireneo, katika kitabu chake "kinyume cha upotofu" (mwaka 182-88 Baada ya Kristo), anazitaja injili hizo nne za Agano Jipya akizisema ni Maandiko.

Injili nne zinazotajwa kama Injili na nyaraka za Paulo anayetajwa kama Mtume zilikuwemo katika mzunguko kama mkusanyo tofauti miaka ya mwanzo ya karne ya pili. Sehemu hizi mbili ziliunganishwa baadaye kwa kitabu cha Matendo ambacho kilizileta pamoja katika mkusanyo mmoja wa vitabu. Hii ilikuwa ni hatua ya mwanzo ya kuvikusanya vitabu vya Agano Jipya katika kanoni moja iliyo kamilika.

Kabla ya mwaka 200 Baada ya Kristo nyaraka za Paulo, Injili, Matendo, I Petro na I Yohana zilitambuliwa kama Maandiko na kanisa la Kikristo. Maandishi ya Ireneo, Klementi wa Aleksandria na Tertuliano yanaonyesha kukubaliwa kwa vitabu hivi kama vyenye uvuvio na vilivyo hesabika kuwa na mamlaka sawa na yale yaliyoandikwa katika Agano la Kale. Vitabu saba vilivyobaki, Yohana 2 na 3, Petro 2, Waebrania, Yakobo, Yuda na Ufunuo, vilikubaliwa kama Injili mwaka 300 Baada ya Kristo.

Ushuhuda uliomo katika Agano Jipya lenyewe

Mtume Petro muda mfupi kabla ya kufa kwake, alitaja nyaraka za Paulo kama Maandiko na Injili nyingine zilizobaki kuonyesha kwamba anaziheshimu kazi nyingine katika vitabu vyenye uvuvio vya Injili (II Petro 3:15-16). Kitabu cha Ufunuo kinayo taarifa kwamba ni cha unabii (Ufu. 1:3, 22:18, 19).

Upo ushahidi wa kihistoria wa matumizi ya vitabu vya Agano Jipya uliofanywa na viongozi wa zamani wa kanisa

Klementi wa Roma (97-140 BK) aliandika mengi kutokana na kuhusu Agano Jipya

Klementi wa Roma mwaka 95 Baada ya Kristo aliandika barua kwa jina la Wakristo wa Roma kwa wale walioko Korinto. Katika barua hiyo anatumia taarifa zinazopatikana katika Mathayo na Luka.

Inyasi (35-116 BK) inataja maeneo makubwa ya Agano Jipya

Barua za Inyasi (115 BK) zimetumia lugha inayopatikana katika nyaraka zote za mtume Paulo. Waraka kwa Polikarpi unataja sehemu za kitabu cha Wafilipi na kugusia barua tisa kati ya barua za Paulo. Inyasi ananukuu kutoka Mathayo na I Petro na I Yohana pia.

Polikarpi (69- 155 BK) amerejea mara nyingi katika maandiko ya Agano Jipya

Kunao ushuhuda wa kihistoria wa kukubalika kwa kanuni kwa viongozi wa Kanisa

Theofilo (115-188 BK), Askofu wa Antiokia mwaka 168 BK, aliwataja wainjilisti na Maandiko Matakatifu ya Agano Jipya

Klementi wa Aleksandria (115-188 BK) katika kipindi cha pili cha karne ya pili panatajwa ukusanyaji wa Injili nne ambazo zilitambuliwa kama Maandiko

Ireneo (130-200 BK) analitaja Agano Jipya kama Maandiko Maandiko Matakatifu

Ananukuu kutoka kila kitabu cha Agano Jipya isipokuwa Filemoni na III Yohana. Kanoni ya Agano Jipya inayo tambuliwa na Ireneo inafanana sana na tuliyonayo leo.

Tertuliano (160-221 BK) alitumia kwa mara ya kwanza maneno Agano Jipya na anaiita Biblia kamili kama chombo kizima cha Maagano yote mawili

Eusebio (260-340 BK) kwenye mwaka wa 330 BK aligawa vitabu vyote 27 vya Agano Jipya katika mafungu ya vinavyobishaniwa na visivyokuwa na ubishani

Atanasi (298-373 BK), Askofu wa Aleksandria, katika barua yake ya pasaka ya mwaka 367 BK aliorodhesha vile vitabu 27 vya Agano Jipya na akatumia maneno kuwekwa kanoni kuvihusu.

Majaribio ya uwepo Kanoni katika Agano Jipya

Yalikuwepo majaribio ambayo yalitumiwa na kanisa la mwanzo kuamua kuwepo kwa kanoni katika kitabu. Walikuwepo viongozi wa kanisa waliohusika kwa wakati mbalimbali ambao waliamua ni vitabu gani vyenye uvuvio na visivyokuwa nao. Ifuatayo ni miongozo mnne iliyotumiwa na viongozi hawa katika ugunduzi wao wa kanoni ya Agano Jipya.

Kitabu hiki kiliandikwa na Mtume?

Tunaelewa kwamba Mungu ndiye mwandishi wa Agano Jipya. wale Mitume walikuwa ni baadhi ya watu watakatifu wa Mungu ambao kwa Utukufu wake Mwandishi aliongea kuwapitia wao. Kama kitabu kiliweza kuthibitishwa kuandikwa na mmoja wa wale mitume wa mwanzo wa Yesu kilichukuliwa kama chenye asili ya Mungu. Uzito mkubwa uliwekwa katika ufundishaji na maagizo ya mitume wale wa mwanzo. Maandiko yaliyowahusu wao yalisambazwa kati ya jamii za Kikristo za kwanza kabisa.

Kitabu hiki kiliidhinishwa na Mtume?

Iliaminika kwamba wale mitume wa kwanza walifahamu zaidi ni vitabu vipi vyenye uvuvio na ni vipi visivyokuwa nao. Kitabu ambacho hakikuandikwa na mtume ambacho kilikuwa na idhini ya Kitume kilichukuliwa kuwa na asili ya Mungu.

Kitabu hiki kilipokelewa kimataifa na kanisa la mwanzo mwishoni mwa karne ya nne?

Vipo vitabu fulani ambavyo vilikubaliwa haraka na kanisa la mwanzo kuwa Maandiko yenye Utukufu wa Mungu. Vitabu hivi viliingizwa mara moja katika Kanuni. Kulikuwepo na vitabu vingine ambavyo vilichukua muda kukubaliwa na kanisa kuwekwa katika orodha ya kanoni.

Kitabu hiki kilisomwa hadharani wakati kanisa la mwanzo lilipokusanyika kwa Karamu ya Bwana?

Tunayo taarifa ya kihistoria kutoka kwa viongozi wa mwanzo wa kanisa zinazoonesha kwamba ni vitabu gani vilisomwa katika makusanyiko ya kanisa. Vitabu hivi vilitumiwa na kanisa kwa sababu vilichukuliwa kama vyenye uvuvio.

Kitabu hiki kinao uwiyano na vitabu vingine vilivyokubalika vya Maandiko?

Kama ilivyokwisha tamkwa kuhusu kukubaliwa kwa Maandiko ya Agano la Kale kwamba ni lazima kitabu kioane vizuri na vitabu vingine vyenye kanoni iliyokwisha kubalika. Pamoja na hayo, vitabu vya Agano Jipya ambavyo vilipokelewa vinapaswa kuwa na uwiano na kanoni ya Agano la Kale na kanoni ya Agani Jipya ya Maandiko Matakatifu.

