Utangulizi kwa somo la Warumi
(Utangulizi)
Waraka wa Warumi ni hazina ya kweli ambayo hupaswa kueleweka kwa watakatifu wa Mungu. Somo hili litakusadiwa kuelewa mafundisho yake ya muhimu.
Umamlaka wa Waraka wa Warumi
Ushahidi wa milele wa waraka wa Warumi inaunga mkono mamlaka ya waraka wa Paulo
Paulo alidai kuuandika (1:1). Mtindo wa waraka wa Warumi ni sawa na ule unaopatikana katika Wakorinto 1 na 11 hasahasa kwa Wagalatia. Mtindo wa waraka wa Paulo na mtindo wa Warumi ni wakipekee. Kusoma waraka wa Paulo sawa kama vile unasikia sauti yake. Paulo aliandika kama alivyokuwa anaongea.
Hatua ya maendeleo ya mafundisho ya mkristo ambayo herufi inafunua usawa kwa asili kwenye wakati wa Paulo. Paulo alikuwa katika kiwango cha juu cha huduma katika katikati ya karine ya kwanza kwa wakati ambao maswala ya kawaida yalilisumbua kanisa ndio mambo yaleyale ambayo yalilikumba Warumi.
Ushahidi wa kutoka inje unasaidia mamlaka ya Paulo
Paulo alijulikana kama mwandishi wa waraka kwa Warumi mapema mnamo 95 BK. Baadhi ya waandishi walitambuliwa katika mamlaka ya msatari wa Paulo kwa Warumi walikuwa ni:
- Waandishi wa Agano jipya hasahasa Petro (2 Pet. 3:15)
- Kleenti wa Rumi (95 BK)
- Ignatio wa Antiokia (110 BK)
- Polikapi, Askofu wa Simirna (Baada 110 BK)
Nani alilianzisha Kanisa la Rumi
Paul aliandika hii waraka, lakini yeye hakuanzisha Kanisa la Rumi, walakulitembelea hili Kanisa hadi wakati fulani baada kuandika barua hii. Kanisa la kikristo katika Rumi lilikuwepo tayari kabla ya kuandika waraka kwa Warumi pamoja na kundi ka waamini kukutana majumbani kama vile kwa Priskila na Akula. Kama tutalinganisha War. 1:8, 1:11, na sura ya 16, kwa usalama tunaweza kuhitimisha kwamba kulikuwa na kanisa Rumi kabla ya Paulo hata Petro.
Hapakuwa na historia ilioandikwa ya kupata kanisa huko Roma, lakini tunaweza pia kuhitimisha kwamba Petro hakupata kanisa la kirumi kama inavyosemwa na kanisa la kikatoliki. Paulo hakuwahi kumtamaka Petro kama ilivyothaniwa huko Roma na ngeonekana kimaantiki kama Petro angekuwa kiongozi wa kanisa Paulo angemtaja katika salamu zake katika War 16 badala yake Paulo anaorodhesha watu 28 katika salamu miongoni watu walioorodheshwa wakwanza alikuwa Priska na Akila. Zaidi ya hapo, kitabu cha Matendo kinamweka Petro katika Yerusalemu sio Rumi kulipata kanisa yuko Yerusalemu.
Kuzaliwa kwa kanisa la Rumi
Utawala wa kirumi ulikuwa katika madaraka wakati wa kuandikwa waraka huu na Roma ilikuwa mji mkuu wa utawala huu ulikuwa mji mkuu wa ulimwengu. Imesemekana kuwa barabara zote zilielekezwa Roma—hii ndio ilikuwa sababu kwa warumi kutambulisha na kujenga utaratibu mpya wa barabara kuunganishwa kutoka Mji mkuu wa Roma wenyewe. Rumi ilikuwa mji wa katikati ya ulimwengu na mahali pakimkakati ambapo tokea hapo injili ingeenea.
Kutoka makutano ya watumwa wa kiyahudi kuletwa Rumi na baadaye kuachwa huru, ongezeko (labda wengi kama watu 5) Masinagogi ya kiyahudi yalivunjika. Mwishowe wakristo wa kiyahudi walisafiri kwenda Rumi kama ilivyo na kusababisha ukimwa wa usumbufu uliokuwa nadani ya haya masinagogi ya Kiyahudi. Kwa kadiri Warumi walivyo tishwa na idadiya wayahudi ndani ya mji na makelekele yao kuongeza, hatua zilichukuliwa ilikuvunja ukuaji wa idadi yao. Hatua za kwanza zilizochukuliwa hazikujimuishwa na kuharimisha kwa dini ya kiyahudi, lakini ilizuia makusanyiko yenye mamlaka.
