Skip to main content
Advanced Search
Search Terms
Content Type

Exact Matches
Tag Searches
Date Options
Updated after
Updated before
Created after
Created before

Search Results

1584 total results found

PRINCIPLE NINE

Homiletics 1

PRINCIPLE NINE: LANGUAGE RULES MUST NOT BE IGNORED All languages are not equal. As a matter of fact, each language is unique with its own strengths and weaknesses. The uniqueness of each language makes the study of it complex, but exciting! Greek and Hebrew ar...

PRINCIPLE TEN

Homiletics 1

PRINCIPLE TEN: REFERENCE MATERIALS ARE POWERFUL TOOLS, BUT THEIR USE MUST BE GOVERNED BY PRINCIPLES OF LOGIC Dictionaries A dictionary is a helpful tool to better understand the meaning of words. Concordances A concordance is valuable to find where Scriptures ...

PRINCIPLE ELEVEN

Homiletics 1

PRINCIPLE ELEVEN: We must be taught by the Holy Spirit He is the master teacher (I Cor. 2:13–14). Be careful of the words which men's wisdom teacheth. Commentaries can be helpful especially to learn about culture and history, but they are no substitute for the...

CONCLUSION TO HERMENEUTICS

Homiletics 1

CONCLUSION TO HERMENEUTICS The preacher should make notes on what he has studied. Write down the meaning of new or unfamiliar words Everyone will develop their own way of learning new words. Some Bible words have a different meaning in the original language th...

Delivery of the Sermon

Homiletics 1

The Delivery of the Sermon This chapter will look at the delivery of the sermon. We do not want to over emphasize oratory and platform skills, but there are certain skills the preacher can develop that will help him to preach the Gospel. Preaching is still pub...

Archived Textbook

Homiletics 1 Extras

First Year TEXTBOOK Homiletics 1 The Preacher & Sermon Preparation DELIVERANCE BIBLE INSTITUTE of MOSHI Moshi, Kilimanjaro, Tanzania DELIVERANCE BIBLE INSTITUTE Portland, Maine, USA Introduction: What is preaching? Homiletics is the art or science of religious...

Cover

ELIMU YA MAHUBIRI 1

MWAKA WA KWANZA KITABU CHA KIADA ELIMU YA MAHUBIRI 1 Mhubiri na jinsi ya kusoma Bibilia CHUOCHA BIBLIA NA WOKOVU CHA MOSHI Moshi, Kilimanjro, Tanzania CHUO CHABIBLIA NA WOKOVU Portland, Maine. Amerika

Utangulizi

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Utangulizi: Kuhubiri ni kufanya kitu gani? Elimu ya mahubiri ni sanaa au sayansi ya majadiliano ya didini au kuhubiri. Katika darasa hili wanafunzi watapata msaada wa namna ya kuandaa hotuba na kuhubiri. Katika Biblia, tunaona mfano kwa mahubiri ya Kikristo. I...

Wasifu wa mhubiri

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Wasifu wa mhubiri Kiwango cha uwezo wa mhubiri kinapimwa kwa akili, kwa maadili na kiroho. Mhubiri anapaswa kuwa amehitimu kiroho na anao upako wa kuhubiri. Mhubiri anapaswa kuwa amehitimu katika mafunzo yake ya Biblia. Mhubiri anapaswa pia kuwa msafi kimaadil...

Umuhimu wa Kuhubiri kwa Nguvu za Roho Mtakatifu

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Umuhimu wa Kuhubiri kwa Nguvu za Roho Mtakatifu Popote na chochote tunacho hubiri lazima tuvuviwe na Roho Mtakatifu (Mdo. 16:6-10; I Kor. 1:17; II Kor. 2:12; Gal. 2:2; Yona 3:2; Isa. 61:1). Mhubiri ni lazima ajazwe nguvu za Roho Mtakatifu Mhubiri anahitaji kuj...