Vitabu vinavyoitwa Homologoumena na Antilegomena

Homologoumena maana yake iliyokubalika na inahusu vitabu vya Agano Jipya ambavyo vilikubalika mara moja. Vitabu 20 kati ya 27 vya Agano Jipya vilikubalika mara moja na vikapokelewa ulimwenguni pote kuwa asilia na kuitwa Homologoumena. Vitabu hivi 20 ni zile Injili nne, Matendo, Nyaraka za Paulo (isipokuwa Waebrania), na nyaraka za kwanza za Yohana na Petro.

Antilegomena maana yake kupinga na inahusu vitabu ambavyo viongozi wa kanisa hawakuvikubali haraka na walichukua muda zaidi kuvikubali katika kanoni ya Maandiko. Vitabu vile saba vya Waebrania, II Yohana na III, II petro, Yuda, Yakobo, Ufunuo vilipingwa kwa kipindi fulani na kuitwa Antilegomena. Yalikuwepo maswali kadhaa kuhusu vitabu vilivyoitwa Antilegomena. Moja ya maswali hayo ni lile la kwamba viliandikwa kweli na wale watu wanaoitwa waandishi wake. Waebrania kilikuwa hakina jina la mwandishi wake na kilitofautiana na mwelekeo wa nyaraka za Paulo uliofahamika; II Petro ilikuwa na tofauti na I Petro; Yakobo na Yuda walijiita watumishi; na siyo mitume; mwandishi wa II Yohana na III Yohana alijiita mzee na siyo mtume. Uandishi wa kitume ulichukuliwa kama kigezo muhimu katika kutambua kanoni ya kitabu. Yalikuwepo maigizo mengi yaliyodai mamlaka ya kitume, kwa hiyo vitabu hivi vilichunguzwa kwa makini kabla ya kuingizwa katika kanoni.

Swali lingine ni kwamba Yuda aliandika taarifa ambazo hazijatajwa mahali pengine katika Maandiko na anamtaja Henoko jambo ambalo lilihusishwa na Apokrifa. Kitabu cha Ufunuo hakikueleweka kwa viongozi wengi wa kanisa kwa hiyo kikazua maulizo katika akili zao. Vitabu hivi havikukubalika mara moja na kuwekwa mahali pake katika kanoni. Baada ya kuchunguzwa kwa makusudi mwishoni vilipokelewa kama halisi, na ucheleweshaji wake ukathibitisha uchunguzi ambao ulitumika katika mchakato wa kuviweka kanoni. Mwanzoni mwa karne ya nne vilipokelewa katika makanisa mengi na mwishoni mwa karne hiyo vikapokelewa na makanisa yote.

Vitabu vya Apokrifa

Neno hili Apokraifa hutumiwa kwa vitabu vilivyoko kati ya Agano la Kale na Agano jipya na hujumlishwa kama rejea kwa baadhi ya kanoni. Vitabu hivi vimepata jina lake kutokana na neno la Kiyunani apokruphos, maana yake iliyofichika. Vilipewa jina hili kwa sababu vilifichika na mamlaka yake hayajulikani. Kanisa la Katoliki la Roma linakubali Apokraifa kama sehemu ya kanoni yao ya Maandiko. Wayahudi wanavitambua kama sehemu muhimu ya historia ya Taifa lao. Vitabu hivi havikufikia kiwango cha msingi wa majaribio ya kuwekwa kanoni. Havikutambuliwa kama vitabu vyenye uvuvio na Wayahudi. Vilipewa sehemu yake vyenyewe katika kitabu hicho kitakatifu vikiwa na maelezo ya kutosha kwamba havihesabiwi kama vyenye mamlaka yaliyosawa na vitabu vyenye kanoni. Baadhi ya viongozi wa kanisa walitumia neno hili kwa vitabu ambavyo havina kanoni.

Maandiko yenye maana ndogo

Maneno haya yalitumika kuvihusu vitabu vilivyoonekana kudai kutambuliwa kuwa na umuhimu au thamani ya kidini. Baadhi ya vitabu vilivyomo katika kundi hili vilionekana kulaghai kwa kudai kuwa na asili ya Kitume kama injili ya Tomaso. Vilikuwepo vitabu vingi vilivyoandikwa ambavyo havikuwa na uvuvio ijapokuwa vilidai aina fulani ya utukufu wa Mungu. Vitabu vilivyomo katika kundi hili huitwa maandiko yenye maana ndogo. Haya ni maneno ambayo yanatumika katika tahariri nyingi na machapisho ya utafiti. Mwanafunzi makini wa Biblia anapaswa angalau kuwa na uelewa wa msingi wa kinachofahamika kuhusu maneno haya.

Orodha ya Kanuni mbalimbali

Kanuni tofauti zimeorodheshwa na madhehebu mengi ya kidini na viongozi wa kanisa katika historia yote.

Kanuni ya Kiyahudi

Kanuni ya Kiyahudi inaundwa na vitabu 39 vya Agano la Kale.

Kanuni ya Kisamaria

Kanuni ya Kisamaria ndiyo Biblia iliyo ndogo kuliko zote duniani na ambayo hutambua vitabu vitano tu vya Pentateukia.

Kanuni ya Marsiyo

Marisiyo ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kutengeneza orodha ya baadhi ya vitabu vya Agano Jipya. Marisiyo alilikataa Agano la kale lote na akamuona Mungu wa Agano la Kale kuwa ni mdogo kwa Yesu. Kanoni ya Marsiyo iliundwa na vitabu 10 tu ambavyo ni nyaraka za Paulo (ukiondoa ambazo za kichungaji) na injili ya Luka. Vitabu hivi alivifanyia masahihisho ili vielewane na ufundishaji wake uliokengeuka. Ingawaje alikuwa muongo kuibuka kwa mafundisho ya uongo kulilifanya kanisa ligundue umuhinu wa kufafanua kanoni ya kweli ya Maandiko.

Kanuni ya Muratoriano iliyotawanyika

Mtawanyiko wa Kanuni Muratoriano unaorodhesha kanoni ya vitabu vya Agano Jipya. Mtawanyiko wa Muratoriano ambao ni maandishi ya kale sana katika miaka ya 200 Baada ya Kristo inayo orodha ya Kanoni kwa vitabu vya Agano Jipya. Haisomeki yote kwa hiyo inaelezewa kama iliyotawanyika. Inavitambua vitabu vyote isipokuwa Waebrania, Yakobo, II Petro, na III Yohana. Lipo pia suala la I Petro ilivyotajwa au hapana. Imejumuisha pia kitabu kimoja kiitwacho Apokalipse cha Petro ambacho kilikataliwa baadaye kwa kutokuwa na Kanuni.

Kanuni ya Terituliano

Tertuliano (160-221 Baada ya Kristo) anavyo vitabu 22 katika kanoni yake ya Agano Jipya inayohusu Injili nne, Matendo, nyaraka 13 za Paulo, I Petro, I Yohana, Yuda na Ufunuo. Hakukiona kitabu cha Waebrania kama chenye kanoni.

Kanoni ya Origeni

Origeni (185-254 Baada ya Kristo) alikiri Injili nne zenye kanuni, matendo, Nyaraka za Mtume Paulo na Waebrania, I Petro, I Yohana na Ufunuo kama vitabu visivyokuwa na upinzani. Origeni alikiri kwamba Waebrania, II Petro, II na III Yohana, Yakobo na Yuda ni vitabu visivyokuwa na upinzani.

