Skip to main content

Kanuni ya nne

Kanuni ya nne: soma kutoka pointi ya mwandishi ya upeo wa macho

Maandiko yote lazima ya chukuliwe kutoka pointi ya upeo wa mwandishi (2 Tim. 3:16). Fikiria habari kama, Nani waliokuwa shabaha ya mwandishi? Ni nani aliyeiandika? Paulo, Petro, Yohana aliependwa, Musa, au Marko? Watu hawa wote walikuwa na mitindo tofauti ya uandishi na madhumuni tofauti ya uandishi. Mazingira ya maandiko huhusisha nafsi na tabia za wandishi. Tunge hukumu habari ilioandikwa najicho la shahidi tofauti kutoka habari ilioandikwa na mtu fulani pamoja na habari za mkono wa pili.

Fikiria mpangilio wa kihistoria wa kifungu kwa kukata bima ya ufasiri sahihi

Mazingira ya maandiko huhusisha habari za kihistoria kwakushawishi kwenye wakati wa kifungu kilipokua kinaandikwa, na (Paulo aliwandikia waefeso, Wafilipi, Wakolosai, na Filimoni kutoka gerezani!Vilevile, Paulo alizaliwa Tariso mji mkuu wa kilikia na aliishi kwenye moja ya vyoo vikuu vitatu vya mababu wa ulimwengu wa waathene na Alexandrea ni wapili. Paulo alifundishwa katika Yerusalemu chini ya Gamaliel mwalimu mkuu wa sheria za kiyahudi. Paulo alipokea elimu bora iliowezakana katika siku zake. Yeye hakuwa mpumbavu asiye na elimu.)

Kwa mfano, Daniel 5 inafungua pamoja na sikukuu ya kusherehekea na kunywa. Mji wa babeli ulikuwa chini ya kuzingirwa na Wamedi na wajemi kwa kipindi cha miaka miwili hadi sherehe ya kufungua ya sura hii. Hii inatuambia kitu fulani cha kiburi na upuzi wa Wababeli ambao walijidhania kuwa hawata haribika. Njia pekee ya kujua kuhusu fikira za kihistoria ni kujifunza na kutafuta vifaa kama vile vitabu vya maoni. Neno la tahadhari si vitabu vyote ni sahihi kihistoria. Tahadhari maalum ingetumika kwa mfano unapo soma kitabu chochote kilichotolewa na Kanisa la Romani katholiki wamekuwa mara zote madhabahu ni sehemu yakuhesabia faida yao.

Fikiri kweli za kikiolojia kukusaidia kufahamu maana ya kifungu

Tena katika Daniel 5, kuta za mji wa Babeli zilikuwa nene ambayo jamii ya magari au vibandawazi vilikuwa vimeshikizwa juu ya kuta. Watu walifiri kuna ngome isiopita. Akiolojia au elimukale imejawa na kuungana na Biblia. Hii ndio sababu kujifunza na elimu ni vya muhimu sana kuweza kufahamu hizi kweli za kikiolojia ili kufahamu vema mpangilio wa mahesabu ya Kibiblia.

Fikiria kweli za kijeografia ambazo zingechangia katika ufahamu wa kifungu

Tuta bakia kwa Daniel 5 kukuonyensha jinsi fikira hizi zote zina chukuwa pamoja ilikupata maana yote ya kifungu Mto frati unapita katikati ya mji wa Babeli. Walikua na maji safi na walizalisha chakula chao; hii imeongeza katika hisia zao za kutokujihusisha na kuzingirwa kwa maana walifikiri hawangeweza kuondolewa milele. Muingilio wa mto ulikuwa unalidwa na milango mikubwa ya chuma. Habari hii ni msaada kwa kufahamu unabii wa Isaya kuhusu Babeli (Isaya 45:1). Historia hutuambia kwamba usiku wa karamu walinzi walilewa na kuacha milango wazi. Unabii wa Isaya ulikuwa umetimia wakati Koresh na Dario mumidiani alipochukua ufalme wa Babeli usiku huo wa karamu.

Fikiria matendo ya kisiasa ya wakati wa kifungu

Paulo anaonya mwanamke kunyamaza katika kanisa (1 Wak. 14:3). Tendo la kisiasa la siku hizo kwa ajili ya mwanamke kukaa upande moja na wanaume upande mwingine. Wanawake wasio elimika walikuwa wakisumbua ibada kwa kuuliza maswali toka upande baina ya njia ya viti kanisani. Muendelezo wa mukitadha wa msitari unatuambia wanawake kuuliza waume zao nyumbani. Au kutoa mfano kwa wengine, Paulo alikuwa akiwambia wanawake kusubiri mpaka waende nyumbani ndipo wawaulize waume zao maswali sio kuharibu ibada. Paulo sio kwamba alizuia mwanamke kuwa na nafasi ya kushuhudia na kushiriki huduma kanisani.

Ni aina gani ya maandiko yake?

Maana inategemeana na aina. Utafakari wa vifungu vingi vya kibiblia ni wa muhimu sana kumaanisha katika. Nyaraka, Injili, mambo ya kiyama, mambo ya kinabii, mambo ya kimafumbo, mambo ya kishairi, mambo ya kihisitoria hayawezi kufanywa katika kiwango kinacho tambulika kwasababu kila kitu kimetawaliwa na kusudi tofauti.