Skip to main content

Kanuni ya tano

Kanuni ya tano: mazingira ni ufunguo mkuu kwa ufasiri

Kanuni hii ya tano hufikiriwa sana "majumuisho yote." Muktadha ni jinsi neno au sentesi imewekwa katika uhusiano kwenye kifungu kizima njia nzuri ya kufahamu maana ya neno ni kuona jinsi neno hilo limetumika katika sentesi. Mazingira huchukua katika yote sehemu moja moja ya kitu kizima. Mazingira ya maandiko huhusisha uwekaji wa msitari pamoja katika sura yake maalum na kitabu. Kila msitari wa maandiko ni wamuhimu kwa kina, lakini umuhimu wake unaweza tu kufahamika kwa kufiria madaraka yake katika aya, sura, kitabu, au hata Biblia nzima. Ufahamu mkamilifu wa kitabu kifungu huchukuliwa kutoka kilicho bora.

Hatuwezi kujifunza kipekee sehemu ndogo ya kitu chochote bila fikira za uangalifu maana yote ya sehemu zake.fikiria jinsi ufahamu wako usiokamilika kuhusu vyombo vya usafiri angani ingekuwaje kama huja elimishwa katika sheria za asili.masafa ya mruko wa ndege yeyote ingekuwa siri ya milele mpaka utakapokuwa umejifunza ndege katika "muktadha" wa asili ya upepo wa mazingira yake, mvutano, msukumo wa hewa, na kadhalika

MFANO: Tunajua Waebr 13:5 inasema kristo alituahidi, "sitawaacha kamwe, sitawaacha." Kwahiyo ni nini ambayo Yesu anamaanisha "Naenda zangu" katika Yohn 14:28? Kama yote tunayofanya ni kufikiri msitari wa 28 na kudharau muktadha wake, tutakuwa tumelazimisha kuhitimisha kuna upinzani ulio patikana hapa bali kama tunahitimisha kwa makini muktadha wake katika somo letu, tutagundua wazi rahisi kumaanisha katika. Kiwango katika kile Yesu alikuwa pamoja nao (katika uwepo wa kimwili) ilikuwa inaenda kubadilika kuwa (uwepo wa kiroho).

Kifungu kilichochukuliwa inje ya mazingira ni "hoja ya uwongo." Hoja ya uwongo imetumika kuficha sababu ya kweli na kusudi. Kutumia andiko kama hoja ya uwongo ni kutumia andiko liseme kile unacho taka liseme nasio kile Mungu amesema. Kifungu kilichochukuiwa inje ya muktadha ni kuharibu andiko.

Biblia imebeba hesabu ilovuviwa ya matukio yale yaliyo tokea na maelezo yaliyo fanywa Kwa mfano habari za kitabu cha Ayubu mazungumzo kati ya Ayubu na rafiki zake. Mazungumzo yaliyo andikwa kwa uangalifu kama yalivyo tukia, lakini ushauri wa wafariji wa Ayubu haukuwa ushauri mzuri hauwezi kuhusushwa kama ulivyo.

Majaribu ya Yesu yanapatikana katika Mathayo 4:1–11 inaandika Ibilis ananukuu maandiko kwa Yesu katika msitari wa 6. Iblis alipotosha maana ya Zaburi 91:11–12 kumjaribu Yesu ajirushe kutoka mnara wa hekalu Yesu alikanusha upotoshaji wa maaandiko wa shetani kwa kujibu kwa maandiko mengine: Usimjaribu Bwana Mungu wako (Kumb. 6:16).

Je, tunapaswa kufuata maneno ya mfalme katika Danieli 3:29?

Njia bora ya kufahamu maana ya neno ni kuona jinsi lile neno lilivyo tumika katika mukitadha wa sentensi.