Kanuni ya Eusebio

Eusebio (260-340 Baada ya Kristo) anachukuliwa kama mwanahistoria wa kanisa. Anatupatia taarifa kamili yenye maelezo ya nafasi ya kanisa kwa upana. Anaonesha tofauti muhimu kati ya homologoumena (vitabu vilivyokubaliwa) na antilegomena (vitabu vilivyopingwa). Vitabu vilivyo kubaliwa ni zile Injili, Matrndo, Nyaraka za Paulo pamoja na Waebrania, I Petro, I Yohana, na Ufunuo. Amevigawanya vitabu vilivyopingwa katika mafungu mawili madogo: (1) vile vinavyoelekea kufaa kuingizwa katika Kanoni - Yakobo, Yuda, II Petro, II na III Yohana (2) vile visivyoelekea kufaa kuingizwa katika kanoni — Matendo ya Paulo, Mchungaji wa Herimesi, Apokalipse ya Petro, Didisi, Barnaba. Alihoji kuingizwa kwa ufunuo kutokana na wasiwasi wa kuhusika Mtume katika Uandishi wake. Ukiacha kusita huku kwenye Ufunuo kwa Eusebio yeye katika Agano Jipya anafanana na la wakati wetu.

Kanuni ya Atanasio

Atanasio (298-373 Baada ya Kristo), Atanasio amaorodhesha vitabu 27 vya Agano Jipya la wakati wetu.

Kanuni ya Katoliki ya Roma

Kanisa Katoliki la Roma linaingiza ndani vitabu 66 vya Biblia yetu na kukubali pia vitabu vya Apokraifa kama sehemu ya kanoni yao ya Maandiko. Hii ni kanoni ile ile ya Yerome aliyetengeneza Vulgeti ya Kilatini ambayo ni msingi wa Biblia ya Katoliki ya Roma.

Kanuni ya kweli inayotambuliwa na kanisa la Kikriso

Kanoni ya kweli imeundwa kwa vitabu 39 vya Agano la Kale na vitabu 27 vya Agano Jipya la Biblia.

Kanuni ya Lutheri

Martini Lutheri aliorodhesha vitabu 27 vya Agano Jipya kama lilivyo isipokuwa vitabu vinne alivyoviona kama vyenye utata. Aliweka Waebrania, Yakobo, Yuda na Ufunuo kwa utenganisho mwishoni mwa Agano Jipya.

Vipindi Saba Maalum katika Maandiko Matakatifu

I II III IV V VI VII
MWANZONI VIONGOZI WAKUU WAFALME WATAWALA WAGENI UJIO WA KWANZA WA KRISTO KANISA UJIO WA PILI WA KRISTO
KUTOKA: Uumbaji KUTOKA: Musa KUTOKA: Saulo KUTOKA: Kutekwa KUTOKA: Uzalio wa Bikra KUTOKA: Pentekoste KUTOKA: Millenia
HADI: Musa HADI: Paulo HADI: Kutekwa HADI: Kristo HADI: Kupaa HADI: Mateso HADI: Mbingu mpya & Dunia Mpya
VITABU: Mwanzo, Kutoka VITABU: Kutoka, Walawi, Hesabu, Kumbukumbu, Yoshua, Waamuzi, Ruthu, I Samweli VITABU: I & II Samweli, I & II Wafalme, I & II Nyakati, Vitabu vya Manabii VITABU: Ezra, Nehemia, Esta, Danieli, Ezekieli VITABU: Mathayo, Marko, Luka, Yohana VITABU: Matendo Nyaraka VITABU: Ufunuo

Outline

1. Utangulizi

2. Maelezo ya Kawaida ya Biblia

3. Umoja kamili wa Biblia

4. Uvuvio wa Biblia

5. Kanoni za Biblia

Textbook Edited by Jacob

SEE ATTACHMENTS

KUFAULU MAFUNZO HAYA

KUFAULU MAFUNZO  HAYA

Vigezo vya mafunzo kwa ujumla:

Jinsi daraja litakavyopimwa:

Asilimia kwa daraja la mwaka

Kazi zitakazo kabidhiwa kwa kuchelewa zitaadhibiwa angalau kwa alama tano.

Test: Maswali ka Utangulizi wa Biblia

Maswali ka Utangulizi wa Biblia

Biblia ni nini?

Dhamira kuu ya Biblia ni _________________________________________________

Mwanzoni Agano la kale liliandikwa kwa lugha ya:

  1. Kilatini
  2. Kiebrania
  3. Kigriki
  4. Kiarabu

Uvuvio maana yake nini?

  1. Pumzi
  2. Msukumo
  3. Pumlia
  4. Pulizia

Kuna mawazo potofu mangapi kuhusu uvuvio wa Biblia?

  1. Tano
  2. Saba
  3. Tatu
  4. Kumi

Jaza na fasi zilizoachwa wazi.

Kitabu cha Matendo kimethibitishwa _____________________ kuwa sahihi.

Neno ___________ maana yake ufito, rula au kifaa cha kupimia urefu.

Lengo la masoreti lilikuwa ni ________ __________, maneno na maana ya maandiko.

Jibu kweli au sio kweli.

Agano la kale limetajwa mara 326 katika Agano Jipya.

Viongozi wa kwanza wa kanisa walizifikisha taarifa hizo za Agano Jipya kwa waliowapokea.

Biblia ina jumla ya vitabu 39.

Katika Agano Jipya kuna nyaraka 21 tu.

SQ: Utangulizi wa Biblia Maswali ya kujifunza 1

Bible Introduction Study Questions 1Utangulizi wa Biblia Maswali ya kujifunza 1

The Bible is _______ ______________ _____________ of His will to men.Biblia ni _______ ______________ _____________ wa mapenzi yake kwa wanadamu.

The Bible is God’s written revelation of His will to men.Biblia ni ufunuo wa Mungu ulioandikwa wa mapenzi yake kwa wanadamu ’.

The Bible’s central theme is ___________ __________ _________ __________.Dhamira ya katikati ya Biblia ni ___________ __________ _________ __________.

The Bible’s central theme is salvation through Jesus Christ.Dhamira ya katikati’ya Biblia ni Wokovu kwa njia ya Kristo Yesu.

The Old Testament was written in which language?Agano la kale liliandikwa kwa lugha gani?

  1. GreekKigiriki
  2. EnglishKiingereza
  3. LatinKilatini
  4. HebrewKiebrania

HebrewKiebrania

The Bible has ________ books: ________ in the Old Testament and ________ in the New Testament.Biblia inayo ________ vitabu: ________katika Agano kale na ________ katika Agano jipya.

The Bible has 66 books: 39 in the Old Testament and 27 in the New Testament.Biblia inayo vya vitabu 66: 39 katika Agano la kale na 27 katika Agano jipya.

What does the Greek word Biblios mean?Neno la Kigiriki Biblios humaanisha nini?

  1. Testament Agano
  2. BooksVitabu
  3. ScrollGombo
  4. ScriptureMaandiko matakatifu

BooksVitabu

Answer true or false. Proverbs is a book of Old Testament history.Jibu kweli au sio kweli. Mithali ni kitabu cha historia ya Agano la kale.

FALSESio kweli

The Bible was written that men might ______________, ______________, ______________, ______________, and ______________ Christ.Biblia iliandikwa ili watu wa weze ______________, ______________, ______________, ______________, na ______________ Kristo.

The Bible was written that men might believe, understand, know, love, and follow Christ.Biblia iliandikwa ili watu wa weze kuamini,na kufahamu na kujua na kupenda , na kumfuata Kristo.

Answer true or false. Ur of the Chaldees was the place where God called Abram.Jibu kweli au sio kweli. Uru ya Ukalidayo ndio mahali Mungu alimuita Ibrahim.

