Skip to main content

DIBAJI

DIBAJI

Kitabu cha “Uhuru wa Kikristo” kilitungwa na Dk. Martin Luther kule witternberg mwaka 1520.

Karasa 5

Hakuna haja kutubu na kuacha dhambi kwa sababu dhambi zote zimelipwa kwa fedha! Kwasababu ya michafuko hii Marthin Luther alichukua hatua zake kama mchungaji wa usharika.

Karasa 6

Marthin Luther alichoma tangazo la Papa Leo X pamoja na kanuni mwaka 1520.

Karasa 10

Wakristo walipopata uhuru wa Neno la Mungu kuhusu utawala wa Papa, waliliacha tena kwa ajili ya ndoto, maono na fikira za kibinadamu.

Karasa 11

Tunao uhuru wa Kikristo tunapokuwa na Neno la Mungu kwa imani, kwa sababu hii tunaye Kristo mwenyewe.

Karasa 12

RATIBA YA MATENGENEZO YA KANISA

Mwaka 1517 Luther alipigilia tarehe 30 mwezi wa Octoba hoja zake 95 kuhusu vyeti vya

  1. Ndoa
  2. Uraia
  3. Upatanisho
  4. Biashara

Karasa 13

Papa Leo X alifariki dunia mwaka 1521

Karasa 14

Marthin Luther alifariki dunia Februari

  1. 1564
  2. 1531
  3. 1526
  4. 1546

Karasa 15

Hoja 95 za Marthin Luther zilipigiliwa kwenye mlango wa Kanisa la Ngome ya Witternberg.

Karasa 16

SEHEMU YA KWANZA

Ni dhahiri kuwa hakuna jambo lolote lile la nje linaloweza kumfanya mtu kuwa huru na kumcha Mungu, kwa kuwa uchaji na uhuru.

Karasa 20

Hakuna faida yeyote ya kukaa katika makanisani na mahali patakatifu.

Karasa 21

Kisto hakutumwa ulimwenguni kwa ajili ya huduma nyingine ile isipokuwa ile ya kulihubiri Neno la Mungu.

Karasa 23

Yohana 1:12 "Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake.

Karasa 28

Lazima Kristo ahubiriwe kusudi imani yetu, yaani imani yako na yangu, ikue na idumu kabisa.

Karasa 38

SEHEMU YA PILI

Katika nukuu maneno yaliyoandikwa kwa hati ya ulalo yanayoianza na, "Matendo mazuri hayafanyi mtu mzuri, bali mtu mzuri hufanya matendo maovu."

Karasa 44

Picha ya kanisa la Mtakatifu Petro, la Roma lipo ukurasa wa ngapi?

Karasa 59

Barua ya Martin Luther kwa Papa Leo wa Kumi

Luther alisema kwamba Leo alikuwa "Daniel huko Babeli."

(Karasa 61)

Luther alimwita nani "adui maalumu wa Kristo na ukweli"?

Yohana Eck (karasa 68)

Nani aliandika kitabu kuhusu Papa Eugenio?

Mt. Bernardo (karasa 77)

Siku gani Luther aliandika barua hii kwa papa?

Septemba 6, 1520 (karasa 79)