Test: Maswali ka Utangulizi wa Biblia
Maswali ka Utangulizi wa Biblia
Biblia ni nini?
Dhamira kuu ya Biblia ni _________________________________________________
Mwanzoni Agano la kale liliandikwa kwa lugha ya:
- Kilatini
- Kiebrania
- Kigriki
- Kiarabu
Uvuvio maana yake nini?
- Pumzi
- Msukumo
- Pumlia
- Pulizia
Kuna mawazo potofu mangapi kuhusu uvuvio wa Biblia?
- Tano
- Saba
- Tatu
- Kumi
Jaza na fasi zilizoachwa wazi.
Kitabu cha Matendo kimethibitishwa _____________________ kuwa sahihi.
Neno ___________ maana yake ufito, rula au kifaa cha kupimia urefu.
Lengo la masoreti lilikuwa ni ________ __________, maneno na maana ya maandiko.
Jibu kweli au sio kweli.
No Comments