TRUEKWELI

Answer true or false. Moses received the Law on Mt. Ararat.Jibu kweli au sio kweli. Musa alipokea sheria kwenye mlima Ararati.

FALSESIO KWELI

What city is known as “the city of God” and “the holy city”?Ni mji gani unaojulikana kama “mji wa Mungu” na “mji mtakatifu”?

  1. BethlehemBethlehem
  2. BabylonBabeli
  3. JerusalemYerusalem
  4. SamariaSamaria

JerusalemYerusalem

Who was Adam’s third son?Mwana wa tatu wa Adamu alikuwa nani?

  1. CainKaini
  2. AbelAbel
  3. CalebKalebu
  4. SethSeth

SethSeth

Answer true or false. Philip was raised up to be the Apostle to the Gentiles.Jibu kweli au sio kweli. Filipo aliinuliwa kuwa mtume wa mataifa.

FALSESIO KWELI

What is the account of Israel possessing the Promised Land called?Ni nini hesabu ya mwisho ya Waisrael walio itwa kuimiliki Inchi ya ahadi?

  1. The conquest of CanaanUshindi wa Kanaani
  2. The Babylonian captivityUtumwani Babeli
  3. The ExodusKutoka
  4. The wilderness wanderingsKutanga tanga jangwani

The conquest of CanaanUshindi wa Kanaani

_______________ was the weeping prophet who lamented over the sins of his people._______________ alikuwa nabii aliaye alieomboleza juu ya dhambi za watu.

Jeremiah was the weeping prophet who lamented over the sins of his people.Yeremi alikuwa nabii aliaye na alieomboleza juu ya dhambi za watu.

Answer true or false. Mark wrote primarily for the Romans.Jibu kweli au sio kweli.Marko aliandika kimsingi kwa Warumi.

TRUEKWELI

Bible Introduction study questions 2Utangulizi wa Biblia maswali ya kujifunza sehemu ya 2

______________ is the one main theme of the Bible.______________ ni dhamira moja kuu ya Biblia.

Redemption is the one main theme of the Bible.Ukombozi ni dhamira moja kuu ya Biblia.Redemption.

Answer true or false. True historical record and archeological record are in complete agreement with the Bible.Jibu kweli au sio kweli. Habari za kweli za kihistoria na habari za akiolojia ni mapatano kamili pamoja na Biblia.

TRUEKWELI

What is the purpose of the Bible? Kusudi la Biblia nini?

  1. To reveal God's will to manKufunua mapenzi ya Mungu kwa mtu
  2. To condemn mankumhukumu mtu
  3. To teach scienceKufundisha sayansi
  4. To reveal historyKufundisha historia

To reveal God's will to manKufunua mapenzi ya Mungu kwa mtu

Each Testament is composed of three main divisions: _____________, ________________, and _________________.Kila agano limeundwa kwa sehemu tatu kuu: _____________, ________________, na _________________.

Each Testament is composed of three main divisions: history, instruction, and prophecy.Kila agano limeundwa kwa sehemu tatu kuu: .

What does the word inspiration mean?Neno uvuvio linamaanisha nini?

  1. RedemptionUkombozi
  2. Jesus savesYesu anaokoa
  3. God breathedMungu alipulizia
  4. AuthorityMamlaka

God breathedMungu alipulizia

2 Peter 1:21—For the prophecy came not in old time by the ________ ______ ________: but holy men of God spake as they were moved by the ________ _______.2 Petro 1:21—Maana unabii haukuletwa po pote kwa _________ _________ _________ bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu

2 Peter 1:21—For the prophecy came not in old time by the will of man: but holy men of God spake as they were moved by the Holy Ghost.2 Peter 1:21—Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu

Answer true or false. Only parts of the Bible are inspired by God.Jibu kweli au sio kweli. Sehemu tu za Biblia zilizo vuviwa na Mungu.

FALSESIO KWELI

Approximately how many men wrote the Bible?Takribani watu wangapi walio iandika Biblia?

  1. 55
  2. 4040
  3. 100100
  4. 1515

4040

Answer true or false. We know the Bible is inspired because it produces spiritual growth.Jibu kweli au sio kweli.Tunajua Biblia imevuviwa kwa sababu huzalisha ukuaji wa kiroho.

TRUEKWELI

Answer true or false. Counsel and direction for every situation of life can be found in the Word of God.Jibu kweli au sio kweli. Mashauri na mwelekeo kwa ajili ya kila hali ya maisha unapatikana katika neno la Mungu.

TRUEKWELI

Bible Introduction study questions 3Utangulizi wa Biblia maswali ya kujifunza sehemu ya 3

What is canonization?Kanuni ni nini?

  1. The fundamental truths of the Bible arranged in systematic formUkweli wa Biblia uliopangwa kwa muundo wa utaratibu
  2. The art or science of religious discourse or preachingNi sanaa au sayansi ya mazungumzo ya kidini au mahubiri
  3. The process of placing writings in the biblical canonNi mchakato wakuweka maandishi katika kanuni za kiBiblia
  4. The written revelation of God's will to menNi ufunuo wa mapenzi ya Mungu kwa watu

The process of placing writings in the biblical canonNi mchakato wa kuweka maandishi katika kanuni za kiBiblia

Answer true or false. Man decided by himself which books would be included in the Bible.Jibu kweli au siokweli. Mtu aliamua mwenyewe kwamba ni vitabu gani ambavyo vitahusika katika Biblia.

FALSESIOKWELI

Who were the Masorites?Nani waliokuwa wamasoreti?

  1. Roman political leadersViongozi wa kisiasa wa kirumi
  2. Greek philosophersWanafilosofia wa kigirki
  3. Babylonian scientistsWanasayansi wa Babeli
  4. Jewish scribesWaandishi wa kiyahudi

Jewish scribesWaandishi wa kiyahudi

To whom did Moses give the Law to keep safe?Musa aliwapa akina nani kuilinda sheria?

  1. The carpentersMaseremala
  2. The priestsmakuhani
  3. The kingsWafalme
  4. The shepherdsWachungaji

The priestsMakuhani

Answer true or false. Augustine said that the Greeks were the librarians of the Christian church.Jibu kweli au siokweli. Augustine alisema Wagiriki walikuwa waangalizi wa makitaba ya kanisa la kikristo.

FALSESIO KWELI

The division of Scripture into chapters was first done by ___________ _____________ of Saint Cher in ___________ AD. Mgawanyiko katika sura ulifanywa kwa mara ya kwanza na _____________ __________ wa Mtakatifu Cher mwaka _________ BK

The division of Scripture into chapters was first done by Cardinal Hugh of Saint Cher in 1244 AD. Mgawanyiko katika sura ulifanywa kwa mara ya kwanza na Kadinali Hugh wa Mtakatifu Cher mwaka 1244 BK.

What were the first New Testament books to be assembled together?Ni vitabu gani vya Agano jipya vilithibitishwa kwa mara ya kwanza?

  1. The General EpistlesNyaraka mbalimbali
  2. The GospelsInjili
  3. The Epistles of PaulNyaraka za Paulo
  4. The ApocryphaApokrifa

The Epistles of PaulNyaraka za Paulo

Which book brought together the Gospels and the Epistles of Paul?Ni kitabu gani kinacho leta injli na nyaraka za Paulo pamoja?

  1. HebrewsWaebrania
  2. RevelationUfunuo
  3. ActsMatendo
  4. JudeYuda

ActsMatendo

Answer true or false. A book not written by an apostle that had apostolic approval was considered to be of divine origin.Jibu kweli au sio kweli. Kitabu kisicho andikwa na mtume yeyote kilichokuwa na idhini ya kitume kilikiriwa kuwa asili ya uungu.

