KANUNI YA KUMI NA MOJA
KANUNI YA KUMI NA MOJA: Lazima tufundishwe na Roho mtakatifu
Yeye ni mwalimu mkuu (I Wak. 2:13–14). Jihadhari na maneno ambayo hufundishwa kwa hekima za watu. Maoni ya weza kufaa hasahasa kwa kujifunza siasa na historia, bali sio mbadala wa mafundisho ya Roho mtakatifu.
Roho atakufundisha (Yoh. 14:26; 16:13). Hii ni ahadi ya Mungu. Omba kwa ajili ya neno unalo jifunza. Mungu ni mwaminifu atakufunulia neno lake.
Tafakari neno la Mungu (Yoshua 1:8).
No Comments