Skip to main content

Elimu ya Mahubiri I Maswali

Homiletics I Final Examination Elimu ya Mahubiri I Maswali

What is homiletics? Elimu ya mahubiri ni nini?

  1. Talking about the Bible Kuzungumza kuhusu Biblia
  2. The fundamental truths of the Bible arranged in systematic form Kweli za msingi za Biblia zilizo pangwa katika muundo wa utaratibu
  3. The art or science of religious discourse or preaching Sanaa au sayansi ya mazungumzo ya kidini au mahubiri
  4. The spoken communication of divine truth with a view to persuasion Mawasiliano ya mazungumzo ya ukweli wa kiungu wenye mtazamo wa kushawishi
  5. The art or science of religious discourse or preaching Sanaa au sayansi ya mazungumzo ya kidini au mahubiri

    II Timothy 4:2 Preach the __________; be instant in season, out of season; ___________, ______________, ______________ with all longsuffering and ______________." II Timotheo 4:2 Lihubiri __________, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati ____________, _________, ________ na kuonya kwa uvumilivu wote na _____________.

    II Timothy 4:2 Preach the word; be instant in season, out of season; reprove, rebuke, exhort with all longsuffering and doctrine." II Timotheo 4:2 Lihubiri Neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.

    The ______________ breaks the bondages of sin. ___________ mafuta __________ vifungo vya dhambi.

    The anointing breaks the bondages of sin. Kupakwa mafuta huvunja vifungo vya dhambi.

    A key to ___________ ____________ interpretation is to understand a passage within ______________. Siri ya kutafsiri ________ ________________ ______________ ni kuelewa andiko taarifa kama _________________________.

    A key to correct Biblical interpretation is to understand a passage within context. Siri ya kutafsiri kwa usahihi Biblia ni kuelewa andiko taarifa kama ilivyoandikwa.

    Answer true or false. Oil is a symbol of the blood of Jesus. Jibu kweli au sio kweli. Mafuta ni mfano wa damu ya Yesu.

    FALSE Sio kweli

    ________________ _____________________ is necessary for a clear delivery of the message. ________________ _____________________ ni Muhimu kwa ajili ya Ujumbe kueleweka.

    Proper diction is necessary for a clear delivery of the message. Kauli sahihi ni Muhimu kwa ajili ya Ujumbe kueleweka.

    To preach, you must know _______________. Ili kumhubiri Kristo ni lazima umjue _____________.

    To preach, you must know Christ. Ili kumhubiri Kristo ni lazima umjue Kristo.

    II Corinthians 4:13 "I ______________, and therefore have I ________________; we also ____________________, and therefore _________________;" II Kor. 4:13 "_________________, na kwa sababu hiyo ______________; sisi nasi _________________, na kwa sababu hiyo _________________;"

    II Corinthians 4:13 "I believed, and therefore have I spoken; we also believe, and therefore speak;" II Kor. 4:13 "Naliamini, na kwa sababu hiyo nalinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;"

    Romans 10:15 "And how shall they _________________, except they be ___________________?" War 10:15 "Tena ______________, _____________________?"

    Romans 10:15 "And how shall they preach, except they be sent?" War 10:15 "Tena wahubirije, wasipopelekwa?"

    Preaching is the ______________ _________________ of divine truth with a view to ____________________________. Kuhubiri ni _______________________ _________ __________________ ya ukweli wa kimungu kwa lengo la ___________________________.

    Preaching is the spoken communication of divine truth with a view to persuasion. Kuhubiri ni mawasiliano ya mazungumzo ya ukweli wa kimungu kwa lengo la kushawishi.

    Hebrews 4:12 "For the word of God is _____________________, and ________________, and sharper than any twoedged sword, piercing even to the dividing asunder of soul and spirit, and of the joints and marrow. Waebrania 4:12 "Maana Neno la Mungu li ____________, tena _______________ ______________, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake;"

    Hebrews 4:12 "For the word of God is quick, and powerful, and sharper than any twoedged sword, piercing even to the dividing asunder of soul and spirit, and of the joints and marrow. Waebrania 4:12 "Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake;"

    The manner of preaching is _______________ _____________. Njia ya kuhubiri ni ____________________ ___________ _______________.

    The manner of preaching is spoken communication. Njia ya kuhubiri ni kuwasiliana kwa kuongea.

    The mission tells us ________________ we preach. Ujumbe unatueleza ________________ za kuhubiri.

    The mission tells us why we preach. Ujumbe unatueleza sababu za kuhubiri.

    Preaching is about receiving a _________________ from God, and then sharing that __________________ with the people. Kuhubiri ni suala la kupokea ________________ kutoka kwa Mungu halafu ukawahubiri watu ____________ huo.

    Preaching is about receiving a message from God, and then sharing that message with the people. Kuhubiri ni suala la kupokea ujumbe kutoka kwa Mungu halafu ukawahubiri watu ujumbe huo.