TRUEKWELI

Answer true or false. The Apocrypha is a part of the canon of the Bible.Jibu kweli au siokweli. Apokrifa ni sehemu ya kanuni Biblia.

FALSESIOKWELI

Nyongeza

Nyongeza

Original Uumbaji kwa Burudani

Uumbaji wa awali kwa Burudani

Mwanzo1:1 - Katika mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. 2 Na nchi ilikuwa bila fomu, na utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa kina. Na Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Wengi wa dunia ya zamani na viumbe kukataa nadharia pengo, na kusema ni unscriptural, unscientific, na si lazima, katika aina zake YECs kudai kuwa ulimwengu mzima ni tu 6-10,000 miaka ya zamani.

Neh. Wewe 9:6, hata wewe, sanaa Bwana peke yake, wewe uliyefanya mbingu, mbingu za mbingu, pamoja na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, nawe unavihifadhi wote; na jeshi la mbinguni kwako kuabudu. Col 1:16 Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa naye:

Ayubu 38:6 Kwa mujibu huohuo, ni misingi yake akafunga? au nani aliyeweka jiwe la pembeni, 7 Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?

  1. Machafuko ya dunia - Mwanzo 1:2

(1) Kitabu inazungumzia malaika na mamlaka Rum.8:38-39; Eph.1: 21; 3:10; 6:12; Kol 1:16; 2:15; I Petro 3:22

Uumbaji wa awali ulikaliwa

Lusifa alikuwa mtawala wake Isa.14:12-16 Eze.28:11-17

Yeye iliundwa - vs 15 Alikuwa na upako - vs 14 Alikuwa mkamilifu - vs 1 Dhambi yake - Kiburi Eze.28:17 Isa. 14:12-13 Madhara ya dhambi Lusifa - Ufunuo 12:4-9

(2) Katika Usihukumu Lusifa Mungu mwamuzi wa ufalme wake Mwa 1:2 Neno "yalikuwa" "Hyah" "akawa" "Tohu na Bohu" Yer 4:23

Hoja ya uharibifu na Nadharia na Ujenzi mpya

Hoja 'Nadharia Pengo' au 'Maangamizi & Ujenzi mpya wa nadharia'

  1. Mwanzo 1:28 "Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha:"

HOJA: "mkaongezeke na kuweke idadi njia kujaza TENA. Hii inaonyesha ni ILIKUWA kamili, basi aliachiliwa na sasa wanaohitaji kuwa kujazwa TENA. "

Ukanushaji: Neno ya Kiebrania hapa ni wa kiume '.Ni kupatikana katika aya 240. Katika yote haya anatumia mkazo wa neno ni relay dhana ya 'kufanya kamili' au 'kabisa (kabisa)' na si lazima kufanya kamili tena.(Hiyo ni kusema, si njia pekee ya kutafsiri neno.)

MIFANO: Mwanzo 42:25 Hapo Yusufu akaamuru kujaza magunia yao na nafaka, na kurejesha fedha kila mtu katika gunia lake, na kuwapa chakula cha njiani: na hivyo alivyofanya kwao.

Mwanzo 24:16 Naye kijana huyo alikuwa mzuri sana uso wake, bikira, wala mtu yoyote inayojulikana yake: na akashuka vizuri, na akajaza mtungi wake, akapanda.

Kut. 1:7 Basi wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuongezeka, na ukazidi nguvu; na ile nchi ilikuwa imejawa na wao.

Ayubu 15:2 Je mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, na kujaza tumbo lake na upepo wa mashariki?

Uungu

THEIOS - Matendo 17:29; 2 Petro.1:3, 4 Uungu wake; MOJA KWELI MUNGU Kutumika badala ya Theos makusudi --- (wa jumla: mungu, au diety; si kama nguvu mrefu)

THEIOTES - Warumi 1:20 → sifa za Mungu; na Hali yake ya Kimungu Mali

Ni kiasi gani cha Mungu anaweza kufahamika kutoka ufunuo wa Mwenyewe yanayoweza kujulikana kutoka ufunuo wa Mwenyewe ambao watu wanaweza kila mahali kuwaeleza katika dunia inayowazunguka. Ni si binafsi ya Mungu 'ambayo watu wanaweza kujua kwa ya misaada. Yeye anaweza kufahamika tu kwa ufunuo wa mwenyewe katika Mwana wake. Hivyo:

THEOTES Kol. 2:09 → Essence Kimungu ya Mungu; utu wa Mungu

Katika Mwana unakaa utimilifu wa Uungu kabisa (si temporally, si YAJAZWE na, lakini ilikuwa, ni na daima itakuwa MUNGU

Tabia ya Ibilisi Mwanzo 3:1-5

  1. Hila-vs. 1 Hila-hila-janja-Sly wasaliti-Uendeshaji siri – Alijaribiwa na akateleza-II Kor. 11:3 kujificha ~ kutumika nyoka

  2. Mshawishi-vs. 1

"Akasema kwa mwanamke" Kujuribiwa kwa mwanamke wakati ule peke yake. Matt.4: 3 1Thes.3:5

  1. Mpevushi-vs. 1

"Naam, alivyosema Mungu, yeye asile ya kila mti wa bustani?" Mimi Nyak.21:1 Matendo 5:3

  1. Mdanganyifu-vs. 1

"Msile matunda ya mti kila" II Kor. 11:3 Waefeso. 4:14 Ufu 00:09

  1. Mwongo-vs. 4

"Nanyi Hakika hamtakufa" Yohana 8:44

  1. Msingiziaji-vs. 5

"Kwa maana Mungu anajua ya" Ayubu 1:9-11 Ufunuo 12:10

  1. Mwizi-vs. 6

"Yule mwanamke alipoona" Mt. 13:19 Yohane 10:10

Mtazamo wa Wazee wa zamani Mapema

Mapema ustaarabu kusoma na kuandika kwa ujumla inaonekana nyuma kwa mambo ya kale kama "Umri dhahabu," na mawazo ya zama zao wenyewe kama decadent.

  1. Wamisri wa kale kutaja kihistoria yao ya kwanza Go kama muda: miungu ilitawala juu ya nchi.

  2. Kichina rejea miaka kabla ya gharika zao kubwa kama wakati mtu kufikiwa ukamilifu wake mkubwa.

  3. wahenga wa India walidhani ya historia katika suala la umri wa miaka minne: ya kwanza ya haya, umri Krita, alikuwa mtukufu zaidi-wakati mtu alijua hakuna ugonjwa na aliishi kwa miaka 400; miwili ijayo umri ilionyesha kuzorota steady kuanzia wakati huu; kisha akaja mafuriko na baada ya umri huu wa sasa wa Kali, wakati wa giza wa kuwepo kwa mwanadamu.

  4. Wagiriki, pia, alijua historia ya binadamu katika suala la umri wa miaka minne: bora ya haya, "Zama za dhahabu" kumalizika wakati: kwanza mwanamke, Pandora, alifungua sanduku haramu; zifuatazo, na umri wa Fedha ya Shaba ilionyesha imesimama kwa hali ya binadamu; kisha akaja mafuriko na enzi hii ya sasa.

