Skip to main content

Kanuni ya kwanza

Kanuni ya kwanza: kufasiri lazima kuwepo na msimamo na kutumika

Njia halali na ya heshima ya kufasiri kuwa na msimamo na pasipo mashindano au ubishi. Lazima usitawaliwe na yaliyokubaliwa kitheologia. Kama ufasiri wetu (vizibuo) vimetawaliwa na theolojia yetu, ndipo Biblia inaweza kufanywa iseme kile theolojia yetu inasema.

Lazima siku zote tumia kanuni sahihi za kufasiri ili kufahamu kipekee ukweli. Biblia imebeba aina mbali mbali za simlizi, kama vile mifano, mashairi, mithali, istiari, maombi, amri za wafalme, na nyaraka. Tusinge fasiri mashairi kama tafasiri Kwa mfano Nebkadreza alifanya amri ya kumkata vipande yeyote atakaye sema kinyume cha Mungu wa kweli Mhubiri anaweza kuwa amefanya vibaya kama atafuata ufasiri wa simlizi za siku za leo wa aina hii.