Skip to main content

Test: Maswali ka Utangulizi wa Biblia

Maswali ka Utangulizi wa Biblia

Biblia ni nini?

Dhamira kuu ya Biblia ni _________________________________________________

Mwanzoni Agano la kale liliandikwa kwa lugha ya:

  1. Kilatini
  2. Kiebrania
  3. Kigriki
  4. Kiarabu

Uvuvio maana yake nini?

  1. Pumzi
  2. Msukumo
  3. Pumlia
  4. Pulizia

Kuna mawazo potofu mangapi kuhusu uvuvio wa Biblia?

  1. Tano
  2. Saba
  3. Tatu
  4. Kumi

Jaza na fasi zilizoachwa wazi.

Kitabu cha Matendo kimethibitishwa _____________________ kuwa sahihi.

Neno ___________ maana yake ufito, rula au kifaa cha kupimia urefu.

Lengo la masoreti lilikuwa ni ________ __________, maneno na maana ya maandiko.

Jibu kweli au sio kweli.

Agano la kale limetajwa mara 326 katika Agano Jipya.

Viongozi wa kwanza wa kanisa walizifikisha taarifa hizo za Agano Jipya kwa waliowapokea.

Biblia ina jumla ya vitabu 39.

Katika Agano Jipya kuna nyaraka 21 tu.