KUPATA NAFASI KWA MAELEZO:

  1. Mpango wa Hatia – Bustani ya Edeni Agano Mwanzo 1:1-3:24 Mungu aliumba mtu mkamilifu na kwa sura yake mwenyewe. Mungu anashughulika na mtu kama watoto wachanga kamilifu-untested, lakini bado huo kamilifu. Dhambi hakuingia dunia na hivyo mtu kwa mara ya kwanza na ya mwisho ilikuwa awali hatia.
  2. Mpango wa Dhamiri – Adamu na Agano Mwanzo 4:1-8:19 Mungu anashughulika na mtu katika mpango wa dhamiri na dhamiri yake.Kila mtu aliyezaliwa na dhamiri ambayo si laana lakini majaliwa ya Mungu katika kazi. Mungu ameweka ndani ya mtu ufahamu wa nini ni haki au vibaya, wa vitendo na nia basi Mungu anashikilia mtu kuwajibika na dhamiri yake.
  3. Mpango wa Agano Binadamu Serikali ya Nuhu Mwanzo.8 :20-11: 32 Mtu wa kushoto na mwenyewe binafsi destruct, kwa sababu ya asili yake ya kimwili yeye sana sana inaendeshwa na mwili wake na hisia, na hivyo kwa nguvu elekezi, Mungu aliweka serikali ya binadamu. Hii haikuwa nafasi ya wajibu wa mtu na Mungu, lakini alikuwa na kutumika kama mahakama za chini za aina. Man anahusika kwa Mungu.
  4. Mpango wa Ahadi - Kiibrahimu Agano Mwanzo 12:1-Kut.12:10 Katika ya Mungu kushughulika na mtu tunaona mbinu mpya, si kuondoa yoyote kabla ya hatua hii, lakini hatua ya juu na karibu na uhusiano wa karibu kati ya kurejeshwa kuwa Mungu na mwanadamu. Mungu, ambaye anadaiwa mtu yeyote, lakini katika yeye vitu vyote kuwa kuwepo kwao na kwa yeye vitu VYOTE ni kufanywa, Bwana ni Moja ya kufanya maagano na ahadi pamoja na Waumini.
  5. Mpango wa Sheria ya Musa-Ex Agano.19:1-Mt. 1:1-25 Mpango wa Sheria ni wazi kama muhimu kwa mpango kamili wa Mungu kama watu wengine, na hata hivyo sheria mara nyingi kudharauliwa. Sheria ni rigid na unbending, na hii ni picha nyembamba zaidi na Mungu. Sheria ingawa hakuwa mpango kamili wa Mungu, lakini ilikuwa kama Tutor "Shule Mwalimu" (Wagalatia 3:24) kufundisha mtu nini Mungu ni kutarajia ya mtu. Kabla ya sisi kuwa "Nini" (kujua) lakini katika mpango wa neema, Mungu anatoa mtu "Jinsi" (enablement).(Warumi 8:3)
  6. Mpango wa Neema - Agano Jipya Agano Mt. 28:1-10 Waefeso 2:8; 4:13; Yohana 3:2, Ufunuo 4:1-4 Mtu hawezi sawa na mizani na tabia na asili ya Kristo bila Roho Mtakatifu.Efe. 3:11; Ni Mungu wa milele Kusudi kuwa na watu ambayo kuona kutoka katika hatua ya Mungu ya mtazamo na kutenda, kufikiri na kuwa kama Mwana wa Mungu. Gal.4: 7; Eph.4: 13; 8: 17; Ebra. 2: 10; 2 Wakorintho 3:18 "tunabadilishwa mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, hata kama kwa Roho wa Bwana" I Petro 5:10; Mungu amempa mtu Neema-Mungu Utajiri Katika Kristo Gharama-kufanya kazi ndani ya mtu.Mungu anafanya kazi katika mabadiliko ya mtu kwa neema yake, na kama mtu lazima kuanguka, kwa neema ya Mungu anaweza kuwa na amani na Mungu kurejeshwa kwa njia ya imani. (Warumi 5:1)
  7. Mpango wa Haki - Ufalme Agano Ufu. 22:1-21 Hapa ni mahali ambapo lengo la mwisho katika mpango wa Mungu umetimia, ambapo haki Mfalme katika dhambi ya mtu na si. Mungu anaenda kazi kazi kamili ndani yetu. Mbingu Mpya na Dunia Mpya ni tone tu lengo na moyo wa Mungu-ushirika ukapona kabisa. Mungu ni Mungu mtakatifu na hawezi na si ushirika na dhambi, lakini Mungu katika upendo wake usio na maarifa imefanya njia kwa sisi kuingia katika nafasi ya ushirika haujadhibitiwa naye tofauti na dhambi.

Uchunguzi wa Saba wa Mpango. Mtihani - Kushindwa - Hukumu

  1. Mpango Kwanza, (Mwanzo1 :1-3: 24) wa hatia alikuwa pamoja na mtihani mmoja maalum; wala kugusa mti wa ujuzi wa mema na mabaya. a. 1:28 - Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; na kuwa na mamlaka juu ya viumbe --- Kutawala juu ya viumbe wote na dunia. b. 1:29 "kila mche utoao mbegu ... na wewe itakuwa kwa ajili ya nyama" c.. 2:15 Mungu ameweka katika Adamu "bustani ya Edeni, ailime na kuitunza." d. Mtu 2:16 Akile miti yote katika Bustani - (lakini moja). e. 2:17 Mtu Hapana kula mti wa ujuzi wa mema na mabaya. f. 2:24-25 Mtu na mke lazima kazi pamoja kama moja.

  2. Mpango Pili, (Mwanzo 4:1-8:19) wa Dhamiri alikuwa pamoja na mtihani aliongeza kwa kufuata dhamiri yako.mtihani maalum ambayo wote walikuwa kupita ilikuwa mara mbili. a. Lazima kutii dhamiri yako ya haki na uovu, mema na mabaya. b. Kukubalika damu dhabihu inayotolewa kwa imani kwa ibada ya kweli. 3. Mpango Tatu, (Mwanzo 8:20-11:32) wa Serikali ya Binadamu alikuwa pamoja na mtihani watazaa na kuongezeka na kujaza dunia na yeye alishindwa. Utawala wa Mungu alionyesha kwamba mwanadamu asingeweza kumtii Mungu juu ya msingi mara tatu a. Dhamiri ya binadamu b. Kujizuia ya uasi na Roho Mtakatifu kujitahidi dhidi ya dhambi.

  3. Sala ya Ibrahimu na kushuhudia

  4. Hukumu ya Mungu juu ya watu wenye dhambi na miji c. Serikali za Binadamu, mtu bila kuwa na uwezo wa kuhukumu mwenyewe vizuri .

  5. Mpango wa nne, (Mwanzo 12:01-18:27) Ahadi ya ni pamoja na mtihani kuamini kwa Mwana Ahadi. Mungu kushughulika maalum na Ibrahimu alifanya dhahiri katika Gal. 3 :15-22; Heb.6 :13-15
    kanuni ni sababu tawala ikiwa inafanya tofauti katika njia ya watu kuishi. Mungu alikusudia ahadi zake kwa Abrahamu na wazawa wake kufanya tofauti katika njia ambayo wangeweza kuishi. Waebrania 11:8-30 inaonyesha ukweli kwamba ahadi ya Mungu hakuwa kuleta tofauti katika maisha ya Ibrahimu na uzao wake. a. Dhamiri ya binadamu b. Kujizuia ya uasi kwa njia ya Roho Mtakatifu kujitahidi mara nyingine tena dhidi ya dhambi. c. Binadamu serikali d. Ahadi za Mungu kwa Ibrahimu

Mpango wa nne ni tofauti na wa tatu na kuongeza ahadi kwa dhamiri Ibrahimu.

