KUFAULU MAFUNZO HAYA
KUFAULU MAFUNZO HAYA
Vigezo vya mafunzo kwa ujumla:
- Kuhudhuria kila somo.
 - Kufanya kazi za kuandika na nadharia.
 - Kujifunza kwa kukariri: Maandiko.
 - Orodha ya majina ya vitabu vya Biblia kama vilivyopangwa.
 - Kutimiza kazi kwa wakati uliopangwa ikiwa ni pamoja na maswali ya kujifunza na mambo mengine ya kufanyia nyumbani kwa maagizo ya Mwalimu.
 
Jinsi daraja litakavyopimwa:
Asilimia kwa daraja la mwaka
- MAHUDHURIO 30 %
 - KAZI ZA KUFANYIA NYUMBANI 20 %
 - MASWALI YA KUJIFUNZA 15 %
 - CHEMSHA BONGO 25 %
 - MTIHANI WA MWISHO 10 %
 - Daraja la kufaulu 80%+
 - Daraja la mwisho wa mwaka la 80% au juu zaidi litahitajika ili kufaulu mafunzo haya.
 
Kazi zitakazo kabidhiwa kwa kuchelewa zitaadhibiwa angalau kwa alama tano.
                                                    
No Comments