Matumizi maalum ya kifungu

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Matumizi maalum ya kifungu (Vizibuo) Utangalizi II Tim. 2:15—Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli. Mhubiri anahitaji uelewa mzuri wa Neno yeye mwanyewe, ili waweze kuwata...

Kanuni ya kwanza

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Kanuni ya kwanza: kufasiri lazima kuwepo na msimamo na kutumika Njia halali na ya heshima ya kufasiri kuwa na msimamo na pasipo mashindano au ubishi. Lazima usitawaliwe na yaliyokubaliwa kitheologia. Kama ufasiri wetu (vizibuo) vimetawaliwa na theolojia yetu, ...

Kanuni ya pili

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Kanuni ya pili: kuna maana sahihi moja tu ya kifungu cha Biblia Kifungu cha kinabii cha weza kuwa na mikunjo miwili ya utimilifu, lakini kuna fasiri sahihi moja tu ya timilizo hizo.

Kanuni ya tatu

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Kanuni ya tatu: fasihi simlizi ni kwa kawaida huwa bora Maandiko yote lazima ya chukuliwe katika simlizi yake na maana ya wazi kuruhusu tu kwa ajili ya mfano na mashauri ya vitabu. Kila kifungu lazima kichukuliwe katika thamani ya sura yake Maritini luther ali...

Kanuni ya nne

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Kanuni ya nne: soma kutoka pointi ya mwandishi ya upeo wa macho Maandiko yote lazima ya chukuliwe kutoka pointi ya upeo wa mwandishi (2 Tim. 3:16). Fikiria habari kama, Nani waliokuwa shabaha ya mwandishi? Ni nani aliyeiandika? Paulo, Petro, Yohana aliependwa,...

KANUNI YA NANE

ELIMU YA MAHUBIRI 1

KANUNI YA NANE: VIFUNGU VINAWEZA KUWA NAVYOTE VIWILI MATUMIZI YA KARIBU NA YA MBALI Matumizi ni huonyeshwa kwenye kifungu. Maandiko mara nyingi yana matumizi ya karibu na ya mbali. Kwa ajili ya ufasiri halali pamoja na matumizi ya karibu na ya mbali, lazima uw...

Kanuni ya tano

ELIMU YA MAHUBIRI 1

Kanuni ya tano: mazingira ni ufunguo mkuu kwa ufasiri Kanuni hii ya tano hufikiriwa sana "majumuisho yote." Muktadha ni jinsi neno au sentesi imewekwa katika uhusiano kwenye kifungu kizima njia nzuri ya kufahamu maana ya neno ni kuona jinsi neno hilo limetumik...

KANUNI YA SITA

ELIMU YA MAHUBIRI 1

KANUNI YA SITA:SIKU ZOTE LINGANISHA MAANDIKO KWA MAANDIKO Andiko siku zote hushikilia ufasiri wake lenyewe (II Pet. 1:20). Neno, maelezo, au wazo lazima lijifunzwe katika kitabu ambacho ndio limeandikwa, na kisha katika matumizi yake katika vifungu vingine. En...

KANUNI YA SABA

ELIMU YA MAHUBIRI 1

KANUNI YA SABA:HAKUNA MABISHANO KATIKA BIBILIA. Neno la Mungu halina makosa, haliwezi kupingana lenyewe. Mahali kumeonekana ubishi, ukweli bado hauja patikana endelea kutafuta. Kuna ukamilifu na umoja usio vunjika kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo. Wakati unapofasiri...

KANUNI YA TISA

ELIMU YA MAHUBIRI 1

KANUNI YA TISA: KANUNI ZA LUGHA LAZIMA ZISIPUZIWE. Lugha zote sio mbaya. Kama jambo la hakika, kila lugha ni ya kipekee pamoja na nguvu zake na udhaifu. Ufafanuzi wa kipekee wa kila lugha unafanya somo lake kukamilika, lakini kitu cha kusisimua!Kiyunani na Kie...