I. Ufunuo maalum Mungu alimpa Ibrahimu na uzao wake katika kipindi cha nne ni katika Mwanzo 12:2-3; 13:14-17; 15; 17:1-22; 22:16-18.

  1. Mungu akafanya ahadi binafsi kwa Ibrahimu.Yeye angewabariki naye, kufanya jina lake kubwa, kumpa watoto wengi wa kimwili, kufanya naye baba wa mataifa mengi, kumpa nchi ya Kanaani kuwa miliki ya milele, na kuwabariki wale ambao kumbariki na kulaani wale ananitukana naye.
  2. Mungu alifanya ahadi ya kitaifa juu ya Israeli.Angeweza kuleta Israeli katika kuwepo kama taifa na kufanya ni kubwa, kumpa Israeli nchi ya Kanaani milele, na kuanzisha Agano la Ibrahimu kwa taifa kama agano la milele.
  3. Mungu pia alitoa ahadi kwa wote.Angeweza kutoa baraka kwa familia yote ya dunia kwa njia ya wazawa wa Abrahamu. (Masihi-mkombozi-Mbegu Ahadi)

II. Wajibu wa Ibrahimu na uzao wake katika kipindi cha nne kilikuwa mtihani kumtii Mungu juu ya msingi mara nne ya dhamiri ya binadamu, Abramu na wazao wake alishindwa mtihani; Wakamuasi Mungu kama matokeo ya lapses ya imani juu ya kutimiza ahadi zake. Abramu fathered Ishmaeli kupitia Hajiri, kwa sababu yeye alishindwa kuamini ahadi ya Mungu kwa kumpa mwana kupitia kwa Sara, mke wake. Mara mbili alisema uongo kuhusu mke wake. Isaka msingizia uwongo na Rebeka mkewe.Yakobo alikuwa mdanganyi mkubwa. Wayahudi hawakuwa kurudi kutoka Misri kwenda Kanaani baada ya njaa ya muda wa Yusufu kumalizika. Walisahau hatima yao mara kuhusiana na nchi ya ahadi ya Kanaani badala ya Misri. Kushindwa hii kuletwa hukumu ya Mungu kwa Wayahudi wao wameendelea kuwa na matatizo na wazao Ishmaeli. Kupitia wakati wao walikuwa wanakabiliwa na utumwa na kutishiwa kutoweka katika Misri.

  1. Mpango wa tano wa Sheria Ex19: 1; Mt.27: 56; Mk15: 4; Lk.23: 49; Jn.19: 30 Kupanuliwa kutoka utoaji wa sheria ya Musa katika Mlima Sinai kwa kifo cha Yesu Kristo msalabani katika Mlima Kalvari na kodi ya pazia. Mpango wa tano alikuwa sababu tawala tano ambayo Mungu alitumia Israeli inatawaliwa: a. Dhamiri za Binadamu b. kujizuia ya uasi na Roho Mtakatifu, c. Binadamu serikali, d. Ahadi za Mungu e. Sheria ya Musa. Msingi ya kati ya Sheria ya Musa (amri kumi) alikuwa yameandikwa juu ya mbao za mawe.Sheria yatolewayo adhabu ya nje juu ya wale walio vunja yake maagizo.Sheria ya Musa ilikuwa ni njia kabisa ya nje wa Mungu wanapotoa utawala wake juu ya Israeli (ifahamike kwamba Mungu alitoa Sheria ya Musa peke Israeli, si watu wa mataifa mengine-se Warumi 2:14 na 9:4). Hivyo, Mtume Paulo alitangaza kwamba sheria ya Musa walitenda kama (nje ya maadili restrainer, Wagalatia 3:23-25).

Ufunuo maalum ambayo Mungu aliwapa Israeli kwa mpango wa tano ni kumbukumbu katika Kutoka 20 kupitia Kumbukumbu la Torati. Ni ilihusisha Sheria ya Musa na 613 wake amri. Hizi alitoa katika mapenzi ya Mungu kwa undani maadili nyanja, kiraia, na sherehe ya maisha ya Israeli. mtihani itakuwa kwao kumtii Mungu juu ya msingi mara tano. watu wa Israeli imeshindwa mtihani wa mpango wa tano. Wao walibomoa Sheria ya Musa kurudia Yer. 31:32; Ez 16.Mungu aliwaambia kuwa walikuwa na moyo wa jiwe (Ezekieli 36:26; Zekaria 7:12). Kushindwa hii kuletwa hukumu ya Mungu juu ya Israeli. taifa mateso hukumu wengi wakati wa kipindi tano. Miongoni mwa mbaya walikuwa captivities Waashuru na Wababeli, madhalimu Kigiriki na Kirumi, Israeli muda kuondolewa kutoka nafasi yake ya baraka (Warumi 11), na utawanyiko wake duniani kote kama matokeo ya kukataa yake ya Kristo. Kutoka 19:1-8; 2 Wafalme 17:1-18; 25:1-11; Matendo 2:22-23; 7:51-52; Warumi 3 :19-20; 10:5; Wagalatia 3: 10

Matumizi ya Neno Kwa kipindi Katika Agano Jipya Oikonomia neno inaonekana mara tisa katika Agano Jipya.Katika sita ya mechi hizi (Luka 16:2-4; 1 Wakorintho 9:17; Waefeso 3:2, Wakolosai 1:25) inatafsiriwa uwakili au mpango na inahusu ofisi kuwajibika au huduma waliokabidhiwa moja kwa juu mamlaka.Katika mechi nyingine tatu (Waefeso 1:10; 3:9, 1 Timotheo 1:4) inatafsiriwa mpango, ushirika, na kuwajenga katika King James Version na utawala katika Mpya Kaskazini Sanifu Biblia. Katika mafungu haya matatu inahusu njia ya pekee ya Mungu kuendesha utawala wake duniani kote. Waefeso 1:10 ni wa maslahi maalum, kwa sababu inaonekana kwa kutaja njia fulani kwamba Mungu kusimamia utawala wake juu ya dunia katika siku zijazo Milenia (mpango wa Milenia).Waefeso 3:9 na 1 Timotheo 1:4 rejea njia fulani kwamba Mungu inasimamia utawala wake sasa (mpango wa sasa). Ufafanuzi Wa mpango wa Muda kama inahusiana na Theolojia Mpango Katika mwanga wa matumizi ya neno kwa mpango katika Agano Jipya, mpango mrefu kama inahusiana na Theolojia Mpango inaweza kufafanuliwa kama ifuatavyo: mpango ni njia pekee ya Mungu kuendesha utawala wake juu ya dunia kama Yeye kuendelea kazi nje yake kusudi kwa ajili ya historia ya dunia. Tabia Muhimu za mpango Kila Ili mpango kila kuwa tofauti kutoka dispensations mengine yote, ni lazima kuwa na sifa tatu muhimu. Kwanza, ni lazima kuwa na njia ya pekee ya Mungu kuendesha utawala wake. Kila mpango ni sifa kwa sababu ya kipekee tawala au mchanganyiko wa sababu tawala. Pili, ni lazima kuhusisha wajibu fulani kwa ajili ya mtu. Kila mpango hufanya watu kuwajibika kwa kumtii Mungu kwa mujibu wa sababu mpango wa kipekee tawala au mchanganyiko wa sababu. Tatu, ni lazima kuwa na sifa kwa njia ya ufunuo wa Mungu ambayo nisingeli pewa mbele. Ili kwa ajili ya watu kujua mpya wa Mungu kwa njia ya chama tawala na wajibu mpya, wanadamu lazima mambo haya wazi na hiyo. Hivyo, kila mpango mpya inahitaji ufunuo mpya kutoka kwa Mungu Mtume Paulo alisema kuwa mpango wa sasa ni dhahiri kuhusiana na ufunuo mpya ambayo Mungu aliwapa mitume na manabii New Testament (Waefeso 3:2-10). Tabia za sekondari mpango Kila Ukweli kwamba kila mpango mpya inahusisha wajibu wapya wazi kwa watu inaonyesha kwamba mpango kila pia ina sifa tatu za sekondari. Kwanza, kipindi kila inatumika mtihani kwa wanadamu. asili ya mtihani ni kama au si wanadamu kikamilifu kutii utawala wa Mungu kwa kutimiza wajibu ambayo ni tabia ya mpango huo. Pili, azimio la kila inaonyesha kushindwa kwa mwanadamu kutii utawala fulani ya Mungu inavyotambulika kwamba mpango. Tatu, mpango kila inahusisha hukumu ya Mungu kwa sababu ya kushindwa kwa mwanadamu.

