Skip to main content

KANUNI YA NANE

KANUNI YA NANE: VIFUNGU VINAWEZA KUWA NAVYOTE VIWILI MATUMIZI YA KARIBU NA YA MBALI

Matumizi ni huonyeshwa kwenye kifungu. Maandiko mara nyingi yana matumizi ya karibu na ya mbali. Kwa ajili ya ufasiri halali pamoja na matumizi ya karibu na ya mbali, lazima uwazi uruhusiwe na kitabu cha mukitadha wa kifungu ambacho ni Biblia nzima. Vifungu walioandikiwa Waisrael vya weza kuwa na maana yenye thamani kuwakilisha kanisa la leo.

Katika mukitadha wenyewe tunajaribu kufunua 1) Maana ya asili ya kifungu; wakati katika, 2) Matumizi binafisi tunatafuta kupata umuhimu katika kifungu kwa ajili yetu leo. Juhudi hizi mbili kwa pamoja hutengeneza mzunguko wa kufasiri unaoitwa vizibuo mzunguko"(Grant R. Osborne). Ingawa tukio lililo andikwa katika maandiko lilitokea wakati wa mwanzo katika historia iliopita, kanuni za vifungu vyake havina muda na uhusiano binafsi.

Uhusiano kati ya maana na mihitasari mhimu ni kazi ya vizibuo. Mhubiri lazima aulize jinsi mwandishi wa kiBibilia alivyo fikisha kweli za habari za Mungu za kifungu kama alikuwa anazielezea kwa kusanyiko la siku za leo.

SOMO LINALOVUTIA ni wakati mwanafunzi wa Biblia anaporithiana na kifungu moja kwa moja kwenye muundo wa hitimisho zetu wenyewe.

SOMO LILILO PUNGUZWA ni wakati mwanafunzi Biblia anaporithiana na hitimisho za wasomi wengine na kufanyia kazi kanuni zetu. Kwa msaada katika kutuondoa kutoka maana zetu za siku hizi na mazoea binafsi. Ni muhimu kwamba tuna rithiana na vifaa vya kiufafanuzi kwa uhakiki si kuiga mawazo ya wengine pasipo uhakiki.