KUFAULU MAFUNZO HAYA
KUFAULU MAFUNZO HAYA
Vigezo vya mafunzo kwa ujumla:
- Kuhudhuria kila somo.
- Kufanya kazi za kuandika na nadharia.
- Kujifunza kwa kukariri: Maandiko.
- Orodha ya majina ya vitabu vya Biblia kama vilivyopangwa.
- Kutimiza kazi kwa wakati uliopangwa ikiwa ni pamoja na maswali ya kujifunza na mambo mengine ya kufanyia nyumbani kwa maagizo ya Mwalimu.
Jinsi daraja litakavyopimwa:
Asilimia kwa daraja la mwaka
- MAHUDHURIO 30 %
- KAZI ZA KUFANYIA NYUMBANI 20 %
- MASWALI YA KUJIFUNZA 15 %
- CHEMSHA BONGO 25 %
- MTIHANI WA MWISHO 10 %
- Daraja la kufaulu 80%+
- Daraja la mwisho wa mwaka la 80% au juu zaidi litahitajika ili kufaulu mafunzo haya.
Kazi zitakazo kabidhiwa kwa kuchelewa zitaadhibiwa angalau kwa alama tano.
No Comments