Vipindi katika nyakati theolojia (Lewis S. Chafer, John Walvoord, Tim LaHaye, John Nelson Darby, CI Scofield) AGANO theolojia (Charles Hodge, Loraine Boettner, Louis Berkhof, John Murray, BB Warfield)

  1. Inaweza kuwa Arminian au iliyopita Calvinist. Kawaida 5-uhakika. . 2.Hukubali 'kawaida' tafsiri ya maandiko ya Biblia (inaruhusu mwili halisi na mifano)

  2. Karibu daima anapokea wazo la "mlinganisho wa Imani."

  3. "Israeli" inaweza kumaanisha ama halisi, wazao wa Yakobo kimwili au ya kitamathali, Israeli kiroho, kutegemea mazingira.

  4. "Israeli wa Mungu" katika Wagalatia 6:16 maana ya Israeli kiroho, sambamba na Wagalatia3:29 ; Warumi .2:28-29 , 9:6 ; Wafilipi. 3:3 .

  5. Mungu ina hatua kwa hatua maendeleo ya watu wake. .

  6. Kanisa alizaliwa katika Pentekoste Kanisa alianza unabii katika Agano la Kale (Matendo 7:38 ) na kutimiza kufikiwa katika Agano Jipya. NT

  7. Kuna wengi unabii Agano la Kale OT wa Kanisa Agano Jipya NT.

  8. Baadhi ya unabii Agano la Kale OT ni kwa ajili ya taifa halisi wa Israeli, wengine ni kwa Israeli wa kiroho.

  9. Mungu kuu kusudi katika historia ni Kristo na Kanisa pili.

  10. Kanisa ni kilele cha Mungu kusudi "s kuokoa kwa umri.

  11. Mrithi kuu wa agano Ibrahimu "s ni Kristo na Israeli wa kiroho.

  12. Agano milele wa ukombozi alikuwa ndani ya Utatu na athari za uchaguzi.

  13. Mungu alifanya agano masharti ya * Ujenzi na Adamu kama mwakilishi forall uzao wake.

  14. Mungu alifanya agano ya Neema na Kristo na watu wake, ikiwa ni pamoja na Adamu.

  15. Israeli ilikuwa haki ya kukubali Mlima Agano. Sinai.

  16. "Agano Jipya" ya Yer. 31 ni ​​sawa na katika Luka 22 ; wote ni Israeli wa kiroho kwa mujibu wa Ebr.8.

  17. Mungu "s mpango katika historia ni hasa kwa njia ya maagano kuhusiana.

  18. Hakuna mtu aliyewahi kuokolewa kwa matendo, bali tu kwa neema. .

  19. Watu wote ambao wamewahi mmeokolewa mmeokolewa kwa imani katika Kristo kama dhambi mbeba-yao, ambayo imekuwa kuendelea wazi katika kila umri.

  20. Waumini Agano la Kale OT aliamini katika Injili ya Masihi kama dhambi mbeba-hasa kwa njia ya dhabihu kama aina na unabii.

  21. Roho Mtakatifu anayekaa ndani waumini tu katika mpango wa neema, si Agano la Kale OT na si baada ya Unyakuo.

  22. Yesu alifanya tu kutoa ya Ufalme wa kiroho, ambayo ilikataliwa na Israeli halisi lakini ina taratibu imekubaliwa na Israeli wa kiroho.

24 .Waumini Agano la Kale OT hawakuwa katika Kristo, si sehemu ya Mwili au Bibi Arusi wa Kristo.

  1. Sheria ina matumizi 3: wakazuia dhambi katika jamii, kwa kusababisha Kristo, na kuwafundisha Wakristo katika utauwa. Sheria za sherehe zimefutwa; sheria za kiraia zimefutwa isipokuwa kwa usawa wao ujumla; sheria ya maadili kuendelea.

  2. Sheria Agano la Kale OT ni bado katika athari isipokuwa abrogated katika Agano Jipya NT

  3. Kanisa ni Ufalme wa Mungu. Napia ni agano katika kipindi kile cha AMillennial, wakati mwingine kabla ya Milenia au Post-Milenia, mara chache kabla ya kipindi cha dhiki.

Uumbaji halisi kwa Burudani

Mwanzo 1:1 - Katika mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. 2 Na nchi ilikuwa bila fomu, na utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa kina. Na Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Wakati wa dunia ya mwazo mashirika kikristo hayakutaka nadharia , na kusema ni yakitalamu na wala sio ya kitafiti , na si lazima, katika aina zake vijana dunia vijana dunia waumini katika viumbe kudai kuwa ulimwengu mzima unaidadi ya watu 6-10,000 miaka ya zamani.

Wewe 9:6, hata wewe, sanaa Bwana peke yake, wewe uliyefanya mbingu, mbingu za mbingu, pamoja na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, nawe unavihifadhi wote; na jeshi la mbinguni kwako kuabudu. Wakolosai 1:16 Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana ikiwa ni viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa naye:

Ayubu 38:6 Kwa mujibu huohuo, ni misingi yake akafunga? au nani aliyeweka jiwe la pembeni, 7 Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?

  1. Machafuko ya Dunia - Mwanzo 1:2

(1) Kitabu inazungumzia malaika na mamlaka Warumi 8:38-39; Waefeso.1: 21; 3:10; 6:12; Wakolosai 1:16; 2:15; I Petro 3:22

Uumbaji wa awali ilikaliwa

Lusifa alikuwa mtawala wake Isaya14:12-16 Eze.28:11-17

Yeye iliundwa - vs 15 Alikuwa na upako - vs 14 Alikuwa mkamilifu - vs 15 Dhambi yake Kiburi- Ezekieli.28:17 Isaya. 14:12-13 madhara ya dhambi Lusifa - Ufunuo 12:4-9

(2) Katika Usihukumu Lusifa Mungu mwamuzi wa ufalme wake Mwa 1:02 Neno "yalikuwa" "Hyah" "akawa" "Tohu na Bohu" Yer 4:23

ENDNOTES

[I] http://www.myasha.org/node/12 , kushangaza Takwimu Kuhusu Maradhi ya Akili. [Ii] Hare, Robert D., PhD. Bila Dhamiri: Dunia linalosumbua ya PSYCHOPATH Miongoni mwa kwetu.New York, NY: Guilford Press, 1999.ISBN 0 157230 451. [Iii] www.edivorcepapers.com , takwimu kupitia Ripoti ya Dunia Mataifa Uzazi 2003. [Iv] pew Research Center, Oktoba 2010.

Links and Additional Resources

God's Word into English.pptx