Kanuni ya tatu
Kanuni ya tatu: fasihi simlizi ni kwa kawaida huwa bora
Maandiko yote lazima ya chukuliwe katika simlizi yake na maana ya wazi kuruhusu tu kwa ajili ya mfano na mashauri ya vitabu. Kila kifungu lazima kichukuliwe katika thamani ya sura yake Maritini luther aliita hii kanuni "fasiri simlizi." Hii kanuni humanisha kwamba tunasoma na kutathimini maandiko pamoja na heshima hiyo hiyo na kufahamu kwamba tunasoma kitabu chochote.
Acha andiko lijizungumzie lenyewe. Ukweli ni kamili na hauhusiani na mpangilio wako wa matukio. Hii kanuni inauhusiano maalumu katika somo la unabii. Agano la kale linabeba karibu nabii 450 kuhusu ujio wa kwanza wa Kristo. Nabii nyingi zilikuwa nakala, angalau kweli sitini dhahiri za maisha ya Kristo na huduma ilio onyeshwa, na zote sitini, pasipo udhuru, zilikuwa unabii ulotimizwa kihalisi ambao ulikuwa hauja timizwa kihalisi na mimi sio unabii wa kweli.
Uliza swali: Mawazo gani KIHALISI hutiririka kutoka kifungu? Maana ya wazi kisome kwa njia iliondikiwa. Kuna hekima kuu katika urahisi.
No Comments