WARUMI SURA YA 9-11 9-11
WARUMI SURA YA 9-11 9-11
Uchunguzi wa Muundo wa warumi 9-11
- Sikitiko la mtume kwa ajili ya kukataa kwa waisrael (9:1-5)
- Ukataaji wa waisrael na utawala wa Mungu (9:6-29)
- Ukataaji wa waisrael na jukumu la binadamu (9:30-10:21)
- Ukataaji wa waisrael na kusudi la Mungu kwa ajili ya msitakabali wao (11:1-32)
- Maneno ya mtume ya sifa za Mungu (11:33-36)
Kukataa kwa wa waisrael na kusudi la Mungu na msitakabali wao (11:1-32)
Kukataa kwa waisrael sio kitu cha kidunia (11:1-10)
Ukataaji ni KUTOKUAMINI kwa wayahudi (Mdo. 14:2; Ufu. 21:8).
Upofu ulikuwa kwa kusudi na sio kitu cha kudumu (11:11-21)
Mapenzi ya Mungu ni kuwa na huruma juu ya wote (11:22-32)
"Kwa kukataa injili, na kwa hasira yao katika kuhubiriwa injili kwa mataifa, wayahudi walipata kuwa maadui wa Mungu.
—Matthew Henry
Rehema ya Mungu (Zab. 13:5; 89:2; Yak. 5:11).
No Comments