Mwanahistoria Cassius Dio anatoa taarifa ya tendo lilochukuliwa na Kilaudio dhidi ya Wayahudi wa kirumi:
"Kwa ajili ya wayahudi, yeye ambaye alikuwa tena aliongezeka kwa ukubwa ambayo kwa sababu ya makutano yao igekuwa ngumu pasipo kuinua makelele kuwapinga kutoka mjini, yeye hakuwakufuza, bali aliwaagiza, wakati wakiendeleza mtindo wao maisha, sio kushikilia makutano."
Kutokea hapo wasimamizi waliamriwa na serikali walikuwa ni kanisa la wamataifa. Ni Kanisa hili ambalo lilipokea barua ya paulo mudafulani takribani 57-58 BK. Badala ya masinagogi ya kati au mahali pa mikutano mikubwa, kanisa hili lilikutana katika makundi madogo kuzunguka mji wa Rumi kama majumbani mwa waamini. Kwa kupitia mahali pa makusanyiko yao walipewa madaraka hasa kwa barua ya Warumi, tunaweza kuona kanisa la kikristo likidumisha mawasiliano na umuhimu wa mwili moja katika Kristo.
WAKATI & MAHALI
Warumi iliandikwa kutoka Korinto mnamo 57-58 BK. Katika War 15:19, Hebu jue kuhusu Paulo kwamba yeye alikuwa amekaribia katika hali ya mwisho katika maisha ya kupanda na kushuka kwenye mwisho wa safari yake tatu umisheni. Alikuwa amekwisha kuhubiri injili, anasema kutokea Yerusalemu hata sehemu za Mbali na anaenda kufanya uamuzi wa ajabu kwamba yeye hakuwa tena na nafasi ya kuendelea kufanya kazi katika hiyo sehemu kubwa mno. Anataka kwenda Span kwakuwa Itali ilikuwa imekwisha hubiriwaa Alihubiri, na kutembelea katika kanisa la Rumi katika safari. Lakini hangeweza kufanya kwa mara moja; Yeye aliazimia kwenda Yerusalemu kwanza. Sababu ya hili ni wazi na lina ushahidi. Kwa muda fulani, (2 Wakrinto angependekeza angalau mwaka moja. Paulo anatanagaza kwamba, yeye amejitoa kwa ajili ya kukusanya mchango kwa ajili ya maskini wa Yerusalemu. Wakati wa kuandikwa kitabu cha Warumi, ule mkusanyiko ni kwa bayana, kama haijakamilika kabisa, Paulo anasubiri furusa ya kupokea sadaka kwenda Yerusalemu. 1 na ya 11 Wakorinto hurejea kwenye mkusanyo kama ilikuwa ikifanyiwa kazi (I Kor. 16:1-4; 2 Kor. 8-9) na War. 15:25-28 inaonekana kwa kile kilicho kamilika. Kwa kuwa katika I Corinthians 16:3-4, Paulo alionyesha mpango wake wa kukamilisha kazi kwa ajili ya mchango wa Wakorinto na kisha kuondoka kutoka katika mji ule wa Yerusalemu ni nitu cha kawaida kudhani kwamba aliwaandikia warumi wakati akiwa Korinto. Wasomi wengi huweka wakati wa utume wake takribani 57-58 BK.
MUHULA
Warumi iliandikwa kulingana na utangulizi wa Paulo kwa wakirsto waliokuwa Rumi kutanguliza safari yake kwao. Mtume Paulo alikuwa na muda mrefu wa kusukusudia kutembelea wakristo wa Rumi kwa muda mfupi alipokamilisha kazi yake na alikuwa na kile alichokusanya kwa ajili ya masikini walioko Yerusalemu (1:13; 15:25, 26, 28). Kazi yake huko mashariki;i lipitiliza; na yeye alikuwa katika safari yake ya kwenda Yerusalamu. Alitaka kujitambulisha kwa wakristo walikuwa Rumi kabla ya kusimama pale aliandika huu waraka pamoja na kusudi la kuiandika kuhusu furusa ya upendeo wake wakwanza. Safari ya Phoebe kwenda Rumi alimpatia Paulo furusa kama hiyo (16:1-2).
KUHUSU
Ni matengenezo ya kitheologia kwa maana ya Injli. Ingawa kanisa lilikuwa limeongezwa na wamataifa, Uyuda ulikuwa ni nguvu yaziada iliongezwa. Kulikuwa na wayahudi wengi katika Rumi kwa wakati wa kuandikwa kwa waraka huu kwa warumi hata wakristo wa kiyahudi walikuwa wamefungwa na mapokeo na urithi wa kiyahudi, Wayahudi waliamini kwa sababu walikuwa na sheria za Musa na agano la tohara ambayo walikuwa wamewekeana na Mungu kwa ajili ya uzima wa milele. Wao waliamini na wao walikuwa bora katika wapagani wa mataifa na kwa hiyo wao hawakuwa na haja ya kujinyenyekeza kwa watawala wapagani. Paulo anakanusha mafundisho ya wayahudi ambayo hayakuhusiana na maandiko matakatifu.
No Comments